Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Mwishoe akaja kujua kumbe tofauti ni bucha tuSuleiman na ufalme wake alishindwa na kuona Hadi wanawake wakigeni ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwishoe akaja kujua kumbe tofauti ni bucha tuSuleiman na ufalme wake alishindwa na kuona Hadi wanawake wakigeni ,
Inaweza ukawa upo sahihi. Lkn je..unaongeleaje wanyama majike kuingiliwa na madume wengi?Kaangalie channel za discocery planet, animals n.k uje utwambie Swala dume huwa ana majike mangapi anakaa nayo porini ? Simba dume je ? Hamuwezi kushindana na nature.Hivo ndo ilivyooumbwa na mola.
Swala dume anaishi na majike zaidi ya ishirini na Simba dume anaishi na majike zaidi hata ya sita !
Mmmekaa kuwangalia wambea tu kina Mwijaku baba nani sijui na yule anaejiita influencer !
NipoooooooHata sisi hatutosheki, wapi wafeminist wenzangu.
Tudai haki ya kutambulika kuwa hatutosheki na mwanaume mmoja, turuhusiwe kuolewa na wanaume wawili na kuendelea.
Teh teh! 😂
Tatizo binadamu ni wabishi sana love! Thank youuuuu babee💕💕💕💕💃🕺!
Sio kweli nikiwa kwangu ni wake na nikitoka ni wake. Siwezi kuwa wa wote nitawamaliza?Niliwahi sikia eti mwanaume ni kama jogoo, atampanda jike huyu, atatoka atamapanda jike lingine. So hawa kuku jogoo, usiwafikirie sana akiwa kwako ni wako, akitoka wa wote!
HulkaMack Zuckerberg anahela kuliko ukoo wenu mzima na katulia na mke wake mmoja, nyinyi wenye akili za kimaskini ndo mnahusisha mihemko yenu na kuwa na pesa.
Mwanaume rijali hapimwi kwa kuwa na wanawake wengi, urijali wako unaangaliwa jinsi gani unaweza kummudu uyo mkeo mmoja na watoto aliokuzalia, umeshindwa kummudu mwanamke mmoja ndani alafu bado unajiona mzima hauna mapungufu!
Aliyekuroga amefariki shehe
Kwahiyo bindamu kawa mnyamapori sahivi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaangalie channel za discocery planet, animals n.k uje utwambie Swala dume huwa ana majike mangapi anakaa nayo porini ? Simba dume je ? Hamuwezi kushindana na nature.Hivo ndo ilivyooumbwa na mola.
Swala dume anaishi na majike zaidi ya ishirini na Simba dume anaishi na majike zaidi hata ya sita !
Mmmekaa kuwangalia wambea tu kina Mwijaku baba nani sijui na yule anaejiita influencer !
Kukiwa na wanawake kama wewe 100 tuu na kupaza sauti dunia itakuwa mahali salama 🔥🔥🔥🔥🔥Niliwahi sikia eti mwanaume ni kama jogoo, atampanda jike huyu, atatoka atamapanda jike lingine. So hawa kuku jogoo, usiwafikirie sana akiwa kwako ni wako, akitoka wa wote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata sisi hatutosheki, wapi wafeminist wenzangu.
Tudai haki ya kutambulika kuwa hatutosheki na mwanaume mmoja, turuhusiwe kuolewa na wanaume wawili na kuendelea.
Teh teh! [emoji23]
😳😃Ni hulka tu unaweza ku mute hata mwaka bila kuwa kwenye mahusiano ,naona ni kujiendekeza tu.
Sio kweli ni maneno ya kuhalalisha hulka ya tamaa tu ,kujipakulia minyama tu.Niliwahi sikia eti mwanaume ni kama jogoo, atampanda jike huyu, atatoka atamapanda jike lingine. So hawa kuku jogoo, usiwafikirie sana akiwa kwako ni wako, akitoka wa wote!
Wee una pumbu moja au mbili?Nataka kujua kuhusu hiki kitu ambacho kimenifanya nishindwe kabisa kuwaamini wanaume ,je ni kweli wanaume wameumbwa na matamanio kiasi cha kwamba hawawezi kutosheka na mwanamke mmoja?
Bora umelielewa hiloNiliwahi sikia eti mwanaume ni kama jogoo, atampanda jike huyu, atatoka atamapanda jike lingine. So hawa kuku jogoo, usiwafikirie sana akiwa kwako ni wako, akitoka wa wote!