To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Karibu...unipende mie na wanangu๐๐๐คNgoja nijipange vizuri kumbe uko single.
Nakukubali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu...unipende mie na wanangu๐๐๐คNgoja nijipange vizuri kumbe uko single.
Nakukubali sana
๐๐๐Sina hiyanaNawewe unanishauri hivyo?
๐ mimi ni nani nikatae ushauri wako๐๐๐Sina hiyana
Wanasema ukipenda ua, penda na maboga yake.Karibu...unipende mie na wanangu๐๐๐ค
Wee,kumbe wewe nitakupenda mpaka useme pooWanasema ukipenda ua, penda na maboga yake.
๐So good๐ mimi ni nani nikatae ushauri wako
Ninyi mtakuwa na sura za Babu wa baba zenuNa sio wenye sura mbaya na hatujaolewa na tuna 30 mnatuanbiaje
So nice๐So good
Ngoja nijipange sasa.Wee,kumbe wewe nitakupenda mpaka useme poo
Nakusubiri Kwa hamuNgoja nijipange sasa.
Dada mkubwa Aaliyyah nakuomba unielezee hapa ๐๐๐Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
Sisi mashangazi halituhusu hahaaa ๐ ๐Haya wasichana warembo mkuje huku mpambane na liuzi lenu.
Imekugusa kunako ๐๐Wewe mwehu nini!
Duh! Huku mbali sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Usithubutu kuoa mdada mwenye 25+ utanikumbuka!
๐๐๐๐Sisi mashangazi halituhusu hahaaa ๐ ๐
Siyo kwamba ukiandika hoja kwa kiingilishi ndiyo inakuwa bora sana. Ulichokiandika hakina mantiki yoyote.Hizi tafiti zenu uwa mnafanyia wap?
Put data on the table......?
Without statistical Data...........This thread will sound ridiculous.