Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Hata kwa wanawake hali ni hiyohiyo
Hakuna mwanamke anayetaka kukaa na mume mmoja asiyemridhisha kimapenzi hata kama mume huyo angekuwa mzuri wa sura, tajiri na muumini kiasi gani, lazima atatoka nje tu, na ukimbana sana atatembea na shemeji yake, dereva wenu, shamba boy wenu, rafiki yako unaemuamini sana, mfanyakazi mwenzake, boss wake, boss wako, mwenye genge au hata mchungaji wenu au muimba kwaya mwenzake. Hii kaka ni nature, na nature zote zimetoka kwa mungu, ni maumbile. Kama hutaki kuamini nature hamia Burundi.
 
tatzo ww ukiwa malaya unahis na me wote wapo hivyo mkuu!!....kwa taarifa yako hakuna tofaut unayoitafta kwa mwanamke mwngne hali ni ileile tu!,,acha huo ujinga,tafta hela tunza familia yak na wtt hakikisha wanapata elimu ya kutosha pia wekeza kwaajili ya maisha ya uzeeni acha mambo ya jitoto jielewe,,tupo wanaume tulioridhika na wake zetu na hat siku mona huwaz kutembea na mchepuko..
 
Mwishoni umeharibu bwana mkubwa. Mzee Mswati alikuwa bado anaendelea kuoa,, wengi hatuna uwezo huo sababau ya kipato.
Uwezo wetu ni Mwaka huu Mwajuma , mwakani Vero,, kulingana na kwamba budget inaruhusu idadi kidogo ya wanawake kuliko mahitajio kwa wakati mmoja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kaka silaha kuu ya mwanaume ni nguvu za kusex na kumtosheleza mwanamke kisawasawa, hizo pesa unatoa mwenyewe kwa kujipendekeza kwake tu, lakini mwanamke hapendi pesa zako bali anapenda kazi yako kitandani na kumjali basi. mwanamke anaweza kukupenda bila kumpa chochote, na badala yake anaweza kukupa wewe vitu vyake au vya mumewe goigoi kwenye sex na kwenye mahaba.

Chapa kazi wanawake waridhike na wazae kwa wakati basi inatosha, maana mara zote wanawake ndio wanaofurahia sex kuliko wanaume, na ndio wanaokwenda kwa waganga ili kupendwa kuliko wanaume. Toa pesa kama zawadi kwao sio kama malipo.
 
tatzo ww ukiwa malaya unahis na me wote wapo hivyo mkuu!!....kwa taarifa yako hakuna tofaut unayoitafta kwa mwanamke mwngne hali ni ileile tu!,,acha huo ujinga,tafta hela tunza familia yak na wtt hakikisha wanapata elimu ya kutosha pia wekeza kwaajili ya maisha ya uzeeni acha mambo ya jitoto jielewe,,tupo wanaume tulioridhika na wake zetu na hat siku mona huwaz kutembea na mchepuko..
Mkuu inavyoonekana wewe umeajiriwa mahala na kipato chako ni kidogo sana, unayaogopa maisha. Tanzania ina ardhi kubwa sana bado nenda kalime, kafuge ng;ombe, mbuzi, samaki, kuku, nyuki, kachimbe madini, nk, utakuwa na chakula na pesa za kulisha, kutunza na kusomesha kusomesha watoto 20 na kutunza hata wanawake 3 bila shida. tatizo lenu mnaishi kwa kubahatishabahatisha huko mijini ndio maana ukiambiwa uwe na watoto 4 unang'aka. Huwezi kusex vizuri kama unashindia chips mayai na pepsi, mo energy. Utakuwa na kitambi cha ugonjwa tu
 
Formula iko hiivii, hata kama hujui, lakini kama utaona familia ya mke na mume wote wana vitambi na matakho makubwa tambua kuwa hapo kuna sex hafifu sana. Sex iliyokamilika ina tabia ya kukitumia chakula chote utakachokula, yaani mwili hautakuwa na chakula cha ziada cha kuhifadhi, chote kitaunguzwa (tumika) ili kupata nguvu za kusex na kupiga mabao, no surplus. Kwahiyo, kuwa na kitambi ni dalili tosha kuwa kazi haifanyiki ya kuridhisha humo ndani, muda mwingi unatumika kunywa pombe, kuangalia sinema zetu, isidingo na ertugul. Ukiona mwanaume ana kitambi lakini mwanamke yuko slim/fit basi huyo mwanamke ana mchepuko wa nguvu unaomchapa kisawasawa, na ukiona mwanaume yuko fit/slim lakini mwanamke amehorojeka manyama tu basi mume anachapa sana nje kikwelikweli kuliko ndani.
 
Je, nguvu zako za kiume, afya yako na uchumi wako unashindwa kuhudumia wanake wengine 2 au watatu hapo mtaani kwako ambao wanashida ya mwanaume na mahitaji ya lazima kama pedi, chakula, malazi na kupata ujauzito? Kwanini unatupa chakula hapo kwa mke mmoja? kwanini ule chakula kingi hapo kwa mke wako huyo kuliko kazi unayoifanya hadi unapata kitambi, overweight, pressure, kisukari? Mume anayefanyakazi kwelikweli za kiuchumi, kijamii na mapenzi(sex) hawezi kuwa na kitambi hata siku moja. Ukikuta mwanaume ana kitambi lazima ana shida kwenye sex, anafanya sex hafifu, isiyokubalika hata kwa mkewe.
Kuoa haina maana tu ya kuwa na uwezo wa kumzalisha au kuwazalisha wanawake kadhaa na halafu unasahau - it's based on undivided love and companionship. Ndiyo maana baada ya muda fulani masuala ya sex yana'cease' na mume na mke wanabaki pamoja kwa upendo na amani katika ndoa yao. Kuna wengine pia wameoana na hawajabahatika kuwa na mtoto na maisha yao yanaendelea. Hivyo, approach yako na yangu kwa ndoa na hata maana ya ndoa ni tofauti kabisa. Ndiyo maana mtu hawezi kunisemea mimi eti kwa sababu tu ni mwanaume. Hii ni 'domestication' - fikira za kufuga wanaume wenzako kama mifugo. Mimi siwezi kufugwa. Ni 'free intelligent thinker'.
 
Kuoa haina maana tu ya kuwa na uwezo wa kumzalisha au kuwazalisha wanawake kadhaa na halafu unasahau - it's basically based undivided love and companionship. Ndiyo maana baada ya muda fulani masuala ya sex yana'cease' na mke na mke wanabaki pamoja kwa upendo na amani katika ndoa yao. Kuna wengine pia wameoana na hawajabahatika kuwa na mtoto na maisha yanaendelea. Hivyo, approach yako na yangu kwa ndoa na hata maana ya ndoa ni tofauti kabisa. Ndiyo maana mtu hawezi kunisemea mimi eti kwa sababu tu ni mwanaume. Hii ni 'domestication' - fikira za kufuga wanaume wenzako kama mifugo. Mimi siwezi kufugwa. Ni 'intelligent thinker'.
Mungu ni mwema sana. kwanini ufe bila kuwa na mtoto? Mwanamke anachangia 40% ya familia kukosa watoto na mwanaume nae 40% na wote wawili mke na mume kwa pamoja wanachangia 20% zilizobaki. Wanandoa wanaweza wasipate watoto kwasababu mama hana mfuko wa uzazi kabisa, au hana mirija ya uzazi au mirija ya uzazi imeziba kabisa au hana mayai yanayopevuka au ana uvimbe kwenye uzazi. Mama anaweza kuzaliwa hivyo au anaweza kuwa aliugua magonjwa kama kaswendwe, gonorea, chlamydia au fungusi nyiiiingi ukeni, au ametoa mimba nyiingi wakati akifanya uhuni wake. Hivi wewe mwanaume ambae umebahatika kuoa (kufunga ndoa) mwanamke mwenye kasoro hizi za kupata watoto utakubali na wewe kufa bila mtoto eti kwasababu mke wako hawezi kupata ujauzito wakati wewe uko fit kabisa?

Mwanaume anaweza kushindwa kutia mimba kama ni hanidhi au ana mbegu chache kwenye korodani zake au mbegu zake ni mbovu au mbegu zake hazikomai au mirija ya kupitisha mbegu imefungwa au haipo kabisa. shida hizi anaweza kuwa amezaliwa nazo, au amepata ajali, au ameugua magonjwa kama kaswende, gonorea, chlamydia, nk kwenye kutembea kwake na wanawake. Je, wewe mwanamke utakubali kufa bila mtoto eti kwasababu mwanaume uliyefunga nae ndoa hawezi kukuzalisha? KUFANYA hivyo bila shaka ni upumbavu wa kujitakia uliotengenezwa na dini zetu na jamii husika,

Ndiyo maana nakwambia bila woga kuwa mke mmoja na mume mmoja asiyekufaa, usiyeridhika nae, asiyejuwa ni haramu kwa Mungu. Kama mlango mmoja umefungwa (mke/mume hawezi hiki na kile) fungua ule mwingine upate amani uliyokusudiwa kuipata. Utakuta mwanamke anakong'otwa na mwanaume karifu ya kufa lakini ameng'ang'ania hapo hapo eti kisa ndoa, nyambafu!!!, utakuta mwanaume anazeeka kwenye ndoa bila kupata mtoto kwasababu tu mwanamke wake alitoa mimba nyingi wakati wa ujana wake, au aliugua magonjwa ya zinaa wakati wa ujana wake au hana mayai kabisa, au mirija hana na lijianaume rijali eti lipo linaatamia mayai viza tu, ukiliuza kisa eti ndoa ya baba
paroko. Mungu atakuchoma moto na mbegu zako kiunoni.

wewe baba na wewe mama kama ndoa haileti mtoto nendeni wote hospitali mkapime wote ili mjue mustakabali wenu kabla hamjazeeka bila watoto. Usikubali kubeba makosa, uzembe na laana ya mtu mwingine. Kwanini ufe bila mtoto kwaajili yake? usimlaumu Mungu kijingakijinga hivyo.
 
Mungu ni mwema sana. kwanini ufe bila kuwa na mtoto? Mwanamke anachangia 40% ya familia kukosa watoto na mwanaume nae 40% na wote wawili mke na mume kwa pamoja wanachangia 20% zilizobaki. Wanandoa wanaweza wasipate watoto kwasababu mama hana mfuko wa uzazi kabisa, au hana mirija ya uzazi au mirija ya uzazi imeziba kabisa au hana mayai yanayopevuka au ana uvimbe kwenye uzazi. Mama anaweza kuzaliwa hivyo au anaweza kuwa aliugua magonjwa kama kaswendwe, gonorea, chlamydia au fungusi nyiiiingi ukeni, au ametoa mimba nyiingi wakati akifanya uhuni wake. Hivi wewe mwanaume ambae umebahatika kuoa (kufunga ndoa) mwanamke mwenye kasoro hizi za kupata watoto utakubali na wewe kufa bila mtoto eti kwasababu mke wako hawezi kupata ujauzito wakati wewe uko fit kabisa?

Mwanaume anaweza kushindwa kutia mimba kama ni hanidhi au ana mbegu chache kwenye korodani zake au mbegu zake ni mbovu au mbegu zake hazikomai au mirija ya kupitisha mbegu imefungwa au haipo kabisa. shida hizi anaweza kuwa amezaliwa nazo, au amepata ajali, au ameugua magonjwa kama kaswende, gonorea, chlamydia, nk kwenye kutembea kwake na wanawake. Je, wewe mwanamke utakubali kufa bila mtoto eti kwasababu mwanaume uliyefunga nae ndoa hawezi kukuzalisha? KUFANYA hivyo bila shaka ni upumbavu wa kujitakia uliotengenezwa na dini zetu na jamii husika,

Ndiyo maana nakwambia bila woga kuwa mke mmoja na mume mmoja asiyekufaa, usiyeridhika nae, asiyejuwa ni haramu kwa Mungu. Kama mlango mmoja umefungwa (mke/mume hawezi hiki na kile) fungua ule mwingine upate amani uliyokusudiwa kuipata. Utakuta mwanamke anakong'otwa na mwanaume karifu ya kufa lakini ameng'ang'ania hapo hapo eti kisa ndoa, nyambafu!!!, utakuta mwanaume anazeeka kwenye ndoa bila kupata mtoto kwasababu tu mwanamke wake alitoa mimba nyingi wakati wa ujana wake, au aliugua magonjwa ya zinaa wakati wa ujana wake au hana mayai kabisa, au mirija hana na lijianaume rijali eti lipo linaatamia mayai viza tu, ukiliuza kisa eti ndoa ya baba
paroko. Mungu atakuchoma moto na mbegu zako kiunoni.

wewe baba na wewe mama kama ndoa haileti mtoto nendeni wote hospitali mkapime wote ili mjue mustakabali wenu kabla hamjazeeka bila watoto. Usikubali kubeba makosa, uzembe na laana ya mtu mwingine. Kwanini ufe bila mtoto kwaajili yake? usimlaumu Mungu kijingakijinga hivyo.
Hayo unayoyasema ni kwa ajili yako, siyo yangu.
 
Kaka silaha kuu ya mwanaume ni nguvu za kusex na kumtosheleza mwanamke kisawasawa, hizo pesa unatoa mwenyewe kwa kujipendekeza kwake tu, lakini mwanamke hapendi pesa zako bali anapenda kazi yako kitandani na kumjali basi. mwanamke anaweza kukupenda bila kumpa chochote, na badala yake anaweza kukupa wewe vitu vyake au vya mumewe goigoi kwenye sex na kwenye mahaba.

Chapa kazi wanawake waridhike na wazae kwa wakati basi inatosha, maana mara zote wanawake ndio wanaofurahia sex kuliko wanaume, na ndio wanaokwenda kwa waganga ili kupendwa kuliko wanaume. Toa pesa kama zawadi kwao sio kama malipo.
Uoe wanawake wanne bila kuwa na kipato cha kuwahudumia kisa unawakaza sana kweli! Hiyo ilikuwa zamani sana. Hawa dada zetu wa sasa watakufanyia dharau za wazi kabisa ubaki unagombana nao kila siku.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kuia wake wengi sio sababu ya wao kutochepuka na kujizuia na Zinaa. Si ndio maana yake?
Hakuna kitu kinaitwa zinaa, hilo ni neno bunifu la kijamii lililotungwa na wanaume ili kuzuia wanawake wasitoke nje kama wanaume. Ndiyo maana zinaa inaonekana zaidi kwa wanawake kuliko kwa wanaume. Kama mwanaume atatembea na mwanamke nje ya ndoa atakaeonekana na kuadhibiwa ni mwanamke. Mama hakuna zinaa, Mungu anataka wewe upandwe na mume mwenye sifa, afya na nguvu. Kama unataka mtoto mrefu tafuta mume mrefu hata kama sio mume wako, kama unataka mtoto mweupe akashiriki miss world tafuta handsome pia. Wanaposema kwa Mungu kuna raha sio kuimba mapambio, bali ni kufanya kile kitu kinachoukonga moyo wako na kukufanya utabasamu all the time. Mke hajui kupika wanini, mume ana harufu mbaya kama beberu inakutia kichefuchefu wa nini kwako, kisa katoa mahari na kufunga ndoa.
 
Uoe wanawake wanne bila kuwa na kipato cha kuwahudumia kisa unawakaza sana kweli! Hiyo ilikuwa zamani sana. Hawa dada zetu wa sasa watakufanyia dharau za wazi kabisa ubaki unagombana nao kila siku.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwanini mwanaume mwenye sifa, afya njema na nguvu ukose hela za kutunza wake zako? Una kuku mia nije nikununuze? una mbuzi wangapi wamekosa mnunuaji? una magunia mangapi ya korosho yamekosa soko? una sungura wangapi nikuletee mnunuzi? una eka ngapi za miti ya mbao hazina mnunuzi? je una eka ngapi za mihogo lakini huoni anaeziulizia? Hata wanawake wanazo nguvu nyingi sana za kuzalisha mali usiogope washirikishe kwenye uzalishaji watajitunza wenyewe.
 
tatzo ww ukiwa malaya unahis na me wote wapo hivyo mkuu!!....kwa taarifa yako hakuna tofaut unayoitafta kwa mwanamke mwngne hali ni ileile tu!,,acha huo ujinga,tafta hela tunza familia yak na wtt hakikisha wanapata elimu ya kutosha pia wekeza kwaajili ya maisha ya uzeeni acha mambo ya jitoto jielewe,,tupo wanaume tulioridhika na wake zetu na hat siku mona huwaz kutembea na mchepuko..
hapa unaonesha kujitetea Zaid, pole mzee
 
Kwanini mwanaume mwenye sifa, afya njema na nguvu ukose hela za kutunza wake zako? Una kuku mia nije nikununuze? una mbuzi wangapi wamekosa mnunuaji? una magunia mangapi ya korosho yamekosa soko? una sungura wangapi nikuletee mnunuzi? una eka ngapi za miti ya mbao hazina mnunuzi? je una eka ngapi za mihogo lakini huoni anaeziulizia? Hata wanawake wanazo nguvu nyingi sana za kuzalisha mali usiogope washirikishe kwenye uzalishaji watajitunza wenyewe.
[emoji1][emoji1] una haki ya kuongea hivyo mdogo wangu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kuia wake wengi sio sababu ya wao kutochepuka na kujizuia na Zinaa. Si ndio maana yake?


Tulia na usome hii kwa umakini ili uelewe baadhi ya sababu za kuoa wake zaidi ya mmoja.
mamad.

Ni hivi, wanawake wengi wamejingewa au wamejijengea woga kuhusu mitaala kutokana na uchoyo na ubinafsi tabia ambayo ni asili ya binadamu, mfano ni asili ya binadamu kuogopa kifo huku anatamani kuingia peponi, utapataje pepo bila kufa??!!.

Katika Uisilamu ndoa ya mitaala inalo sharti moja la UADILIFU, mume anapokuwa na HAJA au ulazima wa kuongeza mke ni lazima ahakikishe kwamba atawatendea mahitaji yao kwa uadilifu kama hatoweza uadifu Qur'an inasema; Ni BORA abaki na mmoja vinginevyo kwake mitaala itakuwa ni kiwanda cha kujitengenezea madhambi.

Ni Zipi Haja na faida za kuoa mke zaidi ya mmoj:-

1-----Wanawake ni wengi duniani kuliko wanaume, Mungu hakuumba hivyo kwa makosa bali makusudio maalumu kuendeleza uzao wa watu duniani inabidi uwiano uwe hivyo na hata kwa wafugaji wa ng'ombe, kuku nk, ili kuendeleza uzao kwa mifugo yao utakuta Madume mawili kwa majike wengi au jogoo mmoja kwa makoo wengi nk.

2------Kulinda heshima na hadhi ya jamii; ni hivi heshima ya jamii ni pamoja na maisha ya staha ya watu wake, sio staha wanawake wawe wengi mitaani wakirandaranda bila kuolewa, hatari yake ndiyo vyangudoa na ukahaba na madanguro kuongezeka na watoto wasiokuwa na baba kuongezeka na hao watoto wakikosa malezi wanakuwa vibaka na wavuta unga nk, katika ukahaba ndimo magonjwa ya zinaa yatapatikana na kumbuka wateja wa hao makahaba ndio hao waume zenu mnaowatisha wasioe mke mwingine zaidi yako, unakataa mke mwenza unapokea Ukimwi na Hepatitis nk.

3----- Kumbuka wanawake wanaoranda mitaani kwa kukosa kuolewa hao ni ama mdogo wako, mtoto wa ndugu yako, mama yako mdogo, shangazi yako na hata anaweza kuwa ni mwanao, je unaweza kuwa ni mtu mwenye furaha kuona mwanao au nduguyo yeyote anaranda mitaani kutafuta wanaume wa kukidhi haja zake za kimwili kwakuwa tu hakuolewa???

4----Wanaobomoa ndoa za mke/mme mmoja ni nyumba ndogo, ushahidi uliopo ni kwamba ndoa za mke/mume mmoja zimekuwa zikibomoka kutokana na nyumba ndogo, mume ananogewa na nyumba ndogo mwishowe anatelekeza nyumba kubwa, yote hii isingekuwepo kama nyumba ndogo "zingehalalishwa" kupitia mitaala.

5-----Maradhi kwa Mke, inaweza kutokea mtu kaoa mke baada ya muda fulani mke akashikwa na maradhi ya kudumu kama ya kigenetic nk, na akashindwa kabisa kumuhudumia mumewe hapo mitaala inaswihi ili huyo mke mwenza aje kuwahudumia wote mume na mwenzake aliyekuwa mgonjwa, haitakuwa ubinadamu kumpa talaka huyo mgonjwa na kuoa mke mwingine.

6----- Kukuza uzao, mara nyingi inatokea watu wanaoa wanawake tasa na inapogundulika hivyo basi mitala inaswihi ili kuendeleza uzao, mke tasa sio ubinadamu kumpa talaka.

7-----Kukuza uzao wenye vipaji vingi, mbali na malezi kuna vipawa watu huwanavyo kutokana na vinasaba hivyo mitala ni njia mmoja ya kukuza uzao wenye vipaji kadhaa.

8--- Kukidhi haja za mume, lazima tukubaliane kwamba kuna wanaume wengine wana nguvu kubwa sana katika tendo wameumbwa hivyo na Mungu, watu wa aina hiyo wanapoweza kutimiza like sharti ya mitala basi ni ruksa kuongeza mke ili kumpunguzia "mzigo" mke mmoja na ili asiwe na nyumba ndogo.

NB: Wanawake wenye khofu na Mungu na wanaojua faida ya mitala hao ndio wanaoweza kuolewa na amani ikapatikana ndani ya nyumba na sio wale wanawake wenye tamaa ya matumbo yao na tamaa za watoto wao, wanawake wa aina hiyo ya tamaa katika nyumba ni kama jehanamu ndogo, hawafai katika mitala.
 
Hii nitakupinga sababu kuridhika kupo kwa aina tofauti kwa wanawake, tumesikia case mbalimbali kuna wanawake hawajawahi ridhishwa kwa namna unayosema wewe mpaka wamekufa, isipokua mwanamke akikutana wa wanaume mbalimbali ndo anaweza kujua kama mume wake alikua anamridhidhisha au la, vinginevyo anaweza kuridhika na mume wake mpaka kufa
Hakuna mwanamke anayetaka kukaa na mume mmoja asiyemridhisha kimapenzi hata kama mume huyo angekuwa mzuri wa sura, tajiri na muumini kiasi gani, lazima atatoka nje tu, na ukimbana sana atatembea na shemeji yake, dereva wenu, shamba boy wenu, rafiki yako unaemuamini sana, mfanyakazi mwenzake, boss wake, boss wako, mwenye genge au hata mchungaji wenu au muimba kwaya mwenzake. Hii kaka ni nature, na nature zote zimetoka kwa mungu, ni maumbile. Kama hutaki kuamini nature hamia Burundi.
 
Sio kweli, hii mpya tena
Formula iko hiivii, hata kama hujui, lakini kama utaona familia ya mke na mume wote wana vitambi na matakho makubwa tambua kuwa hapo kuna sex hafifu sana. Sex iliyokamilika ina tabia ya kukitumia chakula chote utakachokula, yaani mwili hautakuwa na chakula cha ziada cha kuhifadhi, chote kitaunguzwa (tumika) ili kupata nguvu za kusex na kupiga mabao, no surplus. Kwahiyo, kuwa na kitambi ni dalili tosha kuwa kazi haifanyiki ya kuridhisha humo ndani, muda mwingi unatumika kunywa pombe, kuangalia sinema zetu, isidingo na ertugul. Ukiona mwanaume ana kitambi lakini mwanamke yuko slim/fit basi huyo mwanamke ana mchepuko wa nguvu unaomchapa kisawasawa, na ukiona mwanaume yuko fit/slim lakini mwanamke amehorojeka manyama tu basi mume anachapa sana nje kikwelikweli kuliko ndani.
 
Back
Top Bottom