Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sawa mkuu nitalifanyia kazi ngoja niipe akili yangu nafasi ya kulichakataMwanaume hazeeki mkuu. Profesa Kapuya kaoa binti wa 24 wakati yeye akiwa na 76. Wako kwenye ndoa mwaka wa 5 huu sasa
Enhee bado uko nae? Tuambie mapichapicha yako mkuuNi mzuri wa sura na umbo kubwa zaidi alikuwa na kazi nzuri na kwao ni mtoto wa mwisho. Nilizama kwenye penzi na kaamua nioe kabisa mapicha picha yalianza ya kutosha
Hapana. Binti mzuri wa sura na tabia inakuwa ni risk kwa mzazi hata kuendelea ku.tunza.I think inategemea na familia ya uyo binti na akili za wazazi wake piaππ
Labda adabu alianza kupata kuanzia miaka 28- na kuendelea, point yako ya mwisho ndo ya muhimu zaidi, ila mtoa nada hajakosea.Muogope Mungu. Ishi kama mtu mwenye kujuwa vile Mungu anafanya kazi. Sio kila mtu ataolewa wala sio kila mtu ataowa. Wapo wanawake wazuri na wenye adabu hawana waume na wanahaha na madangwa yao hwuwez amini ila wapo pia wanaume handsome hawawez Kaa ma mke. Mungu hadhihakiwi chochote ambandacho mtu huvuna. End
Mbn umekubali chapchap?Sawasawa
Niseme Nini ndugu yangu πππΆMbn umekubali chapchap?
Siyo kweli mbona wangu nimemuowa akiwa na 30+ na bado alikuwa bikra.
Nakuhakikishia mkuu hayupo mwanamke wa hivi. Hayupo.Wapo wanawake wazuri na wenye adabu
Wewe....muogope Mungu.Siyo kweli mbona wangu nimemuowa akiwa na 30+ na bado alikuwa bikra.
Sio wote mzee..ππ Japokuwa sijakataaHapana. Binti mzuri wa sura na tabia inakuwa ni risk kwa mzazi hata kuendelea ku.tunza.
Kwasabb barua zinajazana nyumbani na ugeni wa wachumba wanaoleta barua haukatiki. Binti anasumbuliwa ktk kila nyanja za maisha yake.
Inafika mahali ana nasa kwenye mtego wa mmoja wapo na kuamua kuolewa
Jamanii wee kakaa.. Mbona wapoo lohππHuyo amekudanganya.
Ni ngumu sana Mwanamke kubaki na bikra yake mpaka above 30.
Maana anavunja ungo akiwa ana miaka 12 . Hapo anaanza kuwashwa kuhitaji mwanaume. Huo muwasho hawezi kuuvumilia kwa miaka zaidi ya 15 awe tu hajaonja mjegeje
You must be kidding mkuu. Mkoa gani ulimpata huyu? Kijijini ama mjini?Siyo kweli mbona wangu nimemuowa akiwa na 30+ na bado alikuwa bikra.
Sikutegemea ndugu ukubali chapchap hivihivi, au Kuna ulichokishuhudia ukaona mtoa mada yuko sahihi?Niseme Nini ndugu yangu πππΆ
Dah hawapo Kwa kweli, Kila ukijaribu unaona lock ishafunguliwa.Jamanii wee kakaa.. Mbona wapoo lohππ
Sina neno mieSikutegemea ndugu ukubali chapchap hivihivi, au Kuna ulichokishuhudia ukaona mtoa mada yuko sahihi?
Sawa ndugu yangu.Sina neno mie
Nimemtoa hapa hapa mjini, huwezi aminiYou must be kidding mkuu. Mkoa gani ulimpata huyu? Kijijini ama mjini?