Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 nifanya hisani, najitolea ni uzalendo mkuu.nawe pia pole yako na mijanamke yako..🥴
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Usemapo neno,
Pasi ujuzi mtimilifu,
Utauma meno,
Ujaposutwa udanganyifu,
Nayo matukano,
Utukanayo na kukashifu,
Ndio msumeno,
Utakereza zako sharafu.
Umekuja bila kitu utaondoka bila kitu, faida pekee ni kuzalisha watoto wanawake wengi kadiri utakavyojaliwa ili kwa jina la Mungu kizazi (mankind) kindelee kuwepo na Mungu apate watu wengi watakaomwimbia, kumpigia vinubi na kumwabudu. Usihangaike sana na kutafuta Mali nyingi za kuwaachia watoto, kufanya hivyo ni sawa na kuwaachia watoto wako samaki badala ya kuwaachia nyavu. Waachie maarifa yatakayowasaidia kutafuta maisha Yao wao wenyewe sio kuwaachia watoto maisha.Mnajihangaisha kwelikweli na mwisho ni kujiongezea matatizo tu
Tangu muanze faida ipi mumepata?
Unadhani hawa wa hivi wako wangapi mtaani kwako, kitongojini kwako, kijijini, kata, tarafa, wilaya, mkoa, nchini, Afrika Mashariki, Sadc, Africa na duniani?
Maskini wee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie kwa mume wangu nipo peke yangu!! Mtoe kwenye hiyo orodha yako. Sio kila mwanaume anaendekeza mihemko yake.
Kajiangalie kwenye kioo, jipige kifuani mara tatu alafu sema kwa sauti, Hakika Mimi ni Mjinga.Haijalishi kuwa wewe ni dini gani, kabila gani, una kazi gani na cheo gani hapa duniani, mfumo wa uzazi wa mwanaume unafanana Na mifumo ya uzazi ya wanaume wengine wa viumbe vingine, hasa wale wenye uti wa mgongo (vertebrate) Na wanaonyonyesha (mamalia).
Viumbe walioko kwenye kundi hili wanaume wanakuwa wachache kuliko wanawake kwa sababu mbalimbali za kabla ya kuzaliwa, wakati wa kuzaliwa na baada ya kuzaliwa. Hivyo wanaume wamepewa uwezo mkubwa wa kutamani Na Kumudu kutembea Na kuzaa Na wanawake wengi kwa wakati mmoja.
Kama mfugaji anavyohitaji majogoo, mabeberu, madume wachache kwa majike wengi bandani au zizini ndivyo hivyohivyo unavyohitaji mwanaume mmoja kwa wanawake zaidi ya mmoja, na hiki kinafanyika utake usitake, ujue usijue, uambiwe au usiambiwe.
Kiuhalisia wanyama wote akiwemo binadamu wana wivu mkubwa, hawapendi kuchanganywa, lakini kama kila mume angebaki na Mke mmoja yafuatayo yangetokea kwenye jamii:
1. Wanawake wengi wasingepata mabwana, wangebaki bikra.
2. Hasira na chuki kwenye jamii ingekuwa kubwa.
3. Sonona, depression ingekuwa kubwa. Kukosa bwana kunachanganya.
4. Population, idadi ya watu ingepungua. Wanawake wengi wasingezaa kwa kukosa mbegu.
5. Idadi ya watu wanaozaliwa na hitilafu ingekuwa kubwa sana.
6. Wanawake wangebweteka sana hadi kuwa wachafu, wavivu, na wajeuri kupindukia.
7. Wanawake wangeuana wenyewe kwa wenyewe ili wapate nafasi itakayoachwa wazi.
Asitokee mwanamke atakaejigamba kuwa yuko peke yake, hata wanaume pia kwa kiasi Fulani.
Kinachotofautiana ni idadi ya wanawake alionao mwanaume na kiwango cha kujificha, usiri mkewe au mumewe alichokuwa nacho.
Jamii ihalalishe ndoa za wake wengi ili iwe huru badala ya kuendesha mambo kwa kificho.
Nakusikitikia, unadhani una chamaana unakifanya hapa duniani kabla hujafa. Unadhani Cha maana kwako ni kujenga majumba, kununua magari, kudanganya watu kwenye nyumba za ibada, kutafuta pesa na vitu vingine vya aina hiyo. Kitu Cha maana kwako ni kuwa mtu na kuwa mwanaume au mwanamke na kazi zake baasi, nyingine ni nyongeza TU.Kajiangalie kwenye kioo, jipige kifuani mara tatu alafu sema kwa sauti, Hakika Mimi ni Mjinga.
Alafu kalie chumbani, uwezi kuja tetea kwenye kundi la wanaume alafu unashupalia mzee,daaah ht level yako ya kufikiria ni ndogo sanaa
Kumbe akili ni umalaya ambao ww ndio umejua ndio umeumbiwa kusex hovyo?? Ikiwa umeshindwa hata kung'amua hilo dogo, pole sana ila sina neno zaidi ya kukwambia amini unachoamini, ila sio kila unachoamini ni sahihi..Nakusikitikia, unadhani una chamaana unakifanya hapa duniani kabla hujafa. Unadhani Cha maana kwako ni kujenga majumba, kununua magari, kudanganya watu kwenye nyumba za ibada, kutafuta pesa na vitu vingine vya aina hiyo. Kitu Cha maana kwako ni kuwa mtu na kuwa mwanaume au mwanamke na kazi zake baasi, nyingine ni nyongeza TU.
Umeumbwa na kuitwa mwanaume kwa kazi moja TU ya kuzalisha wanawake. Uanaume wako utapimwa kwa idadi ya watoto uliozaa kabla hujafa (uzao wako hapa duniani). Dunia inafaidika kwa kuacha watoto kuliko kuacha magari, majumba na makampuni ambayo yanachakaa, yanabomoka, yanafilisika na kuchafua mazingira.
Wewe huna akili kabisa, huangalii, huoni wala hujui kwanini uliumbwa hivyo ulivyoumbwa.
Wacha ni mwambie kitu hapa, binadamu sio kiongozi wa wanyama wote. Binadamu ni kiumbe sawa na viumbe wengine ambao kiongozi wao na muumba wao ni MwenyeziMungu pekee. Kilichofanyika ni Mungu kuvipa viumbe sifa, afya, nguvu na maarifa tofauti ili tusigombanie mahitaji yetu kwenye mazingira tunamoishi. Kama binadamu angekuwa kiongozi wa wanyama na viumbe vingine wote tusingesumbuliwa na hata kuuawa na mbu, nge, nyoka, manyigu, nyuki, Simba, inzi, bacteria, viruses, fungus, minyoo, protozoa, nk. Uongozi wake uko wapi hapo?Kumbe akili ni umalaya ambao ww ndio umejua ndio umeumbiwa kusex hovyo?? Ikiwa umeshindwa hata kung'amua hilo dogo, pole sana ila sina neno zaidi ya kukwambia amini unachoamini, ila sio kila unachoamini ni sahihi..
wanyama wenyewe wanafanya mapenzi siku wakiwa tayari kwa ajili ya kushika mimba, wewe ukiwa ndio kiongozi wa Wanyama Ulipewa mamlaka hayo, unakuja leta mada za aina gani hizi, unataka uaminishe watu ujinga huu kweli??
Uliandika ukiwa sawa au hasira au K veve ilikua imeshika hatamu??
Sio hiari, ulazima lazima uwepo. Hii ni kanuni ya viumbe vyoote chini ya jua. Kila kiumbe (species) inafanya kila liwezekanalo kizae na kuacha watoto wake wengi kabla yakutoweka duniani. Yaani hakuna kiumbe makini kinachokubali kufa bila kuzaa watoto wengi kupitiliza. Hii inasaidia kutunza kizazi chake kisipotee duniani. Ndio maana hana wadudu wa magonjwa kuna wakati wanakwepa(resistance) dawa na chanjo zenye lengo la kukatisha kizazi chao. Leo hii unalikuta dume la binadamu eti lina watoto 2 tu, ukiliuliza eti linakwambia maisha magumu, shenzitype, hivi kama babu yako angezaa mtoto mmoja tu kwenye mazingira yaliyojaa magonjwa ya malaria, minyoo, kuumwa na nyoka, kifaduro, polio, ndui, tetanus, surua, ajali, TB, ukoma, nk unadhani ingekuwaje kwenye ukoo wenu?Kwa hiyo umejichukulia kuwa hauwezi kuwa na mwanamke mmoja, hata pasipo na ulazima?
Vitu muhimu vyote ni lazima kwa jambo fulani. Mfano, Kupumua ni muhimu lakini sio lazima kama unataka kufa. Kuzaa watoto wengi ni muhimu lakini sio lazima kama hutaki kizazi chako kibaki duniani milele, yaani unataka mtoto mmoja tu ambae akifa kwa malaria au ajali basi na mbegu yako imeishia hapo.Lwngo la mifano hiyo ni kukufahamisha wewe ndugu ili upate kuelewa kwamba sio kila kilicho muhimu basi ni lazima.
Lakini bado hujanifahamu ila utafahamu kwa uwezo wa mungu kisha juhudi zako.
Kujisikia njaa hupangi huwa inatokea tu,sasa hapa duniani sio kwamba spte tunajisikia njaa pamoja.
Kuna watu wakila asubuhi wao kujisikia njaa mpaka usiku ndo walw tena.
Kuna watu kila wakila wao kujisikia njaa baada ya masaa manne.
Usihukumu kwamba kujisikia njaa ni kila baada ya masaa manne kwa kumuangalia huyu anayepatwa na njaa mara kwa mara,lazima kila mtu umpe hukmu yake.
Usitake kuniambia kwamba hapa duniani watu wote tunakula sawa milo mitatu,kuna watu wanakula mlo mmoja tena kwa kuridhika.
Kuna watu wanakula milo mitatu,wengi milo minne.
Haya yote ni kwa sababu ya metabloci activities zao katika mwili.
Hivyo suala sio kusikia njaa bali suala unasikia mara ngapi.
Ndio hivyo hivyo katika wake.
Suala sio kupata hamu unaweza kupata hamu mara tatu kwa siku ukamalizana na mkeo mmoja
Hapa suala ni kwamba lazima watu wote wawe na wake wengi ati kkwa kuwa matamanio yao hayawezi kukidhiwa na mke mmoja ?
Jawabu sio lazima kila mtu awe na wake wengi ili matamanio yake yakidhiwe barabbara.
Unaweza kuwa na mke mmoja tu na ukaishi nae huyo huyo kama amnavyo kuna ambao wanaweza kula mlo mmoja tu wakasavaivu siku nzima.
Pia katika kukojoa kuna watu wanakojoa mara tano kwa siku.
Kuna ambao wanakojoa mara mbili tu kwa siku.
Usitake kulazimisha kwamba kila mmoja lazima akojoe mara tano kwa siku na ukamhukumu huyu anaekojoa mara mbili ni mgonjwa,kila mtu ana metabolic activities zake mwilini.
Usitake kulazimisha kila mwanaume normal weight yake iwe kilo 60 wakati kuna wengine ni warefu wana mifupa migumu sana na minene.
Kila mmoja atakuwa na weight kama ambavyo kila mmoja atakuwa na matamanio,lakini kila mmoja atakuwa na weight yake sio kwamba binadamu owte tutakuwa na weoght sawa.
Wakikutana na wewe bila hsaka utawaambia hawako normal kama wanaume wenzao.
Hata katika kimo kila mtu ana kimo chake usitake kulazimisha kwamba wanaume wote lazima tuwe na urefu wa futi sita.
Kila mmoja atakuwa na urefu kama ambavyo kila mmoja atakuwa na matamanio lakini haina maana matamanio au urefu utakuwa sawa kwa wote.
Hakuna wa kukuomba radhi hapo, wewe ni mgonjwa. wanaume hawako hivyo, nenda kamuulize babu yako akwambie. Kwakuwa watu wote wako hivyo ndio maana yule mwanafalsafa alikuja na amri kumi (ten commandments) ikiwemo ya usizini. Mtu hawezi kutungia sheria watu 3 tu wanaofanya kosa hilo. Ina maana karibu watu wote wenye akili na afya timamu wanatembea na wake na waume wengi ndio maana akajaribu kutunga sheria hizi kama anaweza. Lakini tangu Musa atoe hizi amri zake 10 miaka maelfu yaliyopita unaona mabadiliko yoyote? ni mataahira tu ndio wanaozifuata. yaani kila watu 20,000,000 unapata mtu mmoja tu mwenye mke mmoja (abnormal). Na huyo mwanaume anachapiwa mke wake na wenzie. Hakuna mwanamke anapenda mume kama huyo, variety is the spice of life.Nina Mke 1 Na nimeridhika kabisa. Sasa ukware ulionao usifikiri wote ni wakware, tuombe radhi isee!
Hakuna kusex hovyo kama unavyosema, sex sio starehe bali kwaajili ya kuzaa (reproduction) TU. Unapokaa na mbegu kwenye makende yako huku kuna wanawake mahali ambao wanataka kuzaa lakini hakuna wa kuwazalisha hio sio sawa. Badala ya kupeleka mbegu zinakohitajika wewe unammiminia mwanamke (mkeo) ambae hataki kuzaa (anableed, au ana mimba tayari, au ananyonyesha, au anaumwa au ana huzuni fulani eti kwakuwa umeambiwa na wapuuzi kuwa uwe na Mke mmoja, huko ni kuingilia mipango ya Mungu na makusudi ya kukuumba uwe mwanaume mwenye mbegu zinazotosha kuzalisha wanawake wengi. Kama unavyotaka uwe na jogoo wachache kwa mitetea mingi ndivyo Mungu anataka kwa viumbe vyote.Kumbe akili ni umalaya ambao ww ndio umejua ndio umeumbiwa kusex hovyo?? Ikiwa umeshindwa hata kung'amua hilo dogo, pole sana ila sina neno zaidi ya kukwambia amini unachoamini, ila sio kila unachoamini ni sahihi..
wanyama wenyewe wanafanya mapenzi siku wakiwa tayari kwa ajili ya kushika mimba, wewe ukiwa ndio kiongozi wa Wanyama Ulipewa mamlaka hayo, unakuja leta mada za aina gani hizi, unataka uaminishe watu ujinga huu kweli??
Uliandika ukiwa sawa au hasira au K veve ilikua imeshika hatamu??