abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Mack Zuckerberg anahela kuliko ukoo wenu mzima na katulia na mke wake mmoja, nyinyi wenye akili za kimaskini ndo mnahusisha mihemko yenu na kuwa na pesa.Mkuu unaongelea umasikini, au Nature ya Viumbe Hai?? Ukiona hauna hicho unachokiita Mihemuko ujue una tatizo mahali, aidha umasikini unakunuka au una tatizo la Kiafya iwe akili au mwili, vinginevyo Nature inakataa
Unajua maana ya nature? Kwa fact kusema nature kwenye hii pwenti inakukataa. Haisapoti kwasababu tendo la ndoa halihusishi jinsia moja Bali me na Ke. Hivyo huwezi laumu jinsia moja kuwa sisi niwabaya wakati tendo lenyewe tunashiriki na hao hao wanawake (Yani kiuhalisia ukiona tendo moja la ndoa limekamilika ujue limehusisha mwanaume na mwanamke) Sasa utalaumuje kuwa Me niwabaya huku ukiacha kulaumu wanawake pia? Ukizingatia idadi ya watu duniani wanaume tupo wengi kuliko wanawake (kwa asilimia chache kwa mujibu wa takwimu) kwahiyo kusema Ni nature sio sahihi Kama unajua maana ya neno nature. Nature always inasapotiwa na nature ... Kwahiyo nakukaribisha mdau kutoa sababu nyingineMwanaume ni Polygamy in Nature...Ila ili ufocus na maisha na ujue wewe n nani na utimize kusudi ni vema ukawa na Mwenza mmoja.
Kwani binaadam sio Mayama?Mungu
Mmoja anatosha kabisa, kama unapenda afya yako na utulivu wa fikra.Ni Tamaa tu na ulimbukeni wa pesa mkuu. Tunzeni wanawake zenu mliokuwa nao ndani wacha kutolea macho hao wa nje,
"Eti aliyetimamu kimwili na kiakili" umeshindwa kucontrol mihemko yako ya ngono alafu unaita utimamu wa akili. Kuna maamuzi wanaume tunafanya kwa kukurupuka tu matokeo yake unaumiza watoto wako mwenyewe
Kabisa mkuuMmoja anatosha kabisa, kama unapenda afya yako na utulivu wa fikra.
Duh mkuu hii pwenti kwenye RED umeitoa wapi ni ya nani na kwa research ipi. hebu fafanua tuielewe pwenti yakoUnajua maana ya nature? Kwa fact kusema nature kwenye hii pwenti inakukataa. Haisapoti kwasababu tendo la ndoa halihusishi jinsia moja Bali me na Ke. Hivyo huwezi laumu jinsia moja kuwa sisi niwabaya wakati tendo lenyewe tunashiriki na hao hao wanawake (Yani kiuhalisia ukiona tendo moja la ndoa limekamilika ujue limehusisha mwanaume na mwanamke) Sasa utalaumuje kuwa Me niwabaya huku ukiacha kulaumu wanawake pia? Ukizingatia idadi ya watu duniani wanaume tupo wengi kuliko wanawake (kwa asilimia chache kwa mujibu wa takwimu) kwahiyo kusema Ni nature sio sahihi Kama unajua maana ya neno nature. Nature always inasapotiwa na nature ... Kwahiyo nakukaribisha mdau kutoa sababu nyingine
kwa hiyo wewe ni mnyama swala au?Angalieni channels za Discovery, animal planet, nk huko DSTV na hata Safari TV ya TZ.
Swala dume katika himaya yake anakuwa na majike zaidi ya ishirini ! Simba dume anakuwa na majike mpaka sita ! hiyo ni nature huwezi kuizuia ndivo mola alivopanga.
Kwahiyo wewe una busara kuliko mfalme SuleimanHuo ni ugonjwa wa akili. Hatujaumbwa hivyo. Tumepewa akili ya kujicontrol
Yeye sio swala wala wolf, yeye ni kizazi cha mfalme Suleiman aliyekuwa na hekima kuliko wafalme wote.kwa hiyo wewe ni mnyama swala au?
kama point ni wanyama kuna Wolf wao huwa na jike mmoja tu mpaka kifo kiwatenganishe, si jajua kwanini umechagua swala utakuwa na uswala mwingi mwaisa.
kwanini amerithi wingi wa mademu tu na si ukwasi aliokuwa nao seleYeye sio swala wala wolf, yeye ni kizazi cha mfalme Suleiman aliyekuwa na hekima kuliko wafalme wote.
Kwenye viumbe hivi viwili kati ya me na ke ni kuwa ke wamekuwa wakiwatamanisha me kwa kiasi kikubwa, hivi mke wa mtu kweli unavaa mavazi yasiyo na staha unafikiria mitaani utaachwa? Halafu mnakuja na hoja za kutowaamini wanaume!Nataka kujua kuhusu hiki kitu ambacho kimenifanya nishindwe kabisa kuwaamini wanaume ,je ni kweli wanaume wameumbwa na matamanio kiasi cha kwamba hawawezi kutosheka na mwanamke mmoja?
Akikujibu nishtue πππkwanini amerithi wingi wa mademu tu na si ukwasi aliokuwa nao sele
Tafuta idadi ya watu duniani by gender mkuuDuh mkuu hii pwenti kwenye RED umeitoa wapi ni ya nani na kwa research ipi. hebu fafanua tuielewe pwenti yako
sio leo wala jana tangu enzi wanawake ni wengi kuliko wanaume, tena kwa sasa hali ndio mbaya maana miongoni mwa hao wanaume wachache wengine tena wameleft group, yaani mashogaTafuta idadi ya watu duniani by gender mkuu
Anaweza kuwa na ukwasi mzuri pia.kwanini amerithi wingi wa mademu tu na si ukwasi aliokuwa nao sele
Hizo Ni story za vijiweni mkuu. Kitakwimu kwa mujibu wa sensa . Duniani kwa miaka mingi idadi ya wanaume nikubwa kuliko wanawake. Hao mashoga na wasagaji hawahesabiki katika kundi la wanaume wanahesabika trans gender Kama sijakosea. Tanzania tu ndio wanawake wametuzidi kidogo na baadhi ya nchi ,, lakini hata Kenya tu wanaume niwengi kuliko wanawake. Fuatilia takwimu za Dunia. Hata kiuhalisia ,, probability ya kupata mtoto wakiume nikubwa kuliko wakikesio leo wala jana tangu enzi wanawake ni wengi kuliko wanaume, tena kwa sasa hali ndio mbaya maana miongoni mwa hao wanaume wachache wengine tena wameleft group, yaani mashoga