Kama palipo na Masikini Kuna matajiri,kwa vile unaskia sana kuhusu kesi za wanaume kutoka nje ya ndoa, kuwa na watoto nje basi umedhania kwamba hakuna mwanaume anaeridhika na mwanamke mmoja, lakini huna njia ya kuthibitisha hilo....
mimi naamini wapo sana tu,
😂😂😂Nimekaa hapa na daftari..
Na note wanaume wazinzi.. wasio ridhika..
Na nina note wanafki ambao wanasema hawachitigi..
Na nina note wale wakweli..
Nina macho ya rohoni.. nawaona mpaka ndani ya miandiko yenu 😂😂
watu tunaishi sana kwa biases,Kama palipo na Masikini Kuna matajiri,
Palipo na wazinzi basi wapo wasio wazinzi
Thibitisha kuwa wapokwa vile unaskia sana kuhusu kesi za wanaume kutoka nje ya ndoa, kuwa na watoto nje basi umedhania kwamba hakuna mwanaume anaeridhika na mwanamke mmoja, lakini huna njia ya kuthibitisha hilo....
mimi naamini wapo sana tu,
Since you are satisfied with 1 girl? Then why not? Mko wachache nyie 🌚🤭Ni kweli ama utani tu?
Kwanini hupendi amani 😂😂Thibitisha kuwa wapo
Nimecheka hatarihawavumi lakini wamo
wanaitwa mpwiloka😂
Wapo bana.. wa kwanza ni The Best Of All TimeAthibitishe uwepo wa hao wanaume
kama ndoa imetulia watu wanakosa cha kuizungumzia tofauti na ndoa yenye makesi kesi...Athibitishe uwepo wa hao wanaume
Pwiloka weeekama ndoa imetulia watu wanakosa cha kuizungumzia tofauti na ndoa yenye makesi kesi...
kwenye mambo ya mahusiano watu wana 'negativity bias'
ndo maana mapwiloka hawaskiki
Amen,
nakazia hapa, sioni sababu ya kuwa na wanawake wengi au zaidi ya mmoja hakuna jipya nje ya mwanamke 1, labda kama unataka watoto wengi kwa wakati nmoja unless ni mtu kuwa muhuni by nature au makuzi yake..Hata mimi siungi mkono hoja.
Ni ukosefu wa nidhamu na muda mwingine ni maamuzi ya mtu. Mtu mwenye nidhamu hawezi kuwa na wanawake wengi.
Huko duniani mnakoendekeza uzinzi mtasema ni rahisi kuthibitisha mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja.Kipi ni rahisi kati ya kuthibitisha kuwa mwanaume anaridhika na mwanamke mmoja au kuthibitisha kuwa mwanaume hardhiki na mwanamke mmoja?