Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Status
Not open for further replies.
Ndugu zangu,

Maajabu hayaishi,miaka michache iliyopita Mbowe alinifaika na ongezeko kubwa la ruzuku kila aliposhauriwa ajenge ofisi yeye na wasaidizi wake walitoa maneno makali eti "chama cha siasa sio jengo au nyumba bali ni imani".Makamanda badala ya kuhoji walishangilia kwa furaha wakijinasibu kuwa "siasa kwao si ofisi bali ni imani.Pia ikumbukwe shilingi milioni 200 zilizotolewa na Mzee Sabodo kujenga ofisi ziliyeyuka bila maelezo.Nani atawaamini tena Chadema?

Siku za karibuni amezindua kadi zenye hadhi tofauti huku ile ya hadhi ya juu ikiwa na thamani ya shilingi 200,000 huku akijinasibu kuwa makamanda hawana mshahara kwa miezi sita nani ataweza kuchangia?ikumbukwe EL ndiye alikuja na wafuasi waliokuwa na uwezo angalau kuchanga chochote lakini sio makamanda hawa tunawajua.

Halafu Mbowe alivyomjanja haya mambo ya kuchangia chama au ujenzi wa ofisi anazungumza akiwa Shinyanga anajua akizunguza haya maneno Moshi au Arusha ataambulia vitasa.

Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa"
Traveler amerejea....

Janjajanja tu juu ya "saccos" yake....

AMEZOELEKA....

#KaziIendelee
 
Kweli kabisa sasa wanasiasa Wajikite kwenye kuelezea na kupatia suluhisho matatizo ya Watanzania.

Bei ya mazao yao,Ajira, biashara,madaraja ,barabara nk.
Chadema kiache uharakati kifanye siasa,siasa zinazohusu watu.
 
Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa HiyoMwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.

Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.

Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.

Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa Kama chama ili wananchi tutembee nazo.
Hiyo mipya kwani bado kuiona
 
Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.

Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.

Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.

Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa Kama chama ili wananchi tutembee nazo.
Kama utawala wa I do Amin,
Lazima issue ya Magufuli idadavuliwe, isijetokea tena raha wa Burundi kutawala Tanzania.

It was a sad chapter, na hayajaongelewa yote .
 
Sasa chadema wameishiwa hoja wanaanza kuja na hoja za ukabila wanataka kutengeneza tension ya wachaga na watu wa kanda ya ziwa wajiandae tu
 
Tukisema muda umemtupa huyo kamanda na analazimisha gemu

Tunaonekana maadui.
 
Magufuli alikuwa ni rais wa nchi, ambaye automatic alikuwa mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu na mwenyekiti wa CCM Taifa. Kwa vyeo vyake na matendo ya serikali yake huwezi kukwepa kumzungumza. Ikumbukwe utawala wa awamu ya sita unavina saba na utawala wa awamu ya Tano.
Magufuli alikuwa ni raia namba moja, hivyo ni lazima asemwe kwa mazuri na mabaya, hakuwa Mungu bali alikuwa binadamu ingawa alijitofautisha na sifa za kibinadamu.
Magufuli kwa kuwa mwanadamu ana mabaya yake, katika mazuri yake alikuwa anatimiza majukumu yake ya urais.
Hata Yesu Kristo pamoja na kuwapa mikate wafuasi wake pamoja na kila walichotaka. lakini walimsema na wapo waliomsaliti na kumkataa.
 
Nilimsikiliza Mbowe, kiukweli bado ana dude linamkereketa moyoni kutokana na anguko la kuukosa ubunge

Ubunge ni fursa kubwa sana kwake kuliko hata kudorora kwa biashara zake, pía anguko la ruzuku ni pigo jingine takatifu ktk chama chake ukizingatia ile pesa ya ruzuku alikuwa anapiga panga percent fulani kwa kujilipa kwa madai ya kwamba huwa anakidai chama kutokana na Gharama binafsi anazo changia chama

Hvyo ushauri wangu bw Mbowe, anza kufocus ktk kuleta speech zenye kudeal na current issues sio past, kuendelea kumsema vibaya Hayati ni kupoteza muda,, na pía inaonesha kama Chama hamkujipanga vizuri ktk hio mizurulo unayoiita ziara
Labda kama lengo za hizo ziara ni kupiga posho kutoka chamani, lakini kiukweli hamjajipanga kabisa ktk hoja za kuwasilisha
 
Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.

Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.

Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.

Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.

Anasema kile wafuasi mnapenda kusikia. Anawapa mkipendacho kwa sababu ndio kariba yenu ilipoishia. Mi naomba aendelee hivyohivyo hadi mtakapotosheka.
 
Hakuna kosa lolote kisheria kumsema marehemu iwe vibaya au vizuri, ndio maana akina Nyerere, mitume kama Yesu Muhammad nk wanasemwa vizuri na vibaya.
Mbowe kaumizwa sana na utawala wa mwendazake mwacheni apumue apate ahueni, kwa upande mwingine anasaidia kueleza ubaya wa mwendazake amabao ulifunikwa na propaganda za uongo na kuonya utawala uliopo kutorudia makosa yaliyopita.

Tunatambua wafuasi wa Magufuli ampendi kuona magufuli akisemwa vibaya na watu makini Kama mbowe, kwa hiyo nyinyi fanyeni mambo yenu na mbowe muacheni na mambo yake, kwani akiaribikiwa yanawahusu nini?.
Kiongozi makini huongoza siyo kwa kulalamikia yaliyopita aangazie ajenda mpya na aonyeshe njia. Habari ya mwendazake haina political mileage kwa vile ni kumuonea kwa vile hayupo na hawezi kujibu mapigo. Hii ya Mbowe ni kuishiwa hoja na kujidhalilisha.
 
Mwendazake hata CCM yenyewe karibia 70% walishamchoka....kiongozi gani anataka kuongea yeye tu miaka 6 wengine hapana, akaidharau corona ikamfanyia yake!!
 
Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo
Uwezo wa kuja na hiyo mikakati mipya na ajenda mpya atautoa wapi? Chadema ilikuwa na uwezo huo enzi za Slaa na Mkumbo, toka wameondoka chama kimekuwa kama kichwa cha mwendawazimu, kila mtu anafanyia majaribio ya akipendacho. Lisu akaja na ushogeshwaji, mbowe sasa kaja na ukabila. Too bad!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom