Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Hahaa sio padre hata
Kuna watu kunjunjana sio priority kwao
ambae sio priority anajunjana mara chache, huyo jamaa anakuvizia sasa jichanganye siku umpe papuchi ukiamini kuwa jamaa ni bikra utaleta mrejesho utavyopelekewa full throttle moto
 
Watu humu mambooz.

Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili.

Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha yanaenda sana.

Na ndiyo maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo.
Umepanic sana naona huko PM unasumbuka sana kuchambua yupi ni yupi na yupi si yupi mwisho wa siku utaangikia kwa Useseme atakutafuna tunda kimasihara, kua makini mkuu

Sijasema mimi mkuu nimenukuu kwa mwamba mmoja hapo juu

Nitarudi tena...
 
ambae sio priority anajunjana mara chache, huyo jamaa anakuvizia sasa jichanganye siku umpe papuchi ukiamini kuwa jamaa ni bikra utaleta mrejesho utavyopelekewa full throttle moto
Nimecheka sana😂😂
 
Back
Top Bottom