heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝🤝😍Nipooooooo
Wewe umejuajeeee Mark Ana mke mmoja broMack Zuckerberg anahela kuliko ukoo wenu mzima na katulia na mke wake mmoja, nyinyi wenye akili za kimaskini ndo mnahusisha mihemko yenu na kuwa na pesa.
Mwanaume rijali hapimwi kwa kuwa na wanawake wengi, urijali wako unaangaliwa jinsi gani unaweza kummudu uyo mkeo mmoja na watoto aliokuzalia, umeshindwa kummudu mwanamke mmoja ndani alafu bado unajiona mzima hauna mapungufu!
Aliyekuroga amefariki shehe
Huna nyege weweNi hulka tu unaweza ku mute hata mwaka bila kuwa kwenye mahusiano ,naona ni kujiendekeza tu.
Malengo yangu ni makubwa kuliko nyege zangu kwa hiyo nimeamua kutii malengo yangu.Huna nyege wewe
Mack Zuckerberg anahela kuliko ukoo wenu mzima na katulia na mke wake mmoja, nyinyi wenye akili za kimaskini ndo mnahusisha mihemko yenu na kuwa na pesa.
Mwanaume rijali hapimwi kwa kuwa na wanawake wengi, urijali wako unaangaliwa jinsi gani unaweza kummudu uyo mkeo mmoja na watoto aliokuzalia, umeshindwa kummudu mwanamke mmoja ndani alafu bado unajiona mzima hauna mapungufu!
Aliyekuroga amefariki shehe
Kwani malengo yako yana uhusiano gani na nyege zako mkuu?Malengo yangu ni makubwa kuliko nyege zangu kwa hiyo nimeamua kutii malengo yangu.
Ukiwa bize nyege utazitolea wap mkuu😁Kwani malengo yako yana uhusiano gani na nyege zako mkuu?
Alikudanganya nani kuna mahusiano ya karibu baina ya shughuli au majukumu yako ya kila siku na nyege mkuu, ukiona hivyo ujuwe kuna shida mahali 😂Ukiwa bize nyege utazitolea wap mkuu😁
Hakuna shida mkuu ,hii ni kwangu na sio kwa kila mmoja boss.Alikudanganya nani kuna mahusiano ya karibu baina ya shughuli au majukumu yako ya kila siku na nyege mkuu, ukiona hivyo ujuwe kuna shida mahali 😂