Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,572
- 5,945
Kwambaa.. Ukiwashwaa lazma ukunwee😂😂?Nimekulia nyumba ya Gynocologist wa muda mrefu muhimbili.. najua jua hayo mambo ya miwashoo kwa ke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwambaa.. Ukiwashwaa lazma ukunwee😂😂?Nimekulia nyumba ya Gynocologist wa muda mrefu muhimbili.. najua jua hayo mambo ya miwashoo kwa ke
Kuna jirani yangu hapa ako na 32 japokua anaishi na bibi yake ...ni hajui kitu😂😂.. Loh na wengine nimeshuhudia kama wa5 hivi... 😂😂
🤣🤣🤣🤣 Tupe story mzeyaMkubwa umemaliza kila kitu . Niliwahi kumkuta mdada mrembo sana na miaka yake 32. Nikafakamia kilichonipata nitasimulia maisha yangu yote.
Daah hawa singo maza kazi wanayoHiyo mishisha kama gari moshi,unavozipenda bange/
ATAKUOA NANI
Umezidisha kila party hukosi na lazima uliwe/
ATAKUOA NANI.
Mwili umejaa matattoo,na hayo matattoo unatembea kwa miguu/
ATAKUOA NANI.
Na unavozipenda pombeee,ukishalewa wanaswaga kama ling`ombe/
ATAKUOA NANI.
Na huo usingo maza na unavorembua,nyodo kibao,na shepu yako ya box/
ATAKUOA NANI..
Halafu kama ni singo mama hata uwe na miaka 20,tako laini,sura nzuri,tabia nzuri nenda kacheze porno tu/
HUOLEWI NG'O!!!
Lazima ukunwe labda kama wewe ni mwanamaombi sana.Kwambaa.. Ukiwashwaa lazma ukunwee😂😂?
Acha kukariri wewe kuolewa ni majaliwa ya Mungu au unadhani wanaume tunaoa tabia nzuri tu.Wanaume hatugombei wanawake tunagombea pesa.Kitoto cha miaka 15 up to 25yrs kitanipa nn zaidi ya stress?????Ngombe hazeeki maini afu nyama ya ngombe mzee ni tamu kwa matumizi binafsi.Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kwa nguvu halafu nipo kwenye daladalaWewe mwehu nini!
Kwambaa.. Ukiwashwaa lazma ukunwee😂😂?
Ulipata ngoma nn 😂Mkubwa umemaliza kila kitu . Niliwahi kumkuta mdada mrembo sana na miaka yake 32. Nikafakamia kilichonipata nitasimulia maisha yangu yote.
Watu wanamaliza chuo na 21 mkuuhUnaonge house girls au wasomi huo ndiyo umri wa kimaliza vyuo!
Ilo sijakataa.. Na ndo maana nakwambia wapo mkuu.. Huyu jirani yangu naspend muda mwingi nae..😂Ndio mwanamke anapata hormone imbalance akikaa muda mrefu bila kufanya tendo.. pia anakuwa na hana furaha muda mwingi..
Mwanamke aliyevunja ungo akikaa muda mrefu bila kufanya tendo Lazima apate depression, anxiety, and increased stress.
Hivyo hawezi kumudu kuvumilia hayo magonjwa kwa miaka mingi toka 12 mpaka miaka 30 bado awe bikra tu
Elezea vizuri basiNi mzuri wa sura na umbo kubwa zaidi alikuwa na kazi nzuri na kwao ni mtoto wa mwisho. Nilizama kwenye penzi na kaamua nioe kabisa mapicha picha yalianza ya kutosha
Mm miaka 21 tu nikaolewaWewe umeshaolewa au ndo sura ya baba?hahaha
Hiii ni kweli kabisa 💯💯💯👏👏Wenye sura za baba zenu ndiyo mnabakia mitaani na mnaleta na mabango humu
huyu jamaa wa ajabu sanaKama umebahatika umeolewa mapema na dada zako pia shukuru Mungu
Ilo sijakataa.. Na ndo maana nakwambia wapo mkuu.. Huyu jirani yangu naspend muda mwingi nae..😂