Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeongea vice versaHAKUNA MWANAMKE ANAYEKOSA MUME WA KUOLEWA NAYE.
Anaandika, Robert Heriel.
Kuna uvumi unaoendelea katika jamii zetu za kiafrika kuwa mwanamke akifika umri Fulani anakuwa katika Mazingira magumu ya kuolewa Jambo ambalo sio kweli. Mwanamke anaweza kuolewa katika umri wowote hata akiwa kabibi, Ila mwanaume ndiye yupo limited katika suala la kuoa. Nitafafanua hapo chini.
Nimewahi kuwasikia mpaka wachungaji na watu mashuhuri wakihubiri Jambo hili, Hali inayowafanya wanawake waathirike kisaikolojia tofauti na uhalisi. Ati mwanamke akifikisha miaka 30 yupo kwenye hatari ya kukosa mume, sio kweli.
Ngoja uone utofauti wa mwanamke na Mwanaume linapokuja suala la Ndoa. IPO hivi;
1. Mwanamke anaweza kuolewa hata akiwa na miaka 12 lakini mwanaume hawezi kuoa akiwa na umri huo hata afanye nini.
2. Mwanamke hata awe CHIZI anaweza kupata mwanaume walau wa kumtamani na kumzalisha, lakini mwanaume akiwa tuu Rafu au fukara achilia mbali uchizi na ukichaa inaweza kumsababishia asipate mtoto au mke.
3. Mwanamke hata awe na miaka 60+ anaouwezo wa kuolewa tena na kuihudumia familia Kama mke, lakini Mwanaume akifikisha miaka 60 Hana uwezo wa kuoa mke mwingine labda awe na pesa au Mali. Wakati mwanamke hata akiwa Masikini Anauwezo wa kuolewa tena.
4. Kadiri mwanaume anavyochelewa kuoa na akakosa Mali ndivyo anajihatarishia Mazingira ya kupata Mke lakini mwanamke yeye Hana kuchelewa.
Kizuizi pekee Kwa wanawake mpaka wanakuwa under pressure ni suala la Uzazi kuwa na kikomo Hilo ndio kubwa, la pili ni utegemezi Kwa waliowengi ambao hupenda kuhudumiwa.
5. Mwanamke hawazi ataolewaje kwani yeye mwili wake ndio nguzo muhimu kuitumia. Lakini mwanaume lazima awaze ataoaje kwani kuoa lazima uwe umejipanga, lazima uwe na uchumi mzuri, lazima uwe na nguvu za kiume, lazima uwe na hadhi anayohitaji huyo Mdada.
6. Mwanamke Hana wajibu wa kuihudumia familia Bali kuilea familia. Mwanaume anawajibu WA kuihudumia na kuolewa familia.
7. Mwanamke yeye kwenye ndoa hata asipokuwa na nguvu za kike wakati WA tendo la ndoa haiathiri chochote, kwani asili ya mwanamke hayupo After Sex, sex sio kipaombele. Ndio maana anaweza kukaa muda mrefu bila Sex lakini Kwa mwanaume ni tofauti, mwanaume akikosa nguvu za kiume ujue ndoa ipo mashakani.
Hivyo ndio maana ni rahisi mwanaume asiyeweza kwichikwichi kukosa mke, lakini mwanamke asiyeweza kwichikwichi anapata mume. KAZI ya mwanamke akiwa 6*6 inaweza kuwa kutega kitendawili alafu mwanaume akitegue.
7. Mwanamke kukaa muda mrefu bila kujulikana Bwana wake sio shida kwenye jamii, lakini mwanaume kukaa muda mrefu bila kujulikana anapopumzikia au ikionekana hajaingiza kidemu inaweza kuwa mbaya na kuonekana anatatizo la kiafya, na kuzuka Kwa Majina Kama Mchicha mwiba, hanithi, jogoo haoandi mtungi n.k
Hakuna wanawake wanaokosa waume wa kuwaoa, Ila wanawake ndio huchagua wanaume wa kuolewa nao.
Wanawake wanachagua hadhi, hupenda wanaume wenye vipato, wazuri na wenye mvuto. Hilo ndilo huwachelewesha kupata mume.
Wanawake wote wanaotaniwa na kushutumiwa kuwa hawajaolewa sio kwamba hawatongozwi, sio kwamba HAO wanaowatongoza hakuna ambao hawapotayari kuwaoa, Hasha! Wapo sema wanaotaka kuwaoa hawana vigezo Wanavyovitaka.
Wanawake wa kisasa waliosoma vyuo vikuu, wadada wa mjini ndio wanaoongoza Kwa ubaguzi wa wanaume hasa Wale wanaume wachovu na wasio na hadhi wasizozitaka.
Lakini kimsingi hakuna mwanamke anayekosa mume WA kuolewa Naye.
Kijana wa Kiume Kama Hana kazi, na Hana maisha mazuri ndiye anatakiwa awe na mashaka ya kuwa ataoaje.
Maana kadiri kijana anavyokuwa mtu mzima, alafu akakosa pesa ndivyo anavyojiweka katika Mazingira magumu ya kupata mke.
Ramadan Kareem
umeongea vice versa
We dogo this time unatafuta papuchi ya bure na cheap sympathy
Vijana kibao wapo vzr wanahonga Malaya hadi million sasa hatakosa vipi Mwanamke
Na huku mtaani mademu kibao wanashinda kwa waganga wakiforce ndoa na hawazipati
Acha kuandika ujinga hi thread ya 5 unawapa wanawake tumain hewa.
Statistically kiduania population ya wanaume na wanawake wanaozaliwa ipo sawa ila kadri umri wanavokua wanaume wanakufa haraka ila site tupo sawa Ile maneno ya wanawake wapo wengi ni myth tu. Sema wanawake wana standards ambapo yupo radhi kuolewa mke wa pili Kwa mwanaume mwenye uwezo wa kuhudumia kuliko kuolewa na mke wa kwanza Kwa mwanaume kapuku.Kuna sababu nyingi zinazofanya wanawake wakose kuolewa.
Wanawake ni wengi kuliko wanaume,na bado kuna wanaume wengi hawaoi kutokana na uchumi.
Bado mwanamke akifika 30+ kuolewa ni bahati nasibu.
😀😀
Mkuu Mimi sipendagi vya Bure,
Ukiona wameenda Kwa waganga ujue wanatafuta wanaume wenye hadhi wazitakazo, sio kwamba hakuna wanaowatongoza na kutaka kuwaoa.
Elewa.
Kuhonga milioni moja ni tofauti na kuoa au kumiliki Mwanamke Budah!
Ni Sawa ukodishe Bolt au Uba alafu ujifananishe na anayemiliki Gari😂😂😂
Kuoa ni shughuli nyingine Mzee.
Unafanya majukumu yote Kwa ajili ya familia, mke na watoto.
Point number 1 kwa jamii yetu hapa tarime haifanyi kazi. hata mtoto mchanga ,achana na huo umri wa miaka 12, anaweza kuoa piaHAKUNA MWANAMKE ANAYEKOSA MUME WA KUOLEWA NAYE.
Anaandika, Robert Heriel.
Kuna uvumi unaoendelea katika jamii zetu za kiafrika kuwa mwanamke akifika umri Fulani anakuwa katika Mazingira magumu ya kuolewa Jambo ambalo sio kweli. Mwanamke anaweza kuolewa katika umri wowote hata akiwa kabibi, Ila mwanaume ndiye yupo limited katika suala la kuoa. Nitafafanua hapo chini.
Nimewahi kuwasikia mpaka wachungaji na watu mashuhuri wakihubiri Jambo hili, Hali inayowafanya wanawake waathirike kisaikolojia tofauti na uhalisi. Ati mwanamke akifikisha miaka 30 yupo kwenye hatari ya kukosa mume, sio kweli.
Ngoja uone utofauti wa mwanamke na Mwanaume linapokuja suala la Ndoa. IPO hivi;
1. Mwanamke anaweza kuolewa hata akiwa na miaka 12 lakini mwanaume hawezi kuoa akiwa na umri huo hata afanye nini.
2. Mwanamke hata awe CHIZI anaweza kupata mwanaume walau wa kumtamani na kumzalisha, lakini mwanaume akiwa tuu Rafu au fukara achilia mbali uchizi na ukichaa inaweza kumsababishia asipate mtoto au mke.
3. Mwanamke hata awe na miaka 60+ anaouwezo wa kuolewa tena na kuihudumia familia Kama mke, lakini Mwanaume akifikisha miaka 60 Hana uwezo wa kuoa mke mwingine labda awe na pesa au Mali. Wakati mwanamke hata akiwa Masikini Anauwezo wa kuolewa tena.
4. Kadiri mwanaume anavyochelewa kuoa na akakosa Mali ndivyo anajihatarishia Mazingira ya kupata Mke lakini mwanamke yeye Hana kuchelewa.
Kizuizi pekee Kwa wanawake mpaka wanakuwa under pressure ni suala la Uzazi kuwa na kikomo Hilo ndio kubwa, la pili ni utegemezi Kwa waliowengi ambao hupenda kuhudumiwa.
5. Mwanamke hawazi ataolewaje kwani yeye mwili wake ndio nguzo muhimu kuitumia. Lakini mwanaume lazima awaze ataoaje kwani kuoa lazima uwe umejipanga, lazima uwe na uchumi mzuri, lazima uwe na nguvu za kiume, lazima uwe na hadhi anayohitaji huyo Mdada.
6. Mwanamke Hana wajibu wa kuihudumia familia Bali kuilea familia. Mwanaume anawajibu WA kuihudumia na kuolewa familia.
7. Mwanamke yeye kwenye ndoa hata asipokuwa na nguvu za kike wakati WA tendo la ndoa haiathiri chochote, kwani asili ya mwanamke hayupo After Sex, sex sio kipaombele. Ndio maana anaweza kukaa muda mrefu bila Sex lakini Kwa mwanaume ni tofauti, mwanaume akikosa nguvu za kiume ujue ndoa ipo mashakani.
Hivyo ndio maana ni rahisi mwanaume asiyeweza kwichikwichi kukosa mke, lakini mwanamke asiyeweza kwichikwichi anapata mume. KAZI ya mwanamke akiwa 6*6 inaweza kuwa kutega kitendawili alafu mwanaume akitegue.
7. Mwanamke kukaa muda mrefu bila kujulikana Bwana wake sio shida kwenye jamii, lakini mwanaume kukaa muda mrefu bila kujulikana anapopumzikia au ikionekana hajaingiza kidemu inaweza kuwa mbaya na kuonekana anatatizo la kiafya, na kuzuka Kwa Majina Kama Mchicha mwiba, hanithi, jogoo haoandi mtungi n.k
Hakuna wanawake wanaokosa waume wa kuwaoa, Ila wanawake ndio huchagua wanaume wa kuolewa nao.
Wanawake wanachagua hadhi, hupenda wanaume wenye vipato, wazuri na wenye mvuto. Hilo ndilo huwachelewesha kupata mume.
Wanawake wote wanaotaniwa na kushutumiwa kuwa hawajaolewa sio kwamba hawatongozwi, sio kwamba HAO wanaowatongoza hakuna ambao hawapotayari kuwaoa, Hasha! Wapo sema wanaotaka kuwaoa hawana vigezo Wanavyovitaka.
Wanawake wa kisasa waliosoma vyuo vikuu, wadada wa mjini ndio wanaoongoza Kwa ubaguzi wa wanaume hasa Wale wanaume wachovu na wasio na hadhi wasizozitaka.
Lakini kimsingi hakuna mwanamke anayekosa mume WA kuolewa Naye.
Kijana wa Kiume Kama Hana kazi, na Hana maisha mazuri ndiye anatakiwa awe na mashaka ya kuwa ataoaje.
Maana kadiri kijana anavyokuwa mtu mzima, alafu akakosa pesa ndivyo anavyojiweka katika Mazingira magumu ya kupata mke.
Ramadan Kareem
Ni ngumu kumkuta Mwanaume anaenda kwa Mganga ili apate kuoa lakin wanawake wanaroga kila leo so ebu fatilia unachoandika ndo upost
Muulize Mshana Jr akuambie kuhusu wanawake wanavyoroga ili waolewe.
Mkuu wewe ume-oa?
Point number 1 kwa jamii yetu hapa tarime haifanyi kazi. hata mtoto mchanga ,achana na huo umri wa miaka 12, anaweza kuoa pia
mwanamke akiolewa bila kuwa na pesa ananyanyasika. lazima ataonewa, haki haitakuwepo.
wanawake wajanja wanatafuta maisha kwanza,siku hizi binadamu hawasomeki.
Ningekuwa karibu yako ningekuchapa vibao viwili vya nguvu.