Hakuna Taifa lililoendelea kwa kujipendekeza na kujidharau

Hakuna Taifa lililoendelea kwa kujipendekeza na kujidharau

Historia uwa haifutiki. na nimechukulia mafano. Umwamba dunia hii haukwepeki. Marekani ni mwamba, wanaingilia hadi masuala ya ndani ya nchi zingine. Tazama Libya, Iraq, Iran, na Kwingineko. Umwamba wa marekani ulimfanya Korea kaskzini kuwekeza katika siraha nzito za kivita. Tazama urusi anavyotumia umwamba wake.
weye ndo unafikiria kizamani enzi za utumwa. Slogan ya wamerekani ni kufanya Taifa lao kuzidi kuwa kubwa na kukontrol dunia.
Hamna aliyesema Historia inafutika ila lazima tukubali Dunia inabadilika, hivyo na jinsi watu wanavyoishi inabadilika. Huwezi kuzuia kijana wa Kimasai na Kimang’ati leo kutengeneza mahusiano kufanya biashara kisa nyie mababu mlikuwa mnaibiana ng’ombe zamani na kuchapana bakora!
Again, sheria, kanuni na taratibu zinatosha kulinda maslahi ya nchi. Kama haziwezi zifanyiwe amendements. Tumwache Mama afanye kazi.
 
Siishi kwa ushabiki na kujimbembeleza na uwa nimsema kweli daima hata akiwa mazazi wangu kakosea nitampa maoni yangu. mama anapenda kukoselewa na kuambiwa ukweli. Weye mwenye kusifu kila kitu ndo utaemwangusha. Huo sio upendo.
Mlivyokuwa mnakenua meno wakati jiwe analiharibu taifa hamkujua kuwa atakuja kiongozi mwingine mwenye mawazo tofauti?
 
Nikuhakikishie kuwa hamtaweza kumzuia mama kufanya kazi ngumu ya kulinyoosha taifa na kurudisha umoja ndani ya nchi mlio iharibu.

Kitendo cha kurudisha uhusiano wetu na majirani zetu kimewaumiza maana mnajua kuwa sasa mama anaanza kufagia maovu yaliyofanywa na mtangulizi wake.
Unao kwa ushabiki, mie naongea kwa maslahi mapana ya Taifa. Kaa na ushabiki wako. nitasifia pale palipo na manufaa lakini penye mushikeri nitasema wazi. Kaa uwaze makundi na utimu haina maslahi kwa Taifa.
 
Wakenya wameendelea nini ? Wana uchumi wa kati sawa nasi. Uchumi wao unatawaliwa na wachache. Ardhi inamilikiwa na wachache. Huku familia ya Kenyatta ikimiliki asilimia karibu 70 ya hyo nchi.
Nyerere hakuwa kuitetemekea. Na kunawakati alifunga mipaka. Eti Kenya wameendelea. Hujui Kenya.
Umamzungumiza kenyata yule aliyemwambia Mwl Nyerere unaongoza Maiti au huyu mtoto?. Alafu acha UONGO WA KI CCM kuhusu asilia 70 ya ardhi ni ya kenyata na familia yake.kenya siyo mang'ombe ya kuswagwa hovyo kihivyo.
 
Unao kwa ushabiki, mie naongea kwa maslahi mapana ya Taifa. Kaa na ushabiki wako. nitasifia pale palipo na manufaa lakini penye mushikeri nitasema wazi. Kaa uwaze makundi na utimu haina maslahi kwa Taifa.
Mnajulikana wala hakuna kificho.
 
Mnajulikana wala hakuna kificho.
Ok, nitaendelea mkosoa Rais atapofanya isivyo sahihi. Sijipendekezi, wala sitegemei maisha ya kujipendekeza na kusifia visivyo sifika. Nafanya kazi naingiza fedha, hii inanitosha. Hutonizuia hata useme chochote, hata utukane. Siogopi.
 
Wakenya wameendelea nini ? Wana uchumi wa kati sawa nasi. Uchumi wao unatawaliwa na wachache. Ardhi inamilikiwa na wachache. Huku familia ya Kenyatta ikimiliki asilimia karibu 70 ya hyo nchi.
Nyerere hakuwa kuitetemekea. Na kunawakati alifunga mipaka. Eti Kenya wameendelea. Hujui Kenya.
Aliyekwambia sisi tupo uchumi wa kati ni nani? Kwanini mnalishwa propaganda na mnazimeza?

Sisi hatupo uchumi wa kati, tupo UCHUMI WA CHINI WA KATI....Understand the difference!
 
Ok, nitaendelea mkosoa Rais atapofanya isivyo sahihi. Sijipendekezi, wala sitegemei maisha ya kujipendekeza na kusifia visivyo sifika. Nafanya kazi naingiza fedha, hii inanitosha. hutonizuia hata useme chochote, hata utukane. Siogopi.
Poleni sana mataga .
Dunia inazunguka hakuna kitu kinachoweza kuishi bila mabadiliko.
 
Aliyekwambia sisi tupo uchumi wa kati ni nani? Kwanini mnalishwa propaganda na mnazimeza?

Sisi hatupo uchumi wa kati, tupo UCHUMI WA CHINI WA KATI....Understand the difference!
Hao ndiyo wale waliokuwa waneneza propaganda za hovyo .
Sasa hivi hawapewi tena hiyo nafasi ndiyo maana wanabweka bweka hivyo.
 
Mleta mada una mitizamo ambayo imepitwa na muda. Mawazo ya kupenda mambo ya umwamba na kudhibitiana yamesababisha watu wengi kuishi maisha ya umasikini na ya kuungaunga.
Dunia sasa ni kijiji kimoja, watu wanawaza ku-interact kufanya biashara wewe unaleta mifano yako ya kuvimbiana na akina Kamuzu .. Are you stuck in times???
Kuna taratibu na sheria, zinatosha kulinda maslahi yetu na sio kujificha ndani ya mtungi peke yetu!
Hapo kwenye taratibu na sheria ndo kwenye tatizo na wazalendo wa kweli wanaogopa hapo.

Sheria na taratibu hizo si ndo zilitupatia DOWANS, IPTL, AGGREKO, ile migodi ya kubadili majina kila leo na kutuachia mashimo, hotel kubadili majina kila uchwao, ujangili, ufisadi uliotukuka na wa wazi, upigwaji wa pesa za KILIMO KWANZA na TASAF, magendo bandarini, kuuziana mali za umma kwa bei ya kutupa, kudhani baada ya miaka 100, majengo ya M/City yatakuwa na thamani kwetu, watoto wa vigogo kushikilia nafasi zote za ajira nono kwa memo, gesi kuuzwa kwa dharula, ekari za ardhi kwa mamilioni kujimilikisha vigogo na ndugu zao bila kuendeleza......and the list goes on.

Hizo ndo Sheria na taratibu tulizonazo, zinazolinda upuuzi na kufungulia majangili kuingia ndani.

Zingekuwa za maana sana, kuna majina yasingeendelea kusikika tena nchi hii, na wengi wasingeogopa hayo yanayotakiwa kufanyika sasa.

Choreni ramani upya, andaeni wapambanaji wenu vyema, kisha fungua milango ukijua kabisa kila mtu anajua cha kufanya.

Kifikra;
WaTz waajiriwa ni 1%
Wenye elimu productive hawafiki 10%
Wasioelewa mambo yanakwendaje ni zaidi ya 50%
Wakulima/wafugaji wa mazoea ni 20%

Sasa, Hotelia wamejaa wageni, viwandani wamejaa wageni, mashamba makubwa ni ya wageni, migodini ni wageni, biashara ni wageni, miundombinu ni wageni...waache waje
 
Umamzungumiza kenyata yule aliyemwambia Mwl Nyerere unaongoza Maiti au huyu mtoto?. Alafu acha UONGO WA KI CCM kuhusu asilia 70 ya ardhi ni ya kenyata na familia yake.kenya siyo mang'ombe ya kuswagwa hovyo kihivyo.

Umamzungumiza kenyata yule aliyemwambia Mwl Nyerere unaongoza Maiti au huyu mtoto?. Alafu acha UONGO WA KI CCM kuhusu asilia 70 ya ardhi ni ya kenyata na familia yake.kenya siyo mang'ombe ya kuswagwa hovyo kihivyo.
Unajua nani aliambiwa ni Nyang`au. Kama sio mang`ombe iweje ardhi yao asilimia karibu sabini ichukuliwe na huyo kenyatta. Hadi leo Kenya wananchi wanashida ya ardhi. Ndo maana wanaitamania ardhi ya Tanzania. eti si mang`ombe, ha ha ha! leo matajiri wachache ndo wenye haki kenya. Kaangalie masikini wanavyoangaika kenya.
 
Aliyekwambia sisi tupo uchumi wa kati ni nani? Kwanini mnalishwa propaganda na mnazimeza?

Sisi hatupo uchumi wa kati, tupo UCHUMI WA CHINI WA KATI....Understand the difference!
Kwa kutaja ni kati then ndo unaweza changanua kuwa tupo uchumi wa chini kati sawa na Kenya nao ni wachini kati. Tupo kundi moja. Ni uandishi tu nafahamu kila mmoja anajua tupo chini kati. Hivyo nilijua wasomaji ni waelewa watajiongeza. Ndo maana wachangiaji wengi hawajaongelea hilo wakijua namaanisha uchumi wa chini kati. Hivyo si kwamba sijui. Katika kuandika uwezi andika kila kitu. ujiongeze tu weye.
 
Wasukuma mna kazi Sana mwaka huu. Ndiyo basi tena Samia ndiye Rais wetu.

Yale maujinga yenu, mkiyataka nendeni Chato tumeyazika na Mwendazake
Wasukuma ni wakazi wa jiji la mwanza ( idadi yake unaifahamu),
Lakini ni wakazi wa mkoa wa shinyanga, pia wapo tabora (wanyamwezi) ukiacha idadi kubwa iliyolowea mbeya, pwani, daressalaam na mikoa mingine nchi nzima.
Kwa nini sasa unawatukana wasukuma?
Tuseme kwamba nchi hii igawanywe kwa ukabila utaweza kutoboa kweli mkuu?
Hii reply yako ungefikiria Mara nyingi kabla ya kupost coz unaonekana umeandika ukiwa na chuki sana.
 
Wakenya wameendelea nini ? Wana uchumi wa kati sawa nasi. Uchumi wao unatawaliwa na wachache. Ardhi inamilikiwa na wachache. Huku familia ya Kenyatta ikimiliki asilimia karibu 70 ya hyo nchi.
Nyerere hakuwa kuitetemekea. Na kunawakati alifunga mipaka. Eti Kenya wameendelea. Hujui Kenya.

Acha kupotosha mkuu. Vipimo kwa kipato sio vya kifikra au porojo. Ni data. Na per capital income ya Kenya ni zaidi ya Tanzania (kuwa katika bracket moja sio kuwa mnalingana). Umezungumzia ardhi ukanikumbusha, kati ya vitu vilivyofanya tuwe masikini ni umiliki wa ardhi. Ardhi hapa ni mali ya serikali, wenzetu wengi ardhi ni milki ya aliyemilikishwa, hata akifidiwa anafidiwa kwa bei ya soko! Ndio maana umiliki wa ardhi huko unachukuliwa kama pesa benki na hivo kuongeza utajiri wa mtu!! Kwa ardhi ya serikali hapa kwetu - aliyenayo hawezi kuithamanisha na ndio maana haiwezi kuwa collateral!! Upo???

Nadhani wewe ndie usioijua Kenya. Unasingizia familia ya Kenyatta inamiliki karibu 70% ya ardhi. Familia ile inamiliki ardhi kubwa ni kweli lakini umiliki wa ardhi sio kosa - tunaweza kujadili kama aliipata kihalali. Kenya ina exports kubwa kuliko Tanzania. Kenya ina imports chache kuliko Tanzania. Nyerere hakuitetemekea kwa sababu Nyerere alikuwa na viwanda hapa ambavyo leo vimekufa. Kipindi cha Nyerere kweli elimu ilikuwa uti wa mgongo. Tulikuwa na exports. Na Nyerere alitoa quality education (hata na shule za ufundi zilikuwa nyingi). Tatizo umekuja kufahamu Nyerere akiwa labda sio Rais au amemwitika Mungu. Wengine humu tulikuwa wakubwa wakati Nyerere akiwa Rais. Kuna aliyoweza ambayo wengi tu wameshindwa!!

Tumia takwimu hata za WB kujua na kusema mambo kabla hujaja hapa na hasira na kudanganya. Elimu hutufundisha mambo ya wengine mengi na kutusaidia kuibua yetu. Jifunze na utaacha wivu kwa aliyefanikiwa. Utaiga nawe utafanikiwa. Unataka ulinganishwe na Malawi au Burundi ili ufurahi umewazidi kiuchumi??
 
Kuna watu bado wanahusudu sana sera za kijamaa, na kwa mitazamo yao wale viongozi wenye mlengo wa kijamaa huonekana ni mashujaa kwao. Pamoja na ukweli ya kwamba mfumo wa kiuchumi duniani umebadirika sana lakini wao hawalioni hili, ni wagumu mno kubadilika.

Ni lazima tutambue nguvu ya soko huria ilivyo sasa ili nasi tufanye "economic adjustment" ili tuendane na fursa za kibiashara zilizopo kimataifa. Fursa hizi zipo katika " competitive and comparative advantages" kutokana na rasilimali zilizopo nchini kwa sasa.

Mlengo wa kijamaa upo "hesitant" mno katika kuchangamana na majirani wenye kutofaitiana kimtazamo. Ndiyo maana viongozi wa kijamaa kinadharia huuona ubebari kama kikwazo kikubwa kwa maendeleo, bali kimatendo huuishi na kuutegemea sana.

Rais SSH ndiye kiongozi wa nchi yetu hivi sasa. Ni lazima tumpe nafasi atekeleze yaliyomo na kuainishwa katika ilani ya chama chake ili apate kuiongoza vyema nchi yetu. Kama kiongozi ana fikra na maono yake huru ili aweze kutekeleza yale aliyoyaahidi, kwa hiyo basi ni vyema apewe muda wa kutosha kufanya hivyo kabla ya kuanza kumlalamikia kwa kila ambacho ameanza kukifanya.
 
Ha ha ha, endelea na kujipendekeza. unaweza zunguka lakini ukajikuta huko pale pale.
Mtaishia kubweka tu lkn kazi inasonga na majirani zetu tayari wameshuhudia kuwa mama Samia ndiye kiongozi bora .
 
Kuna watu bado wanahusudu sana sera za kijamaa, na kwa mitazamo yao wale viongozi wenye mlengo wa kijamaa huonekana ni mashujaa kwao. Pamoja na ukweli ya kwamba mfumo wa kiuchumi duniani umebadirika sana lakini wao hawalioni hili, ni wagumu mno kubadilika.

Ni lazima tutambue nguvu ya soko huria ilivyo sasa ili nasi tufanye "economic adjustment" ili tuendane na fursa za kibiashara zilizopo kimataifa. Fursa hizi zipo katika " competitive and comparative advantages" kutokana na rasilimali zilizopo nchini kwa sasa.

Mlengo wa kijamaa upo "hesitant" mno katika kuchangamana na majirani wenye kutofaitiana kimtazamo. Ndiyo maana viongozi wa kijamaa kinadharia huuona ubebari kama kikwazo kikubwa kwa maendeleo, bali kimatendo huuishi na kuutegemea sana.

Rais SSH ndiye kiongozi wa nchi yetu hivi sasa. Ni lazima tumpe nafasi atekeleze yaliyomo na kuainishwa katika ilani ya chama chake ili apate kuiongoza vyema nchi yetu. Kama kiongozi ana fikra na maono yake huru ili aweze kutekeleza yale aliyoyaahidi, kwa hiyo basi ni vyema apewe muda wa kutosha kufanya hivyo kabla ya kuanza kumlalamikia kwa kila ambacho ameanza kukifanya.
Upo sahihi
 
Siku zote lazima ujifunze kwa waliotangulia. Kenya walishatangulia. Lazima tuangalie njia walizopita.

Ukiwa na jeuri kama ya Jiwe Ndio hayo ya kujiaminisha ujinga mwisho wa siku unaanza kuitumbukiza nchi kwenye shimo
Hao wakenya si ndiyo walio kuwa wakimiliki Tanzanite yetu kabla ya Magufulo kuweka ukuta? Mbona hatukuwa matajiri na kubadili nchi? Hapa watanzania inabidi mjiulize sana. Huyu Mama asije akaiuza nchi na watu wake!
 
Back
Top Bottom