Mbona wapo dar Tena ninawajua kabisa mmoja ni rafiki yangu kabisa sijui kwanini mnakuwa wagumu kukubaliLabda wanaume wa mikoani sio wanaume wa dar😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wapo dar Tena ninawajua kabisa mmoja ni rafiki yangu kabisa sijui kwanini mnakuwa wagumu kukubaliLabda wanaume wa mikoani sio wanaume wa dar😂😂
Hii ni kweli, nna rafiki yangu pia ni male 34+ hajawahi kunjunjana na yuko fresh tu.Mbona wapo dar Tena ninawajua kabisa mmoja ni rafiki yangu kabisa sijui kwanini mnakuwa wagumu kukubali
Huyu dada haelewekagi hata comments zake at first nilidhan mdhungu🙌Aliye elewa anieleweshe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unatafuna ngano unashushiaa na kinywaji kilichotengenezwa na ngano ,,,umeuaaSingle boy wa kweli kwel nipo hapa nimetulia nakula chapati na bia [emoji16]
😂Haipo hiyoMbona wapo dar Tena ninawajua kabisa mmoja ni rafiki yangu kabisa sijui kwanini mnakuwa wagumu kukubali
Mtoto amekuelewa fungua codes hizo.Aliye elewa anieleweshe
We elewa me nipo single..😂😂😂Mbona kama sijaelewa hii
Sio kweli wewe akili ya mtoa mada unaiyonaje?
Hii ni kweli, nna rafiki yangu pia ni male 34+ hajawahi kunjunjana na yuko fresh tu.
Wengine wanajiwekea tu misimamo yao
Sawa sawa nimeelewaWe elewa me nipo single..
InawezekanaKakupiga kamba huyo, haiwezekani
angekuwa 23 ningeelewa sio 30 something Jeez labda awe padreInawezekana
Hahaa sio padre hataangekuwa 23 ningeelewa sio 30 something Jeez labda awe padre
ambae sio priority anajunjana mara chache, huyo jamaa anakuvizia sasa jichanganye siku umpe papuchi ukiamini kuwa jamaa ni bikra utaleta mrejesho utavyopelekewa full throttle motoHahaa sio padre hata
Kuna watu kunjunjana sio priority kwao
Umepanic sana naona huko PM unasumbuka sana kuchambua yupi ni yupi na yupi si yupi mwisho wa siku utaangikia kwa Useseme atakutafuna tunda kimasihara, kua makini mkuuWatu humu mambooz.
Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili.
Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha yanaenda sana.
Na ndiyo maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo.
Nimecheka sana😂😂ambae sio priority anajunjana mara chache, huyo jamaa anakuvizia sasa jichanganye siku umpe papuchi ukiamini kuwa jamaa ni bikra utaleta mrejesho utavyopelekewa full throttle moto
Njoo basi...nimechoka kuona....@lenie is typing mwee🤣Umenimiss eeh😅
Nilihisi labda nimechoshwa na hii kazi ya kumwaga zege niliyotoka kuifanyà . Kwakweli sijaelewa.Aliye elewa anieleweshe