GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Naona umekuwa nyuu..Nipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umekuwa nyuu..Nipo
Nay wa mitego ft mabantu & stamina-atakuoa nani.Mkuu wimbo wa nan huo nimeupenda
Kama navyo hatuna?Tabia na Vitu Vingine vidogovidogo.
Ndio basi tena.Kama navyo hatuna?
Mi sijamsema mtu I'm talking from experienceWatu wa mungu hawa sengenyi
Kutwa kuwasema wanawake wasio olewa
Mkubwa umemaliza kila kitu . Niliwahi kumkuta mdada mrembo sana na miaka yake 32. Nikafakamia kilichonipata nitasimulia maisha yangu yote.
We ni mbwa kama ulivo semaWazuri wa sura na tabia wanatolewa mahari mwaka wa kwanza tu. Ukiona unamaliza chuo hujaolewa kajiangalie kwenye kioo halafu jilinganishe na sura ya babako. Ukiona hufanani na babako niite mbwa
Kwanini😀Unanikana huku naona
Nikisema utaniruka tuu😁Kwanini😀
Hahahaha wapo wengi humu yaan wakiona koment kama hizo huwa wanaviangalia vitoto vyao wanabaki na hasira...Daah hawa singo maza kazi wanayo
Uongo uongo uongooo[emoji125][emoji125]Usithubutu kuoa mdada mwenye 25+ utanikumbuka!
Kabisa na ni wengi mno mwingineana 30 kashaolewa mar 2 had TatuWengi waliolewa na hawana ndoa.
Shida sio kuwahi kuolewa shida ipo kumanage na ukamaliza katika ndoa.
Kuna wanaoachika njiani kuna wanabaki wajane.
Usinange shamba la mwenzio kama nzige hawajfika kwako.
😀Usithubutu kuoa mdada mwenye 25+ utanikumbuka!
Dunia ina mengi na vita kubwa ipo kwenu KE. Mna vita kubwa Ukiachana na haya mashindano ya sijui flani kaolewa flani bila bila.... Kuna vita nyingi.Kabisa na ni wengi mno mwingineana 30 kashaolewa mar 2 had Tatu
Kuolewa kunatakiwa utulivu wa akili na nafsi sio kwasabbu Fulani fulan
Watu wanatomasa tomasa manyonyo na kumega kiboga kisha wanasepaKwhy watu wanaonja, wakiona sio wanarudisha mezani.
Sahihi mkuu,kuoa au kuolewa ni mpango wa Mungu,kuna watu wameolewa wana 40+ na wamedumu kwenye ndoa,na kuna wa below 25 hawajapata hata wachumba,si kweli kwamba kuchelewa kuolewa ni sababu ya sura mbaya na tabia,unaweza ukawa na hiyo 25 lkn ukakisa wa kukuoa kila anayekuja sio sahihi.Muogope Mungu. Ishi kama mtu mwenye kujuwa vile Mungu anafanya kazi. Sio kila mtu ataolewa wala sio kila mtu ataowa. Wapo wanawake wazuri na wenye adabu hawana waume na wanahaha na madangwa yao hwuwez amini ila wapo pia wanaume handsome hawawez Kaa ma mke. Mungu hadhihakiwi chochote ambandacho mtu huvuna. End
Karne hii hii!karne hii hii ama karne zile za enzi za utawala wa kiSultani?
kwahiyo wenye sura za baba zetu tusali sana na kufungaMi sijamsema mtu I'm talking from experience
Madam hao wanawake above 25 sio wa kuweka ndani ni wa kusuuzia rungu na kusepa
Na hii kitu naona kwa watu wanaonizunguka sanasana
Hivyo si sengenyi huo ndo ukweli ulio mkuu
Na ubaya najua unauma sana ila ndo hivyo we kubali tu
Kama we ni mwanamke na huna sura nzuri au shepu nzuri basi afadhali hata uwe mtu wa Mungu kwelikweli
Mungu ndo anaeweza kukuokoa kwenye hili janga la kutokuolewa acha niishie hapo