Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Kenya ni nchi maskini walitakiwa rais wao aje Tanzania kujitambulisha.. Kwanza Kenya haijapata uhuruWakenya wameendelea nini ? Wana uchumi wa kati sawa nasi. Uchumi wao unatawaliwa na wachache. Ardhi inamilikiwa na wachache. Huku familia ya Kenyatta ikimiliki asilimia karibu 70 ya hyo nchi.
Nyerere hakuwa kuitetemekea. Na kunawakati alifunga mipaka. Eti Kenya wameendelea. Hujui Kenya.
Aisee! Uelewa wako wa nchi za nje una short circuit. Ebu jitathmini tena!Kwanini watu mnaandika upumbavu maneno mengi hivi?
Enzi za Nyerere kuna mataifa tulikuwa hatujubaliani kwenye baadhi ya mambo lakini hayakuwahi kuwa maadui zetu.
Kwanza, Kuwa na migogoro na majirani siyo ufahari.
Pili, Kujisahihisha na kukubali jema la mwenzio siyo kujidharau wala udhaifu.
Ingekuwa ni kujidharau basi Wamarekani wangekuwa ni dhaifu sana.
Hakuna nchi inayoongoza kwa kujifanya iko chini kama Marekani. Sasa hivi ukiwasoma wamarekani mara zote wanaonesha kama nchi yako inaenda kupitwa na China au inazidiwa na China kwa baadhi ya mambo.
Una akili ndogo sana.
Ha ha ha, si kubweka ni mawazo na maoni. Hapa unapigia mbuzi gitaa. Unachojumuisha watu kimakundi na kitimu mie hata siwaelewi natoa mawazo kwa utashi wangu. Endelea na ngoma zakoMtaishia kubweka tu lkn kazi inasonga na majirani zetu tayari wameshuhudia kuwa mama Samia ndiye kiongozi bora .
Dalili za hatua nne nyuma zinaanza kujionyesha..anacho jaribu kuwakilisha muandishi ni kwamba tusiwe tegemezi. tujikwamue kwa jituhada zetu
Kuwa tegemezi ni ile tabia ya ama kuomba au kusubiri kusaidiwa, lakini kukaribisha wawekezaji sio utegemezi, kuwa na wawekezaji wengi kunaongeza tax base, kunaongeza fursa za ajira na many other multiplier effects, tusijifungie sanaanacho jaribu kuwakilisha muandishi ni kwamba tusiwe tegemezi. tujikwamue kwa jituhada zetu
Naona ndugu yangu unaiona Kenya kama tajiri sana. mfumo wao ni wakibepari toka zamani. Lakini Kenya kuna masiki wa kutupwa kuliko Tanzania. Watu wengi wanalia uhaba wa ardhi. Kenya naijua toka utoto nimekulia Kenya baadae nikarudi Tanzania kisha nikaenda kusoma huko. Kwa upande mwingine nina asili ya hkuo na ndugu zangu. Japo mimi ni mtanzania.Acha kupotosha mkuu. Vipimo kwa kipato sio vya kifikra au porojo. Ni data. Na per capital income ya Kenya ni zaidi ya Tanzania (kuwa katika bracket moja sio kuwa mnalingana). Umezungumzia ardhi ukanikumbusha, kati ya vitu vilivyofanya tuwe masikini ni umiliki wa ardhi. Ardhi hapa ni mali ya serikali, wenzetu wengi ardhi ni milki ya aliyemilikishwa, hata akifidiwa anafidiwa kwa bei ya soko! Ndio maana umiliki wa ardhi huko unachukuliwa kama pesa benki na hivo kuongeza utajiri wa mtu!! Kwa ardhi ya serikali hapa kwetu - aliyenayo hawezi kuithamanisha na ndio maana haiwezi kuwa collateral!! Upo???
Nadhani wewe ndie usioijua Kenya. Unasingizia familia ya Kenyatta inamiliki karibu 70% ya ardhi. Familia ile inamiliki ardhi kubwa ni kweli lakini umiliki wa ardhi sio kosa - tunaweza kujadili kama aliipata kihalali. Kenya ina exports kubwa kuliko Tanzania. Kenya ina imports chache kuliko Tanzania. Nyerere hakuitetemekea kwa sababu Nyerere alikuwa na viwanda hapa ambavyo leo vimekufa. Kipindi cha Nyerere kweli elimu ilikuwa uti wa mgongo. Tulikuwa na exports. Na Nyerere alitoa quality education (hata na shule za ufundi zilikuwa nyingi). Tatizo umekuja kufahamu Nyerere akiwa labda sio Rais au amemwitika Mungu. Wengine humu tulikuwa wakubwa wakati Nyerere akiwa Rais. Kuna aliyoweza ambayo wengi tu wameshindwa!!
Tumia takwimu hata za WB kujua na kusema mambo kabla hujaja hapa na hasira na kudanganya. Elimu hutufundisha mambo ya wengine mengi na kutusaidia kuibua yetu. Jifunze na utaacha wivu kwa aliyefanikiwa. Utaiga nawe utafanikiwa. Unataka ulinganishwe na Malawi au Burundi ili ufurahi umewazidi kiuchumi??
Tatizo ni umasikini uliosababishwa na viongozi, wananchi hawawezi kuwa confidence wakati wana njaa na pesa hawana, wakijaribu kupata pesa wanafilisiwa, tangu nchi imepata uhuru Serikali inaona matajiri kama mashetani au wahaini, Hakuna nchi masikini au waty masikini wanaheshimika popote duniani, Watu wanaotoka kwenye mabara mengine ukiwauliza wanaona nini wanapokutana na Waafrika jibu ni wanaona umasikini. Umasikini ni Laana, na utajiri ni Baraka kutoka kwa MunguTanzania ndo Taifa pekee hasa kwa miaka ya sasa ambapo kuanzia viongozi wake na wananchi ujidharau na kusifia mataifa mengine kwa kujipendekeza.
Wakati wa Baba wa Taifa haya mambo hayakuwepo. Hatukubembeleza mtu au Taifa. Hata Jomo Kenyatta enzi hizo alionja shubiri za Nyerere. Si mara ya kwanza Tanzania kuwa na vita ya maneno na ya kiuchumi na Kenya.
Rais Kamuzu Banda pia aliwahi onja joto ya jiwe. Nakumbuka mashuleni hadi tuliimba. "Banda wa malawi katuvalia ngozi simba, kututishia watanzania hatujali...hatujalii. Watanzania tulisimama wamoja. Banda kwa mkwara tu akafyata mkia. Lakini bado Tanzania tulibaki imara (Kwa sauti ya Msechu)
Viwanda viliendelea, tulisoma bure kuanzia chekechea au vidudu hadi chuo kikuu. Tulisafirishwa bure kwa wale wa boarding. Tulipewa daftari na kalamu shuleni. Kulikuwa pia na magari ya shule. Maduka ya serikali na mabasi ya serikali kila mkoa. Kulikuwa na viwanda mikoa mingi. Mabus ya wafanyakazi. Kulikuwa na bustani au park zilitunzwa vizuri. Watu tulienda kupumzika mandhari nzuri na familia. Miji ilipangiliwa. Barabara nyingi zilikuwa na miti pembeni. Leo hakuna kitu. Sijui vilienda wapi.
Pamoja na kiburi chetu hakuna kubembeleza. Tulifunga balozi hadi za uingereza na kukataa misaada yao. Ujerumani Mashariki nao tukawagomea. Israel na wengineo lkn bado Tanzania tulieshimika duniani.
Leo tumekuja na siasa za kubembeleza. Kujipendekeza, kusifia wengine. Leo Watanzania tunaona Wakenya kama ndo wakombozi wa uchumi wetu. Miungu wetu. Leo tunawapa rukhsa waingie mbungani kwetu. Wawe huru. Wawekeze kila sehemu. Ni vizuri. Lakini tunaijua vema Kenya? Nani alivunja umoja wa Afrika mashariki? Nani alidhurumu mali za umoja huo? Nani alitumiwa na majasusi kuvunja huo umoja?
Eti leo economic democracy yetu ni kujiona sisi wajinga ila mataifa mengine ni wajanja. Kazi yetu ni ziara za kusaini mikataba tunayopewa kusaini. Hata hatuna muda wakufikiria. Kisa hatutaki hudhi mtu.
Naomba ziara zingine watanzania tuwe tuna taarifiwa kabla ili tujue nini kinaenda fanyika na pia kama ni mikataba ijadiliwe kwanza bungeni na watanzania tuelewe.
Mtamsema sana vibaya Mwl. Nyerere lakini hatabaki kuwa mdiplomasia wa hali ya juu. Alikuwa mbabe lkn bado aliheshimika na mataifa makubwa.
Mtamsema vibaya na kumtukana Magufuli lkn nchi nyingi zilimtambua kuwa alisimama kwa masilahi mapana ya Tanzania. Hata Mkapa hakuwa na siasa za kubembeleza mataifa ya nje.
Angalia marekani, Uchina, Uingereza, Ujerumani na mataifa mengine wapi wanasera za kubembeleza na kusifia mataifa mengine. USA ilifikia sehemu kuweka vikwazo katika biashara na nchina japo USA inamtegemea China kwa biashara. Kikubwa ni kuangalia maslahi mapana ya nchi.
Eti leo tunasifia wakenya wanademokrasia zaidi ya Tanzania. Ni vizuri. Watanzania wanabaki kujidharau. Wanajiona wao si kitu. Kweli katika kukua tunaona mengi. Kujipendejeza sio kusifiwa ni kuzidi kudharaulika tu. Magufuli alikuwa mkorofi na mbabe. Lakini Tanzania iliheshimika. Hakuongea kiingereza lkn hotuba zake zilifatiliwa dunia nzima kusikia nini atasema. UN wenyewe walikubali kuwa alikuwa mtu aliependa Taifa lake na Afrika.
Korea kaskazini aijipendekezi lkn Marekani wanaogopa na kuheshimu Korea kaskazini. Duniani hapa mataifa makubwa yenye nguvu yote yalitumia ubabe.
Hata ukoloni ulifanyika kwa ubabe ili watawala wapate watakacho. Hata katika Biblia watawala hakuna alie kuwa lele mama. Hakuna alie jipendekeza na kusifia wengine.
Haya twendelee na kusifia, kubembeleza na kujipendekeza tuone hayo maendeleo. Hii awamu ya (-6<+4) imenikumbusha mbali hesabu za mlinganyo na magazijuto.
Hongera Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Nakupenda ila kuwa makini na washauri wako. Hasa huyo ambae wakati wake nchi ilimshinda. Hata alipoulizwa kwanini Tanzania ni masikini wakati ina kila kitu. Alijibu hata yeye hajui na anashangaa kwanini Tanzania ni masikini. Ulikiri mwenyewe hotuba yako ya Bungeni kuwa anakushauri sana pamoja na yule bwana aliesema ataendeleza majengo alojenga babake lakini hakashindwa akabakiza majungu tu kule kwetu minazini.
Baba yake alikuwa na aakili kubwa. Ange kuwepo kule minazini kungekuwa dubai ndogo. Tusisingizie Muungano. Tunapotezwa tu. Yule baharia aliijenga nchi yetu ya minazini wakati huo huo wa muungano. Hata Dar wakati huo haikujengwa kama baharia alivyo ijenga minazini. Leo tunabaki lalamikia muungano badala ya kujikita kuijenga nchi yetu.
Yangu macho. Twendelee kujipendekeza. Kusifia na kuona sisi hatuwezi jenga uchumi wetu isipokuwa wawekezaji. China ilikuwa sawa na Tanzania miaka ya nyuma. Leo ni Taifa kubwa. Je, walitumia sera ya kujipendekeza na kusifia wengine na kujidharau?
Wachina walifanya kazi hawakutegemea wawekezaji uchwara kama Kenya. Walisomesha vijana wao nje, wakaiba tekinolojia toka mataifa makubwa. Wakaunda tekinolojia yeo. Rushwa ikapigwa vita ni kunyongwa tu. Taifa likasimama.
Watanzani leo hatuna scholarship kwa ajili ya Watanzania pekee kama yalivyo mataifa mengine. Mfano Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia na mengineyo hasa kwenda kusoma nje. Nashangaa balozi zetu hazina ubunifu.
Viongozi wengi tulionao leo walipelekwa kusoma nje na serikali. Leo wamekuwa wabinafsi.
Tanzania tu vijana wanaakili kwenye ubunifu na sayansi. Tuwatumie hawa. Tuwajari. Nchi imebaki majungu. Nchi imekuwa siasa kila kitu. Tunajenga shortcut ya maisha.
Viongozi tuwe na maono. Maendeleo hayaji kwa kujipendekeza. Watu watapata machungu ya maisha ila baadae wataenjoy. Nchi zote upitia huko. Ndo tutaona maendeleo ya kweli.
Karibu tena Ikulu kwa remote control. Nawe waziri wa mambo ya nje ulikuwa katibu Mkuu wa wizara ya mambo ya nje wakati wa team Msoga. Uliishia kutuletea Bush, Obama na hatukuona tija. Tulipata neti za mbu pekee.
Rais na baraza na taasisi waliishia kwenda nje. Nakuomba ubadilike. Mshauri vizuri mama. Najua anashaurika na akitulia ni kiongozi na Rais mzuri.
Swali hao matajiri walipataje utajiri wao kihalali au kuuibia serikali. Mbona matajiri kama Bakheresa akina Dewji biashara yao ni halali na hatuwasikii wakilalamika au kusema wanaonewa. Wala kusikia wanakwepa kodi. Tanzania kuna matajiri wengi waliokula fedha ya serikali isivyokihalali na wengine kuhusika na madawa ya kulevya.Tatizo ni umasikini uliosababishwa na viongozi, wananchi hawawezi kuwa confidence wakati wana njaa na pesa hawana, wakijaribu kupata pesa wanafilisiwa, tangu nchi imepata uhuru Serikali inaona matajiri kama mashetani au wahaini, Hakuna nchi masikini au waty masikini wanaheshimika popote duniani, Watu wanaotoka kwenye mabara mengine ukiwauliza wanaona nini wanapokutana na Waafrika jibu ni wanaona umasikini. Umasikini ni Laana, na utajiri ni Baraka kutoka kwa Mungu
Magufuli hakuwa la Rais, yule naisi aliletwa kuharibu nchi yetuTanzania ndo Taifa pekee hasa kwa miaka ya sasa ambapo kuanzia viongozi wake na wananchi ujidharau na kusifia mataifa mengine kwa kujipendekeza.
Wakati wa Baba wa Taifa haya mambo hayakuwepo. Hatukubembeleza mtu au Taifa. Hata Jomo Kenyatta enzi hizo alionja shubiri za Nyerere. Si mara ya kwanza Tanzania kuwa na vita ya maneno na ya kiuchumi na Kenya.
Rais Kamuzu Banda pia aliwahi onja joto ya jiwe. Nakumbuka mashuleni hadi tuliimba. "Banda wa malawi katuvalia ngozi simba, kututishia watanzania hatujali...hatujalii. Watanzania tulisimama wamoja. Banda kwa mkwara tu akafyata mkia. Lakini bado Tanzania tulibaki imara (Kwa sauti ya Msechu)
Viwanda viliendelea, tulisoma bure kuanzia chekechea au vidudu hadi chuo kikuu. Tulisafirishwa bure kwa wale wa boarding. Tulipewa daftari na kalamu shuleni. Kulikuwa pia na magari ya shule. Maduka ya serikali na mabasi ya serikali kila mkoa. Kulikuwa na viwanda mikoa mingi. Mabus ya wafanyakazi. Kulikuwa na bustani au park zilitunzwa vizuri. Watu tulienda kupumzika mandhari nzuri na familia. Miji ilipangiliwa. Barabara nyingi zilikuwa na miti pembeni. Leo hakuna kitu. Sijui vilienda wapi.
Pamoja na kiburi chetu hakuna kubembeleza. Tulifunga balozi hadi za uingereza na kukataa misaada yao. Ujerumani Mashariki nao tukawagomea. Israel na wengineo lkn bado Tanzania tulieshimika duniani.
Leo tumekuja na siasa za kubembeleza. Kujipendekeza, kusifia wengine. Leo Watanzania tunaona Wakenya kama ndo wakombozi wa uchumi wetu. Miungu wetu. Leo tunawapa rukhsa waingie mbungani kwetu. Wawe huru. Wawekeze kila sehemu. Ni vizuri. Lakini tunaijua vema Kenya? Nani alivunja umoja wa Afrika mashariki? Nani alidhurumu mali za umoja huo? Nani alitumiwa na majasusi kuvunja huo umoja?
Eti leo economic democracy yetu ni kujiona sisi wajinga ila mataifa mengine ni wajanja. Kazi yetu ni ziara za kusaini mikataba tunayopewa kusaini. Hata hatuna muda wakufikiria. Kisa hatutaki hudhi mtu.
Naomba ziara zingine watanzania tuwe tuna taarifiwa kabla ili tujue nini kinaenda fanyika na pia kama ni mikataba ijadiliwe kwanza bungeni na watanzania tuelewe.
Mtamsema sana vibaya Mwl. Nyerere lakini hatabaki kuwa mdiplomasia wa hali ya juu. Alikuwa mbabe lkn bado aliheshimika na mataifa makubwa.
Mtamsema vibaya na kumtukana Magufuli lkn nchi nyingi zilimtambua kuwa alisimama kwa masilahi mapana ya Tanzania. Hata Mkapa hakuwa na siasa za kubembeleza mataifa ya nje.
Angalia marekani, Uchina, Uingereza, Ujerumani na mataifa mengine wapi wanasera za kubembeleza na kusifia mataifa mengine. USA ilifikia sehemu kuweka vikwazo katika biashara na nchina japo USA inamtegemea China kwa biashara. Kikubwa ni kuangalia maslahi mapana ya nchi.
Eti leo tunasifia wakenya wanademokrasia zaidi ya Tanzania. Ni vizuri. Watanzania wanabaki kujidharau. Wanajiona wao si kitu. Kweli katika kukua tunaona mengi. Kujipendejeza sio kusifiwa ni kuzidi kudharaulika tu. Magufuli alikuwa mkorofi na mbabe. Lakini Tanzania iliheshimika. Hakuongea kiingereza lkn hotuba zake zilifatiliwa dunia nzima kusikia nini atasema. UN wenyewe walikubali kuwa alikuwa mtu aliependa Taifa lake na Afrika.
Korea kaskazini aijipendekezi lkn Marekani wanaogopa na kuheshimu Korea kaskazini. Duniani hapa mataifa makubwa yenye nguvu yote yalitumia ubabe.
Hata ukoloni ulifanyika kwa ubabe ili watawala wapate watakacho. Hata katika Biblia watawala hakuna alie kuwa lele mama. Hakuna alie jipendekeza na kusifia wengine.
Haya twendelee na kusifia, kubembeleza na kujipendekeza tuone hayo maendeleo. Hii awamu ya (-6<+4) imenikumbusha mbali hesabu za mlinganyo na magazijuto.
Hongera Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Nakupenda ila kuwa makini na washauri wako. Hasa huyo ambae wakati wake nchi ilimshinda. Hata alipoulizwa kwanini Tanzania ni masikini wakati ina kila kitu. Alijibu hata yeye hajui na anashangaa kwanini Tanzania ni masikini. Ulikiri mwenyewe hotuba yako ya Bungeni kuwa anakushauri sana pamoja na yule bwana aliesema ataendeleza majengo alojenga babake lakini hakashindwa akabakiza majungu tu kule kwetu minazini.
Baba yake alikuwa na aakili kubwa. Ange kuwepo kule minazini kungekuwa dubai ndogo. Tusisingizie Muungano. Tunapotezwa tu. Yule baharia aliijenga nchi yetu ya minazini wakati huo huo wa muungano. Hata Dar wakati huo haikujengwa kama baharia alivyo ijenga minazini. Leo tunabaki lalamikia muungano badala ya kujikita kuijenga nchi yetu.
Yangu macho. Twendelee kujipendekeza. Kusifia na kuona sisi hatuwezi jenga uchumi wetu isipokuwa wawekezaji. China ilikuwa sawa na Tanzania miaka ya nyuma. Leo ni Taifa kubwa. Je, walitumia sera ya kujipendekeza na kusifia wengine na kujidharau?
Wachina walifanya kazi hawakutegemea wawekezaji uchwara kama Kenya. Walisomesha vijana wao nje, wakaiba tekinolojia toka mataifa makubwa. Wakaunda tekinolojia yeo. Rushwa ikapigwa vita ni kunyongwa tu. Taifa likasimama.
Watanzani leo hatuna scholarship kwa ajili ya Watanzania pekee kama yalivyo mataifa mengine. Mfano Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia na mengineyo hasa kwenda kusoma nje. Nashangaa balozi zetu hazina ubunifu.
Viongozi wengi tulionao leo walipelekwa kusoma nje na serikali. Leo wamekuwa wabinafsi.
Tanzania tu vijana wanaakili kwenye ubunifu na sayansi. Tuwatumie hawa. Tuwajari. Nchi imebaki majungu. Nchi imekuwa siasa kila kitu. Tunajenga shortcut ya maisha.
Viongozi tuwe na maono. Maendeleo hayaji kwa kujipendekeza. Watu watapata machungu ya maisha ila baadae wataenjoy. Nchi zote upitia huko. Ndo tutaona maendeleo ya kweli.
Karibu tena Ikulu kwa remote control. Nawe waziri wa mambo ya nje ulikuwa katibu Mkuu wa wizara ya mambo ya nje wakati wa team Msoga. Uliishia kutuletea Bush, Obama na hatukuona tija. Tulipata neti za mbu pekee.
Rais na baraza na taasisi waliishia kwenda nje. Nakuomba ubadilike. Mshauri vizuri mama. Najua anashaurika na akitulia ni kiongozi na Rais mzuri.
Hii Misukule ya JPM inaboa sana!Kwanini watu mnaandika upumbavu maneno mengi hivi?
Enzi za Nyerere kuna mataifa tulikuwa hatujubaliani kwenye baadhi ya mambo lakini hayakuwahi kuwa maadui zetu.
Kwanza, Kuwa na migogoro na majirani siyo ufahari.
Pili, Kujisahihisha na kukubali jema la mwenzio siyo kujidharau wala udhaifu.
Ingekuwa ni kujidharau basi Wamarekani wangekuwa ni dhaifu sana.
Hakuna nchi inayoongoza kwa kujifanya iko chini kama Marekani. Sasa hivi ukiwasoma wamarekani mara zote wanaonesha kama nchi yako inaenda kupitwa na China au inazidiwa na China kwa baadhi ya mambo.
Una akili ndogo sana.
Hakuna mwenye haja yakutaka kujua matatizo ya kenya maana hayo hayatuhusu tunachotakiwa sisi kujua na kukifanyia kazi ni tutanufaikaje na rasilimali tulizonazo na ujirani wetu na kenya.Haya ndo mambo tunapaswa kujadili kwa kina sio hizo porojo zingine unazoleta maana unazileta kwa mtazamo wako binafsi na hayo ni maisha ya wakenya na lazima ujue hakuna nchi ambayo haina matatizo yake ya ndani kwa wananchi wake.Naona ndugu yangu unaiona Kenya kama tajiri sana. mfumo wao ni wakibepari toka zamani. Lakini Kenya kuna masiki wa kutupwa kuliko Tanzania. Watu wengi wanalia uhaba wa ardhi. Kenya naijua toka utoto nimekulia Kenya baadae nikarudi Tanzania kisha nikaenda kusoma huko. Kwa upande mwingine nina asili ya hkuo na ndugu zangu. Japo mimi ni mtanzania.
Kenyatta hakufuata njia halali za kujimilikisha, ndiyo maana alikuwa katika vita kubwa na Jaromongi odinga, ambae alikataa mfumo wa Utawala wake, na Ouko, ambae aliuwawa kimazingira tu. hadi leo wakenya hawapendi huo mfumo.
Swala la ardhi tanzania liko sawa na nchi za scandinavia, ardhi ni yaserikali na mtu upewa dhamana ya kumiliki hiyo ardhi. Mbona haijaathiri uchumi wa nchi za scandinavia. Ambazo zilikuwa na mwelekeo wa kijamaa zaidi. Hasa sweden. Hivyo sidhani kwamba ardhi ni shida kwa sera za kitanzania.
Si kwamba Kenya wanatuzidi kiihivyo. ni mazidiano ya kwaida kama ilivyo, Norway wanaizidi Sweden na nimajirani ambao wanakizana kiuchimi. Hiyo ni kawaida. lakini haijatupa kutufanya sisi watanzania kuwanyenyekea wakenya na kuwabembeleza.
Hivi slum kubwa Africa unajua ipo wapi na ni kwanini? Tanzania ulishaona hiyo slum kubwa kiasi hicho? Hatujafikia hapo kuwaona waKenya kama miungu watu.
Kwa mtazamo wako.Magufuli hakuwa la Rais, yule naisi aliletwa kuharibu nchi yetu
Mnawasifia sana na ndiyo mnaochukulia mfano. Ndo maana nikaeleza mtazamo wa maisha yao. Sijakurupuka. Na si mtazamo wangu hiyo ni reality. Rasilimali zimekuwepo, ndo hao hao waKenya wamekuwa wakiwaibia. Kenye iliongoza uuzaji wa Tanzanite. Kenya ilelita watalii kutumia mbuga na mlima Kilimanjaro bila kulipa kodi. Leo ndo unasema kutumia raslimali.Hakuna mwenye haja yakutaka kujua matatizo ya kenya maana hayo hayatuhusu tunachotakiwa sisi kujua na kukifanyia kazi ni tutanufaikaje na rasilimali tulizonazo na ujirani wetu na kenya.Haya ndo mambo tunapaswa kujadili kwa kina sio hizo porojo zingine unazoleta maana unazileta kwa mtazamo wako binafsi na hayo ni maisha ya wakenya na lazima ujue hakuna nchi ambayo haina matatizo yake ya ndani kwa wananchi wake.
Paragraph iko wapi wewe mbuzi.Mpumbavu ni yule anaedhani wengine ni wapumbavu. kwasababu hana muda wakutafakari jambo na kujiuliza kwa umakini. lini wakati wa Magufuli tulifunga balozi? Lini wakati wa Magufuli tuliingia vitani? leo unasahau sababu tu hujui historia. Wakati wa Nyerere tulipata uadi na nchi kadhaa. ndo maana nikataja baadhi ya hizo nchi.
Kwakua wewe ni mvivu kusoma unakurupuka kupinga bila kujua nini kimeandikwa ndani. Na hujui siasa za Marekani. Nani alikwambia Marekani inajishusha? Unaijua vema Marekani wewe? Sijaongelea tuwe na migogoro, nimeongelea hatuwezi jishusha na kujidharau. Soma mada uelewe si kusoma paragraph.
Swali ni Nani aliewatetemekea?? Ujue Kuna mambo ni yakipuuzi Sana...uko kuwatetemekea ni kukoje acheni siasa za kale za kipuuzi ambaz hazijengi chchte zaidizaid zinaukiza wananchi ambao biashara na kazi zao zinamuingiliano na hilo taifa...mama kafanya heko Sana wafanyabiashara wa mahindi walikuwa wana stress na hali mbaya kisa ubabe uchwara.....Wakenya wameendelea nini ? Wana uchumi wa kati sawa nasi. Uchumi wao unatawaliwa na wachache. Ardhi inamilikiwa na wachache. Huku familia ya Kenyatta ikimiliki asilimia karibu 70 ya hyo nchi.
Nyerere hakuwa kuitetemekea. Na kunawakati alifunga mipaka. Eti Kenya wameendelea. Hujui Kenya.
Lakini unaposema tumejishusha una maan gani na wapi tulipojishusha?? Wapi tulipojidharauMpumbavu ni yule anaedhani wengine ni wapumbavu. kwasababu hana muda wakutafakari jambo na kujiuliza kwa umakini. lini wakati wa Magufuli tulifunga balozi? Lini wakati wa Magufuli tuliingia vitani? leo unasahau sababu tu hujui historia. Wakati wa Nyerere tulipata uadi na nchi kadhaa. ndo maana nikataja baadhi ya hizo nchi.
Kwakua wewe ni mvivu kusoma unakurupuka kupinga bila kujua nini kimeandikwa ndani. Na hujui siasa za Marekani. Nani alikwambia Marekani inajishusha? Unaijua vema Marekani wewe? Sijaongelea tuwe na migogoro, nimeongelea hatuwezi jishusha na kujidharau. Soma mada uelewe si kusoma paragraph.
Haya. Tumekusikia. Unanung'unika, kuuma na kupuliza. Mataga na wana-Lumumba mupo na hoja?Tanzania ndo Taifa pekee hasa kwa miaka ya sasa ambapo kuanzia viongozi wake na wananchi ujidharau na kusifia mataifa mengine kwa kujipendekeza.
Wakati wa Baba wa Taifa haya mambo hayakuwepo. Hatukubembeleza mtu au Taifa. Hata Jomo Kenyatta enzi hizo alionja shubiri za Nyerere. Si mara ya kwanza Tanzania kuwa na vita ya maneno na ya kiuchumi na Kenya.
Rais Kamuzu Banda pia aliwahi onja joto ya jiwe. Nakumbuka mashuleni hadi tuliimba. "Banda wa malawi katuvalia ngozi simba, kututishia watanzania hatujali...hatujalii. Watanzania tulisimama wamoja. Banda kwa mkwara tu akafyata mkia. Lakini bado Tanzania tulibaki imara (Kwa sauti ya Msechu)
Viwanda viliendelea, tulisoma bure kuanzia chekechea au vidudu hadi chuo kikuu. Tulisafirishwa bure kwa wale wa boarding. Tulipewa daftari na kalamu shuleni. Kulikuwa pia na magari ya shule. Maduka ya serikali na mabasi ya serikali kila mkoa. Kulikuwa na viwanda mikoa mingi. Mabus ya wafanyakazi. Kulikuwa na bustani au park zilitunzwa vizuri. Watu tulienda kupumzika mandhari nzuri na familia. Miji ilipangiliwa. Barabara nyingi zilikuwa na miti pembeni. Leo hakuna kitu. Sijui vilienda wapi.
Pamoja na kiburi chetu hakuna kubembeleza. Tulifunga balozi hadi za uingereza na kukataa misaada yao. Ujerumani Mashariki nao tukawagomea. Israel na wengineo lkn bado Tanzania tulieshimika duniani.
Leo tumekuja na siasa za kubembeleza. Kujipendekeza, kusifia wengine. Leo Watanzania tunaona Wakenya kama ndo wakombozi wa uchumi wetu. Miungu wetu. Leo tunawapa rukhsa waingie mbungani kwetu. Wawe huru. Wawekeze kila sehemu. Ni vizuri. Lakini tunaijua vema Kenya? Nani alivunja umoja wa Afrika mashariki? Nani alidhurumu mali za umoja huo? Nani alitumiwa na majasusi kuvunja huo umoja?
Eti leo economic democracy yetu ni kujiona sisi wajinga ila mataifa mengine ni wajanja. Kazi yetu ni ziara za kusaini mikataba tunayopewa kusaini. Hata hatuna muda wakufikiria. Kisa hatutaki hudhi mtu.
Naomba ziara zingine watanzania tuwe tuna taarifiwa kabla ili tujue nini kinaenda fanyika na pia kama ni mikataba ijadiliwe kwanza bungeni na watanzania tuelewe.
Mtamsema sana vibaya Mwl. Nyerere lakini hatabaki kuwa mdiplomasia wa hali ya juu. Alikuwa mbabe lkn bado aliheshimika na mataifa makubwa.
Mtamsema vibaya na kumtukana Magufuli lkn nchi nyingi zilimtambua kuwa alisimama kwa masilahi mapana ya Tanzania. Hata Mkapa hakuwa na siasa za kubembeleza mataifa ya nje.
Angalia marekani, Uchina, Uingereza, Ujerumani na mataifa mengine wapi wanasera za kubembeleza na kusifia mataifa mengine. USA ilifikia sehemu kuweka vikwazo katika biashara na nchina japo USA inamtegemea China kwa biashara. Kikubwa ni kuangalia maslahi mapana ya nchi.
Eti leo tunasifia wakenya wanademokrasia zaidi ya Tanzania. Ni vizuri. Watanzania wanabaki kujidharau. Wanajiona wao si kitu. Kweli katika kukua tunaona mengi. Kujipendejeza sio kusifiwa ni kuzidi kudharaulika tu. Magufuli alikuwa mkorofi na mbabe. Lakini Tanzania iliheshimika. Hakuongea kiingereza lkn hotuba zake zilifatiliwa dunia nzima kusikia nini atasema. UN wenyewe walikubali kuwa alikuwa mtu aliependa Taifa lake na Afrika.
Korea kaskazini aijipendekezi lkn Marekani wanaogopa na kuheshimu Korea kaskazini. Duniani hapa mataifa makubwa yenye nguvu yote yalitumia ubabe.
Hata ukoloni ulifanyika kwa ubabe ili watawala wapate watakacho. Hata katika Biblia watawala hakuna alie kuwa lele mama. Hakuna alie jipendekeza na kusifia wengine.
Haya twendelee na kusifia, kubembeleza na kujipendekeza tuone hayo maendeleo. Hii awamu ya (-6<+4) imenikumbusha mbali hesabu za mlinganyo na magazijuto.
Hongera Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Nakupenda ila kuwa makini na washauri wako. Hasa huyo ambae wakati wake nchi ilimshinda. Hata alipoulizwa kwanini Tanzania ni masikini wakati ina kila kitu. Alijibu hata yeye hajui na anashangaa kwanini Tanzania ni masikini. Ulikiri mwenyewe hotuba yako ya Bungeni kuwa anakushauri sana pamoja na yule bwana aliesema ataendeleza majengo alojenga babake lakini hakashindwa akabakiza majungu tu kule kwetu minazini.
Baba yake alikuwa na aakili kubwa. Ange kuwepo kule minazini kungekuwa dubai ndogo. Tusisingizie Muungano. Tunapotezwa tu. Yule baharia aliijenga nchi yetu ya minazini wakati huo huo wa muungano. Hata Dar wakati huo haikujengwa kama baharia alivyo ijenga minazini. Leo tunabaki lalamikia muungano badala ya kujikita kuijenga nchi yetu.
Yangu macho. Twendelee kujipendekeza. Kusifia na kuona sisi hatuwezi jenga uchumi wetu isipokuwa wawekezaji. China ilikuwa sawa na Tanzania miaka ya nyuma. Leo ni Taifa kubwa. Je, walitumia sera ya kujipendekeza na kusifia wengine na kujidharau?
Wachina walifanya kazi hawakutegemea wawekezaji uchwara kama Kenya. Walisomesha vijana wao nje, wakaiba tekinolojia toka mataifa makubwa. Wakaunda tekinolojia yeo. Rushwa ikapigwa vita ni kunyongwa tu. Taifa likasimama.
Watanzani leo hatuna scholarship kwa ajili ya Watanzania pekee kama yalivyo mataifa mengine. Mfano Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia na mengineyo hasa kwenda kusoma nje. Nashangaa balozi zetu hazina ubunifu.
Viongozi wengi tulionao leo walipelekwa kusoma nje na serikali. Leo wamekuwa wabinafsi.
Tanzania tu vijana wanaakili kwenye ubunifu na sayansi. Tuwatumie hawa. Tuwajari. Nchi imebaki majungu. Nchi imekuwa siasa kila kitu. Tunajenga shortcut ya maisha.
Viongozi tuwe na maono. Maendeleo hayaji kwa kujipendekeza. Watu watapata machungu ya maisha ila baadae wataenjoy. Nchi zote upitia huko. Ndo tutaona maendeleo ya kweli.
Karibu tena Ikulu kwa remote control. Nawe waziri wa mambo ya nje ulikuwa katibu Mkuu wa wizara ya mambo ya nje wakati wa team Msoga. Uliishia kutuletea Bush, Obama na hatukuona tija. Tulipata neti za mbu pekee.
Rais na baraza na taasisi waliishia kwenda nje. Nakuomba ubadilike. Mshauri vizuri mama. Najua anashaurika na akitulia ni kiongozi na Rais mzuri.
Wengi hawatakuelewa ila umesema ukweli tupuKwanini watu mnaandika upumbavu maneno mengi hivi?
Enzi za Nyerere kuna mataifa tulikuwa hatujubaliani kwenye baadhi ya mambo lakini hayakuwahi kuwa maadui zetu.
Kwanza, Kuwa na migogoro na majirani siyo ufahari.
Pili, Kujisahihisha na kukubali jema la mwenzio siyo kujidharau wala udhaifu.
Ingekuwa ni kujidharau basi Wamarekani wangekuwa ni dhaifu sana.
Hakuna nchi inayoongoza kwa kujifanya iko chini kama Marekani. Sasa hivi ukiwasoma wamarekani mara zote wanaonesha kama nchi yako inaenda kupitwa na China au inazidiwa na China kwa baadhi ya mambo.
Una akili ndogo sana.