Hakuna mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja au ni hulka ya mtu tu?

Hakuna mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja au ni hulka ya mtu tu?

Kwa aliye timamu kimwili na kiakili, na kipesa Mwanamke mmoja hatoshi, anaweza kutafuna mbususu zaidi ya moja kila siku....
Ni Tamaa tu na ulimbukeni wa pesa mkuu. Tunzeni wanawake zenu mliokuwa nao ndani wacha kutolea macho hao wa nje,
"Eti aliyetimamu kimwili na kiakili" umeshindwa kucontrol mihemko yako ya ngono alafu unaita utimamu wa akili. Kuna maamuzi wanaume tunafanya kwa kukurupuka tu matokeo yake unaumiza watoto wako mwenyewe
 
Kaangalie channel za discocery planet, animals n.k uje utwambie Swala dume huwa ana majike mangapi anakaa nayo porini ? Simba dume je ? Hamuwezi kushindana na nature.Hivo ndo ilivyooumbwa na mola.
Swala dume anaishi na majike zaidi ya ishirini na Simba dume anaishi na majike zaidi hata ya sita !
Mmmekaa kuwangalia wambea tu kina Mwijaku baba nani sijui na yule anaejiita influencer !
 
Kuna mwamba tunakaa naye mtaani huku, anakujaga na kuondoka. Ana mke na watoto wake ila huku pia kuna demu amempangishia nyumba kamfungulia biashara na amezaa naye mtoto mmoja
Mtu mwenye utimamu hawezi kufanya huu ujinga,
Wanetu mnafeli sana kwa kigezo cha mwanaume anamatamanio. Mtoto wa kiume unawaza ngono tu muda wote kama paka, wanawake washindwe kucontrol hisia zao na wewe mwanaume pia ulalamike eti hiwezi kujicontrol si tatizo hilo
 
Kaangalie channel za discocery planet, animals n.k uje utwambie Swala dume huwa ana majike mangapi anakaa nayo porini ? Simba dume je ? Hamuwezi kushindana na nature.Hivo ndo ilivyooumbwa na mola.
Swala dume anaishi na majike zaidi ya ishirini na Simba dume anaishi na majike zaidi hata ya sita !
Mmmekaa kuwangalia wambea tu kina Mwijaku baba nani sijui na yule anaejiita influencer !
Wanyama wanagongana mpaka mtu na dadaake, Mtoto anazaliwa leo anakua anamgonga mamaake. Hatuwezi kuishi kama wanyama. Mungu alipoumba binadamu alijinadi kutengeneza kiumbe bora katika viumbe wake alafu wewe unataka kujifananisha na mnyama
 
Ni Tamaa tu na ulimbukeni wa pesa mkuu. Tunzeni wanawake zenu mliokuwa nao ndani wacha kutolea macho hao wa nje,
"Eti aliyetimamu kimwili na kiakili" umeshindwa kucontrol mihemko yako ya ngono alafu unaita utimamu wa akili. Kuna maamuzi wanaume tunafanya kwa kukurupuka tu matokeo yake unaumiza watoto wako mwenyewe
Nimesoma bandiko lako lakini sikujua mtoa mada hii, nikarejea juu nilipoona jina tu nikapata jibu, kutokana na ruhusa uliyokuwa nayo ya kumiliki binadamu wanne basi huna sababu ya kuwa na ziada na usiwaona wengine ni wakosefu katika jambo hilo siyo sawa.
 
Nimesoma bandiko lako lakini sikujua mtoa mada hii, nikarejea juu nilipoona jina tu nikapata jibu, kutokana na ruhusa uliyokuwa nayo ya kumiliki binadamu wanne basi huna sababu ya kuwa na ziada na usiwaona wengine ni wakosefu katika jambo hilo siyo sawa.
Ndo umeongea nini sasa??
Soma vizuri post yangu uelewe sio unajibu kama mtoto wa miaka ishirini.
Nani anaruhusa ya kumiliki binadamu?
 
Kuna mwamba tunakaa naye mtaani huku, anakujaga na kuondoka. Ana mke na watoto wake ila huku pia kuna demu amempangishia nyumba kamfungulia biashara na amezaa naye mtoto mmoja
Mtu mwenye utimamu hawezi kufanya huu ujinga,
Wanetu mnafeli sana kwa kigezo cha mwanaume anamatamanio. Mtoto wa kiume unawaza ngono tu muda wote kama paka, wanawake washindwe kucontrol hisia zao na wewe mwanaume pia ulalamike eti hiwezi kujicontrol si tatizo hilo
Mkuu unaongelea umasikini, au Nature ya Viumbe Hai?? Ukiona hauna hicho unachokiita Mihemuko ujue una tatizo mahali, aidha umasikini unakunuka au una tatizo la Kiafya iwe akili au mwili, vinginevyo Nature inakataa
 
Back
Top Bottom