My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Ila hiyo mileage tunaifanya isome sana ni sisi, tuwaoe tu hakuna namnaSi ndio mkuu, mimi kama nitaoa basi binti wa miaka 17 , nasemaje, bora kuoa mjane au mwenye watoto hata watatu lakini sio hawa wengine (japo sio wote)
Mabinti wengi aged 25+ wana mileage nyingi kuliko mama zao walio ndoani miaka 30
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wewe mwehu nini!
Damn it 😅, hakuna mkate mgumu mbele ya chai.Mi mwenyewe kuna family friend ana 57 hivyo hivyo mkuuu sema yy kaamua kuolewa na muosha magari
Mwaka jana huyu mbibi ana apartment 9 mkuuu na duka la vipodozi kwa siku ana minya kitu kama 600k sema ndoivyo kaamua kuwa submissive kwa muosha magari wake
Na mwanaume anamuendesha kama nn daaaah we acha tu mkuuu haya mambo haya yanawaumizaga sana japo wanajifurahishaga kinafki tu 😬
Duh[emoji44][emoji44][emoji44]Ukioa binti mdgo watoto wako watakuwa na akili na pia na afya njema hawatoumwaumwa hovyo. Oa jitu lina miaka 28+ watoto wako lazima wawe mazezeta
Nani kakutenda huyo. Mm nadhani uweke hivi. Ukifikisha miaka 23 hujaolewa kwisha habari yakoMsichana aliyeumbika vizuri na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nini? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
[emoji23][emoji23] nani kakwambia kuwa kila mwanaume anapaswa kubeba mzigo wa wanaume 5-10 wamaex wawadada. Waolewe na waliowachezea. Sijachezea mtoto wa mtu, sio jukumu langu kumuoa.Ila hiyo mileage tunaifanya isome sana ni sisi, tuwaoe tu hakuna namna
Kuna wanawake wana 60+ na bado wagawa mbunye hatari, hao wanakua kwenye kundi lipi?Mkuu mwanamke mwenye 50 unamjua wewe? Huyu kishakuwa bibi kabisa.
Hata kule kwa bibi kumesinyaa kabisa kiasi kwamba hata dushe haliwezi kupita kabisa
Huyu ni non-binaryKama ambavyo umeandika hapo ndugu mtangazaji, huyo jamaa hua haieleweki ni jinsia gani mara ni wa kiume mara ni wakike hvy n sahihi kumuweka kwenye mabano ya (mdada/mkaka) kwa ujumla tunaweza kusema huyu jamaa ni shoga.
Sexless
Kamsamba inapatikana wapi ndugu?Huku mtandaoni sio kwa kushinda kabisa, njoeni kamsamba huku wanaoa hata kama unanyonyesha, ila huko mjini mnatiana hofu sana, na masingle father, mabachelor na single mother wapo wanabebana wao kwa wao wanachanga na watoto maisha yanaendelea
Wewe ndio ridiculous mwenyewe mambo yamekupita wenzio wote tumeelewa wewe unasubiri data [emoji23][emoji23]Hizi tafiti zenu uwa mnafanyia wap?
Put data on the table......?
Without statistical Data...........This thread will sound ridiculous.
Kuanzia una miaka 13 hadi 33 Yani miaka 20 unachezea mboo tofauti tofauti, jamaa kaoa mtumba grade ya mwishoNimeolewa na miaka 33 cash, nikiwa nimetulia tulii, kuolewa ukiwa umekomaa akili hata kuendesha familia inakuwa rahisi, kuna mambo mengi unakuwa muelewa sana yaani, nina familia bomba sana tunaishi maisha ya amani kuliko hao walioolewa before 25.Yaani mimi ni mshauri wa ndoa nyingi za walioolewa kabla yangu.Mi naona Mwanamke aolewe akiwa 25 and above ataenjoy. Kama akiolewa kabla ya hapo sio vibaya ila atasota kidogo.
Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.Kuanzia una miaka 13 hadi 33 Yani miaka 20 unachezea mboo tofauti tofauti, jamaa kaoa mtumba grade ya mwisho
Wenzio na nani?Wewe ndio ridiculous mwenyewe mambo yamekupita wenzio wote tumeelewa wewe unasubiri data [emoji23][emoji23]
Dada yangu Executivesister wapo wanawake wa kitanzania waliofika miaka 30 hawajui kupika chakula?Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.
Upo sahihi mkuuHiyo mishisha kama gari moshi,unavozipenda bange/
ATAKUOA NANI
Umezidisha kila party hukosi na lazima uliwe/
ATAKUOA NANI.
Mwili umejaa matattoo,na hayo matattoo unatembea kwa miguu/
ATAKUOA NANI.
Na unavozipenda pombeee,ukishalewa wanaswaga kama ling`ombe/
ATAKUOA NANI.
Na huo usingo maza na unavorembua,nyodo kibao,na shepu yako ya box/
ATAKUOA NANI..
Halafu kama ni singo mama hata uwe na miaka 20,tako laini,sura nzuri,tabia nzuri nenda kacheze porno tu/
HUOLEWI NG'O!!