Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!
Sure mkuu Kuna binti nikiwa second year namsotea yupo f3. Anamaliza six ananiletea mapicha sema hakuwa na uzoefu na masuala haya. Muda huo Niko tayari kuwa na mke nikaachana naye Ila ana Tabia njema mpaka kesho. Nilimkubali kwa Tabia take kwa kweli,sexy Ni kawaida sema alikuwa na uweusi fulani amaizing Kama ule ww chocolate ama wa kisomali fulani ivi
 
Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!

Binti anafika kwenye maximam uzuri akiwa na 22 na katika age hiyo wajuba kibao wanammezea mate na yeye kwakuwa beki hazikabi anaacha mlango wazi wageni wanagonga sana ,sasa wageni wakigonga sana title yake inabadilika na anakuwa malaya then hakuna mwanamme anayeoa malaya hence wanaokuja watakuwa hit and run akija kustuka 30s hii no ndoa.
 
Siyo kwamba ukiandika hoja kwa kiingilishi ndiyo inakuwa bora sana. Ulichokiandika hakina mantiki yoyote.

Kwamba wewe mtaani kwako huyaoni niliyo yaandika?
I'm not here to argue, btn swahili and English which is best language?

I'm here cause you talk about people that have a specific gender, age, tribes, body structure, colour and status?

It's not okay to write "blah blah blah" without a Quantitative data analysis?

So, it looks shambolic.
 
Binti anafika kwenye maximam uzuri akiwa na 22 na katika age hiyo wajuba kibao wanammezea mate na yeye kwakuwa beki hazikabi anaacha mlango wazi wageni wanagonga sana ,sasa wageni wakigonga sana title yake inabadilika na anakuwa malaya then hakuna mwanamme anayeoa malaya hence wanaokuja watakuwa hit and run akija kustuka 30s hii no ndoa.

Shida ni elimu ya dunia watoto kazi yao kumsikiliza Gigy money unategemea nn
 
I'm here cause you talk about people that have a specific gender, age, tribes, body structure, colour and status?
Unaona madhara ya kutoa maoni kwa lugha isiyo yako?

Kwenye uzi wangu kuna sentensi ama neno lolote nimeandika kuhusu kabila, rangi na hadhi ya mtu??

Ndugu yangu wee andika kiswahili tu.
 
Unaona madhara ya kutoa maoni kwa lugha isiyo yako?

Kwenye uzi wangu kuna sentensi ama neno lolote nimeandika kuhusu kabila, rangi na hadhi ya mtu??

Ndugu yangu wee andika kiswahili tu.
I have been said that "You talk about people? That people have specific......age......gender and so on?" Ni vyema unge mention specification and a bit of supportive data.

Kama ni wewe umesema ninge "kuquote" but i try to show you, how you should be represent?

I hope you have got my point?
 
Back
Top Bottom