Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna mkuu. Hata kama una dada zako au majirani lkn hawajaolewa at 25 walinganishe sura zao na zile za baba zao. Kama hawajafanana na baba zao nasimamia uwanja wa Mkapa uniite MBWA
Mi nina mtu namjua kweli ana sura ya baba

Ana miaka 30 bado anasema eti yy mdogo 😂😂😂😂

Daah namwonea huruma sana
 
Kwa jamii za kiafrica, nakuunga mkono mia mia, ukiona mdada above 30 hajaolewa ujue anachangamoto hasa tabia, ila kwa wenzetu wa magharibi wao ndoa si kipaumbele regardless ya uzuri wa shepu, sura ama tabia.
Umeyasema yote kabisa mkuuu

Na jinsi hawa ke wanavyo fake life

🤣🤣🤣🤣 Hee hutaamini asee

Mi nina ndugu ana 30 mkuuu hana dalili yoyote kazi kushinda club weekend na kugongwa gongwa tu kama sijui nn

Daah huyu mwendo kaumaliza kwakeli
 
Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!

karne hii hii ama karne zile za enzi za utawala wa kiSultani?
 
Nawashauri mabinti jitahidini mahusiano yenu ya nyege yawe Siri ili kuwapa fursa ya kuolewa. Unaliwa mara moja na mtu unaaza kumuita mume na kuanza kumuweka status siku ya valentine day.Tulizeni wenge muolewe.
 
Back
Top Bottom