Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sii unaona kumbe kupitia uchizi wangu unaburudika na kufurahi.Kuna wakati nikisoma mwandiko wako huwa nachekaga haki tena🤣🤣
Kichwa yako unaijuaga mwenyewe haki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ah wee sii unajidai hutaki mie kunyonya lips hizo ndio u missing out sasa.Kuna wakati nikisoma mwandiko wako huwa nachekaga haki tena🤣🤣
Kichwa yako unaijuaga mwenyewe haki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuache utani..itakuwa umempelekea motro vizuri sana mleta mada🤣🤣
😆😆😆😆😆😆😆😆Sasa sii unaona kumbe kupitia uchizi wangu unaburudika na kufurahi.
"Nzii pamoja na hasara zake ana faida ya kupunguza msongamano wa watu hapa duniani"
Haya punguza wenge arifuAh wee sii unajidai hutaki mie kunyonya lips hizo ndio u missing out sasa.
Wenge ganiHaya punguza wenge arifu
Haya uwe na wakati mwema🥂Wenge gani
we sema, umemfanyaje dada wa watu?Aliye elewa anieleweshe
Itakuwa kimeumana, huyu mzab mzab atakuwa kamzaba zaba mtoto wa watu mpaka amechanganyikiwaMkuu ivi ni kwamba huwa hujui kuandika kiswahili vizuri au na wewe ni darasa la 7 B mwenzangu??
Kama unashindwa kuandika kiswahili fasaha ukaeleweka basi usiwe unaleta nyuzi humu, mara nyingi umekua ukikosolewa kuwa hueleweki
Wee kigi makasi ndio yule mchezaji mpira ama?we sema, umemfanyaje dada wa watu?
Tumepeana utamu sasa naona mrembo de libolo limemchanganya anataka alage peke yakeItakuwa kimeumana, huyu mzab mzab atakuwa kamzaba zaba mtoto wa watu mpaka amechanganyikiwa
Acha uongoTumepeana utamu sasa naona mrembo de libolo limemchanganya anataka alage peke yake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Ukielewa nieleweshe na mimi
🤣🤣🤣🤣🤣Ww unaweza kua ni mzabzab wa kike🤣🤣
sophy27 Waliosingle wapo sema dada yetu akili yake haileweki ndio maana anapata watu kulingana na yeye alivyo mbona hata mimi nipo single kuwa single ni maamuzi ya mtu labda unakuta hajaona mtu sahihi wakuingia nae kwenye relationship, kuna mwingine anagundu tu kila sehemu anakataliwa, Mwingine hana interest na wanawake kabisa na wengine unakuta katoka kuachwa au kaacha sasa sijajua kwanini dada yetu anaona ni kitu ambacho akiwezekaniDada alikuwa anafatilia waliosingle na research akafanya akaona bila bila😂😂😂
Sio kweli wewe akili ya mtoa mada unaiyonaje?Wanaume watatufanya tuwe vichaa sio Kwa nyuz hizi😂😂😂
Mnatuonea aisee hiv nikuulize wewe akili ya mtoa mada unaiyonaje kwanza?Eeeeh wanaume wa sasa wanajiita sitak shari🙆🙆🙆🙆🙆
Ndiyo mkuu, tofauti ni kuwa tu mimi nipo single afu Kigi mwenyewe ana familiaWee kigi makasi ndio yule mchezaji mpira ama?