Hakuna Taifa lililoendelea kwa kujipendekeza na kujidharau

Hakuna Taifa lililoendelea kwa kujipendekeza na kujidharau

Mambo mengine uliyoyaandika au hujui au hutaki kufuatilia ili ujue.

China chini ya sera za kujifungia za Mao, iliendelea kuwa maskini kwa miaka mingi. Wachina walikuwa mpaka wanavaa nguo zenye viraka.

Maendeleo makubwa ya China, yametokea kuanzia miaka ya 1990 baada ya kuruhusu uwekezaji wa nje. Makampuni makubwa toka America, Ulaya na Australia yalienda kuwekeza China. Ndipo uchumi wa China ulianza kukua kwa kasi.

Mpaka leo, China ndiyo inayoongoza katika kuvutia uwekezaji toka Ulaya na America. Kila mwaka China inapata uwekezaji wa nje unaofikia thamqni ya dola bilioni 80.

Katika makampuni makubwa kabisa 10 nchini China, kampuni ya China ni moja tu, Huawei. Mengine yote ni makampuni ya Ulaya na America.

Hakuna nchi hata moja Duniani aliyowahi kupata maendeleo ya haraka bila ya kuruhusu uwekezaji wa nje.

Ni Uingereza ndiyo iliyowekeza America enzi za Utumwa. Ni Ufaransa iliyoenda kuwekeza Canada. Ni Canada na Uingereza zilienda kuwekeza Australia. Ni US iliyoenda kuwekeza Ujerumani na South Korea. North Korea, mpaka leo, watu wao wanahangaika hata namna ya kupata chakula kutokana na kushindwa kuchangamanisha.
 
Naona watoto wa marehemu wakiwaya waya,wanatapa tapa mpaka sasa hawaamini kama baba yao hatunae tena na sasa Mama ndio kashikilia usukani.

Eti safari za mama tujuzwe kabla anaenda kufanya nn na mikataba anayoingia ipitiwe kwanza bungeni,Hivi SGR,uwanja wa chato,ununuzi wa ndege vilipitishwa na bunge lipi? Au wivu tu unawakereketa?
Two wrongs never make a right...Na watoto wa marehemu ni wengi mkumbuke nao pia ni wapiga kura...Twendeni polepole...Tutengeneze umoja wa nchi na tulinde maslahi ya nchi kwa faida ya kila mtu...Kama alivyomaliza mwenda zake na wengine pia wajifunze cheo ni dhamana!
 
Mambo mengine uliyoyaandika au hujui au hutaki kufuatilia ili ujue.

China chini ya sera za kujifungia za Mao, iliendelea kuwa maskini kwa miaka mingi. Wachina walikuwa mpaka wanavaa nguo zenye viraka.

Maendeleo makubwa ya China, yametokea kuanzia miaka ya 1990 baada ya kuruhusu uwekezaji wa nje. Makampuni makubwa toka America, Ulaya na Australia yalienda kuwekeza China. Ndipo uchumi wa China ulianza kukua kwa kasi.

Mpaka leo, China ndiyo inayoongoza katika kuvutia uwekezaji toka Ulaya na America. Kila mwaka China inapata uwekezaji wa nje unaofikia thamqni ya dola bilioni 80.

Katika makampuni makubwa kabisa 10 nchini China, kampuni ya China ni moja tu, Huawei. Mengine yote ni makampuni ya Ulaya na America.

Hakuna nchi hata moja Duniani aliyowahi kupata maendeleo ya haraka bila ya kuruhusu uwekezaji wa nje.

Ni Uingereza ndiyo iliyowekeza America enzi za Utumwa. Ni Ufaransa iliyoenda kuwekeza Canada. Ni Canada na Uingereza zilienda kuwekeza Australia. Ni US iliyoenda kuwekeza Ujerumani na South Korea. North Korea, mpaka leo, watu wao wanahangaika hata namna ya kupata chakula kutokana na kushindwa kuchangamanisha.
Kama china ingeingia kwenye kutojifungia isingelalamikiwa kwa kuvunja haki za binadamu...Mpaka leo China ina mambo ambayo haijayafungua...Hakuna nchi ambayo ilianza kwakujiweka wazi...Hata uingereza unayoisifu kuna wakati ilikuwa na sheria kali za kufanya kazi hadi wazungu wakachukia ukristo...Walibeba mawe mazito kujenga majengo makubwa, reli etc
 
H
Nikuhakikishie kuwa hamtaweza kumzuia mama kufanya kazi ngumu ya kulinyoosha taifa na kurudisha umoja ndani ya nchi mlio iharibu.

Kitendo cha kurudisha uhusiano wetu na majirani zetu kimewaumiza maana mnajua kuwa sasa mama anaanza kufagia maovu yaliyofanywa na mtangulizi wake.
Uhusiano upi ulikuokuwa umearibika? mbona timemwona Kinyatta akija hapa mala mbili na tukampa tausi!kuna nchi gani iliyovunja ubarozi na Tanzania wakati wa Magufuri? Mwambie mama yenu aache kujipendekeza ,asara nikubwa kuliko faida.
 
H

Uhusiano upi ulikuokuwa umearibika? mbona timemwona Kinyatta akija hapa mala mbili na tukampa tausi!kuna nchi gani iliyovunja ubarozi na Tanzania wakati wa Magufuri? Mwambie mama yenu aache kujipendekeza ,asara nikubwa kuliko faida.
Hasara mlizo tusababishia ilibidi muda huu muwe korokoroni.

Na rais ataendelea kufagia uchafu woote .
 
Hasara mlizo tusababishia ilibidi muda huu muwe korokoroni.

Na rais ataendelea kufagia uchafu woote .
Tanzania imepiga atua kubwa Kiuchumi na Kimiundombinu,katika utawala wa Magufuri,pasipo kuwapigia magoti hao manyangau na Mabeberu na mambo yakawa sawa, alichokifanya Magufuri ni kujenga ukuta ili wasiweze iba madini yetu,na yakawa mafanikio makubwa kwa Jpm, wakati Magufuri anaingia madarakani kenya alikuwa wanaongoza kwa GDP 100 na Tanzania GDP 45, miaka mitano tu Tanzania ilfikia GDP 70 kutoka 45, Apo amna msaada wa mabeberu ni akili tu, Alafu inasema Magufuri kafanya uhalibifu,nikwatakwimu zipi hizo?
 
Tanzania imepiga atua kubwa Kiuchumi na Kimiundombinu,katika utawala wa Magufuri,pasipo kuwapigia magoti hao manyangau na Mabeberu na mambo yakawa sawa, alichokifanya Magufuri ni kujenga ukuta ili wasiweze iba madini yetu,na yakawa mafanikio makubwa kwa Jpm, wakati Magufuri anaingia madarakani kenya alikuwa wanaongoza kwa GDP 100 na Tanzania GDP 45, miaka mitano tu Tanzania ilfikia GDP 70 kutoka 45, Apo amna msaada wa mabeberu ni akili tu, Alafu inasema Magufuri kafanya uhalibifu,nikwatakwimu zipi hizo?
CAG report inajionyesha.
Majirani hakuna aliyekuwa karibu naye hata kina Kagame na m7 hawakuja kumzika.

Mama leo hii kaona haifai kuishi na majirani bila maelewano na wafanya biashara wa mazao kama mahindi yaliyo kuwa yamezuiliwa mpakani sasa swaaafiiiii .
 
Mtu anae kimbilia kuji defend katika ukabila mara nyingi lazima ujiulize anatatizo gani. Mada yangu haijaongelea ukabila. Naheshimu makabila yote ya Tanzania kwani wazazi wangu hawatoki kabila moja pia jamaa na ndugu wameo na kuolewa makabila tofauti ya Tanzania. ebu watanzania tuache cheap politics na tujikite katika mambo yatayo leta maendeleo kwa Taifa letu. Hakuna kabila bora kuzidi jingine.
Kwa taarifa yako wanufaika wote wa Mwendazake including wanaojiita wanyonge, tunawaita wasukuma
 
Tanzania imepiga atua kubwa Kiuchumi na Kimiundombinu,katika utawala wa Magufuri,pasipo kuwapigia magoti hao manyangau na Mabeberu na mambo yakawa sawa, alichokifanya Magufuri ni kujenga ukuta ili wasiweze iba madini yetu,na yakawa mafanikio makubwa kwa Jpm, wakati Magufuri anaingia madarakani kenya alikuwa wanaongoza kwa GDP 100 na Tanzania GDP 45, miaka mitano tu Tanzania ilfikia GDP 70 kutoka 45, Apo amna msaada wa mabeberu ni akili tu, Alafu inasema Magufuri kafanya uhalibifu,nikwatakwimu zipi hizo?
Miundo mbinu ipi imejengwa Rais akiwa Magufuli? Iweke hapa halafu tutakuambia nani aliyafuta fedha au nani alianzisha?

Huu ushamba wa kusema Magufuli aliimarisha miundombinu wakati alimalizia tu kazi za wenzie lazima tuukomeshe. Taja sasa
 
Wasukuma ni wakazi wa jiji la mwanza ( idadi yake unaifahamu),
Lakini ni wakazi wa mkoa wa shinyanga, pia wapo tabora (wanyamwezi) ukiacha idadi kubwa iliyolowea mbeya, pwani, daressalaam na mikoa mingine nchi nzima.
Kwa nini sasa unawatukana wasukuma?
Tuseme kwamba nchi hii igawanywe kwa ukabila utaweza kutoboa kweli mkuu?
Hii reply yako ungefikiria Mara nyingi kabla ya kupost coz unaonekana umeandika ukiwa na chuki sana.
Wala sijakosea, maana ndiyo wanashangilia vitendo viovu vya Mwendazake
 
SI
Miundo mbinu ipi imejengwa Rais akiwa Magufuli? Iweke hapa halafu tutakuambia nani aliyafuta fedha au nani alianzisha?

Huu ushamba wa kusema Magufuli aliimarisha miundombinu wakati alimalizia tu kazi za wenzie lazima tuukomeshe. Taja sasa
Siwezi bishana na njinga anataka kila kitu kutafutiwa,inaonekana wewe bado unaishi kwa baba yako,bado unaakili tegemezi, Tafuta lipoti za ADB,WB na AIFM liport 2019-2020, uwe unashugurisha ubongo wako,sio kila kitu kusimuliwa na baba.
 
Siku zote lazima ujifunze kwa waliotangulia. Kenya walishatangulia. Lazima tuangalie njia walizopita.

Ukiwa na jeuri kama ya Jiwe Ndio hayo ya kujiaminisha ujinga mwisho wa siku unaanza kuitumbukiza nchi kwenye shimo
Hakuwa sawa yule Mzee katika kuhandle issues za diplomacy. Ila sio kila kitu tukivamie kichwa kichwa. Tutapigwa sasa hivi
 
SI

Siwezi bishana na njinga anataka kila kitu kutafutiwa,inaonekana wewe bado unaishi kwa baba yako,bado unaakili tegemezi, Tafuta lipoti za ADB,WB na AIFM liport 2019-2020, uwe unashugurisha ubongo wako,sio kila kitu kusimuliwa na baba.
Yaani nitafute ripoti za WB wakati ninajuwa kuanzia Nyerere alifanya nini, nakuwa Mwinyi alijenga kitu gani, mchango wa Mkapa ninaujua na kazi ya Kikwette hatujaisahau.

Huyu mshamba amewajaza ujinga na wajinga mkajaa. Amejisifia uwongo akiwa hai, na mapunguani mnaendelea kumwabudu. Pumbafu kabisa
 
Mzunguko wa pesa haupo mtaani jamani, me nachokiomba pesa zipatikane ili hali isiwe mbaya zaidi hayo mengine ya kuwa na utajiri wa kukupita ni kujirisha upepo duniani tunapita tu
 
Mambo mengine uliyoyaandika au hujui au hutaki kufuatilia ili ujue.

China chini ya sera za kujifungia za Mao, iliendelea kuwa maskini kwa miaka mingi. Wachina walikuwa mpaka wanavaa nguo zenye viraka.

Maendeleo makubwa ya China, yametokea kuanzia miaka ya 1990 baada ya kuruhusu uwekezaji wa nje. Makampuni makubwa toka America, Ulaya na Australia yalienda kuwekeza China. Ndipo uchumi wa China ulianza kukua kwa kasi.

Mpaka leo, China ndiyo inayoongoza katika kuvutia uwekezaji toka Ulaya na America. Kila mwaka China inapata uwekezaji wa nje unaofikia thamqni ya dola bilioni 80.

Katika makampuni makubwa kabisa 10 nchini China, kampuni ya China ni moja tu, Huawei. Mengine yote ni makampuni ya Ulaya na America.

Hakuna nchi hata moja Duniani aliyowahi kupata maendeleo ya haraka bila ya kuruhusu uwekezaji wa nje.

Ni Uingereza ndiyo iliyowekeza America enzi za Utumwa. Ni Ufaransa iliyoenda kuwekeza Canada. Ni Canada na Uingereza zilienda kuwekeza Australia. Ni US iliyoenda kuwekeza Ujerumani na South Korea. North Korea, mpaka leo, watu wao wanahangaika hata namna ya kupata chakula kutokana na kushindwa kuchangamanisha.
una uhakika asilimia100% North Korea wanahangaika kupata chakula?
 
Tanzania ndo Taifa pekee hasa kwa miaka ya sasa ambapo kuanzia viongozi wake na wananchi ujidharau na kusifia mataifa mengine kwa kujipendekeza.

Wakati wa Baba wa Taifa haya mambo hayakuwepo. Hatukubembeleza mtu au Taifa. Hata Jomo Kenyatta enzi hizo alionja shubiri za Nyerere. Si mara ya kwanza Tanzania kuwa na vita ya maneno na ya kiuchumi na Kenya.

Rais Kamuzu Banda pia aliwahi onja joto ya jiwe. Nakumbuka mashuleni hadi tuliimba. "Banda wa malawi katuvalia ngozi simba, kututishia watanzania hatujali...hatujalii. Watanzania tulisimama wamoja. Banda kwa mkwara tu akafyata mkia. Lakini bado Tanzania tulibaki imara (Kwa sauti ya Msechu)

Viwanda viliendelea, tulisoma bure kuanzia chekechea au vidudu hadi chuo kikuu. Tulisafirishwa bure kwa wale wa boarding. Tulipewa daftari na kalamu shuleni. Kulikuwa pia na magari ya shule. Maduka ya serikali na mabasi ya serikali kila mkoa. Kulikuwa na viwanda mikoa mingi. Mabus ya wafanyakazi. Kulikuwa na bustani au park zilitunzwa vizuri. Watu tulienda kupumzika mandhari nzuri na familia. Miji ilipangiliwa. Barabara nyingi zilikuwa na miti pembeni. Leo hakuna kitu. Sijui vilienda wapi.

Pamoja na kiburi chetu hakuna kubembeleza. Tulifunga balozi hadi za uingereza na kukataa misaada yao. Ujerumani Mashariki nao tukawagomea. Israel na wengineo lkn bado Tanzania tulieshimika duniani.

Leo tumekuja na siasa za kubembeleza. Kujipendekeza, kusifia wengine. Leo Watanzania tunaona Wakenya kama ndo wakombozi wa uchumi wetu. Miungu wetu. Leo tunawapa rukhsa waingie mbungani kwetu. Wawe huru. Wawekeze kila sehemu. Ni vizuri. Lakini tunaijua vema Kenya? Nani alivunja umoja wa Afrika mashariki? Nani alidhurumu mali za umoja huo? Nani alitumiwa na majasusi kuvunja huo umoja?

Eti leo economic democracy yetu ni kujiona sisi wajinga ila mataifa mengine ni wajanja. Kazi yetu ni ziara za kusaini mikataba tunayopewa kusaini. Hata hatuna muda wakufikiria. Kisa hatutaki hudhi mtu.

Naomba ziara zingine watanzania tuwe tuna taarifiwa kabla ili tujue nini kinaenda fanyika na pia kama ni mikataba ijadiliwe kwanza bungeni na watanzania tuelewe.

Mtamsema sana vibaya Mwl. Nyerere lakini hatabaki kuwa mdiplomasia wa hali ya juu. Alikuwa mbabe lkn bado aliheshimika na mataifa makubwa.

Mtamsema vibaya na kumtukana Magufuli lkn nchi nyingi zilimtambua kuwa alisimama kwa masilahi mapana ya Tanzania. Hata Mkapa hakuwa na siasa za kubembeleza mataifa ya nje.

Angalia marekani, Uchina, Uingereza, Ujerumani na mataifa mengine wapi wanasera za kubembeleza na kusifia mataifa mengine. USA ilifikia sehemu kuweka vikwazo katika biashara na nchina japo USA inamtegemea China kwa biashara. Kikubwa ni kuangalia maslahi mapana ya nchi.

Eti leo tunasifia wakenya wanademokrasia zaidi ya Tanzania. Ni vizuri. Watanzania wanabaki kujidharau. Wanajiona wao si kitu. Kweli katika kukua tunaona mengi. Kujipendejeza sio kusifiwa ni kuzidi kudharaulika tu. Magufuli alikuwa mkorofi na mbabe. Lakini Tanzania iliheshimika. Hakuongea kiingereza lkn hotuba zake zilifatiliwa dunia nzima kusikia nini atasema. UN wenyewe walikubali kuwa alikuwa mtu aliependa Taifa lake na Afrika.

Korea kaskazini aijipendekezi lkn Marekani wanaogopa na kuheshimu Korea kaskazini. Duniani hapa mataifa makubwa yenye nguvu yote yalitumia ubabe.

Hata ukoloni ulifanyika kwa ubabe ili watawala wapate watakacho. Hata katika Biblia watawala hakuna alie kuwa lele mama. Hakuna alie jipendekeza na kusifia wengine.

Haya twendelee na kusifia, kubembeleza na kujipendekeza tuone hayo maendeleo. Hii awamu ya (-6<+4) imenikumbusha mbali hesabu za mlinganyo na magazijuto.

Hongera Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Nakupenda ila kuwa makini na washauri wako. Hasa huyo ambae wakati wake nchi ilimshinda. Hata alipoulizwa kwanini Tanzania ni masikini wakati ina kila kitu. Alijibu hata yeye hajui na anashangaa kwanini Tanzania ni masikini. Ulikiri mwenyewe hotuba yako ya Bungeni kuwa anakushauri sana pamoja na yule bwana aliesema ataendeleza majengo alojenga babake lakini hakashindwa akabakiza majungu tu kule kwetu minazini.

Baba yake alikuwa na aakili kubwa. Ange kuwepo kule minazini kungekuwa dubai ndogo. Tusisingizie Muungano. Tunapotezwa tu. Yule baharia aliijenga nchi yetu ya minazini wakati huo huo wa muungano. Hata Dar wakati huo haikujengwa kama baharia alivyo ijenga minazini. Leo tunabaki lalamikia muungano badala ya kujikita kuijenga nchi yetu.

Yangu macho. Twendelee kujipendekeza. Kusifia na kuona sisi hatuwezi jenga uchumi wetu isipokuwa wawekezaji. China ilikuwa sawa na Tanzania miaka ya nyuma. Leo ni Taifa kubwa. Je, walitumia sera ya kujipendekeza na kusifia wengine na kujidharau?

Wachina walifanya kazi hawakutegemea wawekezaji uchwara kama Kenya. Walisomesha vijana wao nje, wakaiba tekinolojia toka mataifa makubwa. Wakaunda tekinolojia yeo. Rushwa ikapigwa vita ni kunyongwa tu. Taifa likasimama.

Watanzani leo hatuna scholarship kwa ajili ya Watanzania pekee kama yalivyo mataifa mengine. Mfano Afrika Kusini, Nigeria, Ethiopia na mengineyo hasa kwenda kusoma nje. Nashangaa balozi zetu hazina ubunifu.

Viongozi wengi tulionao leo walipelekwa kusoma nje na serikali. Leo wamekuwa wabinafsi.

Tanzania tu vijana wanaakili kwenye ubunifu na sayansi. Tuwatumie hawa. Tuwajari. Nchi imebaki majungu. Nchi imekuwa siasa kila kitu. Tunajenga shortcut ya maisha.

Viongozi tuwe na maono. Maendeleo hayaji kwa kujipendekeza. Watu watapata machungu ya maisha ila baadae wataenjoy. Nchi zote upitia huko. Ndo tutaona maendeleo ya kweli.

Karibu tena Ikulu kwa remote control. Nawe waziri wa mambo ya nje ulikuwa katibu Mkuu wa wizara ya mambo ya nje wakati wa team Msoga. Uliishia kutuletea Bush, Obama na hatukuona tija. Tulipata neti za mbu pekee.

Rais na baraza na taasisi waliishia kwenda nje. Nakuomba ubadilike. Mshauri vizuri mama. Najua anashaurika na akitulia ni kiongozi na Rais mzuri.
Huyu jiwe huyu aliharibu sana watanzania maana walidhan bado tupo zama za kale za mawe

Huwezi kujifanya mbabe wakati had toilet papers unategemea uagize nje , na kiburi cha kipumbavu na misimamo ya kipuuzi ndiyo iliyo leo tunasomeka miongoni mwa mataifa masikini.
 
Mnawasifia sana na ndiyo mnaochukulia mfano. Ndo maana nikaeleza mtazamo wa maisha yao. Sijakurupuka. Na si mtazamo wangu hiyo ni reality. Rasilimali zimekuwepo, ndo hao hao waKenya wamekuwa wakiwaibia. Kenye iliongoza uuzaji wa Tanzanite. Kenya ilelita watalii kutumia mbuga na mlima Kilimanjaro bila kulipa kodi. Leo ndo unasema kutumia raslimali.
Inahitaji tubadilike Kifkira, bado tumefungwa na kumwabudu Kenya. Shida si rasilimali, bali Fikra. Ukikomboleka kifkra, na utaanza jua maendeleo siyo kila siku kumwabudu huyo Kenya wenu.
Huyo anayewasifia wakenya ni wale wavivu wakufikiri.Ninachokijua ni kwamba sisi ndio ambao tumezubaa ndo maana wakenya wanaonekana ni bora kati yetu sasa ilo ni tatizo letu,tunachotakiwa ni sisi tubadilike ili tuingie kwenye ulimwengu wa ushindani kwenye kila nyanja na hilo litatupa nafasi yakurekebisha ujinga mwingi ambao tumeufanya uko nyuma.Mambo yote unayoyalalamikia ni mambo ambayo yametokana na uzoba wetu lakini pia mimi sidhani kama nchi hii haina watu wenye upeo wakutosha wakujadili mambo kwa kina kwa maslahi ya taifa.
 
Back
Top Bottom