Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Me niko juu kitambo sana
Basi naona hatuendani😂😂😂
Huwezi kuwa juu yangu vinginevyo hujui nafasi yako😄😄😄

Ninachoongelea ni kuwa spidi ya maungano yetu yapaswa kuwa ya spidi ndogo huku tukiichochea mdogo mdogo
 
Huwezi kuwa juu yangu vinginevyo hujui nafasi yako😄😄😄

Ninachoongelea ni kuwa spidi ya maungano yetu yapaswa kuwa ya spidi ndogo huku tukiichochea mdogo mdogo
Ofcourse siwezi kuwa juu yako as umenizidi urefu😛

Hayo mambo ya kizamani bana
 
Ofcourse siwezi kuwa juu yako as umenizidi urefu😛

Hayo mambo ya kizamani bana
Unajua wewe ni falaz sana sana🤣

Nimekuzidi vingi tu.
Huwezi kusukuma mkokoteni kifua wazi

Huna ile kitu

Nk nk🤣
 
Back
Top Bottom