Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

kwahiyo wenye sura za baba zetu tusali sana na kufunga
Ila tambua kumuweka mwanamke mzur ndan nikujitafutia ugonjwa wa moyo dogo
tuombeane uzima nipo nimekaa pale
Eti kumweka mwanamke mzuri ni kujitafutia ugonjwa wa moyo nyie mkisikiza maneno ya mtumishi mnaamini tu au maneno ya watu

Kwa taarifa yako hao wanawake wenye sura nzuri sio wote ni vinchenchede

Mi nina mifano 2 ya ndugu zangu kabisa waliowaoa


Na ni watu wa Mungu kwelikweli sio wale wanafiki wanawake hao wenye sura nzuri wamezaaa watoto wazuri kama nn


Ni full shangwe


Kwaiyo usikariri kuwa wote ni vingumbengumbe sio hivyo


Ndo maana nikakuambia komaa na sala na ushape personality yako you never know ukaposwa na tajiri au mzungu 🤣🤣🤣😬😬😬😬😬

Its up to u
 
Back
Top Bottom