Hakuna timu makini yenye viongozi makini itamsajili mchezaji kama Faisal Salum

Hakuna timu makini yenye viongozi makini itamsajili mchezaji kama Faisal Salum

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Simba na Yanga walimsajili Bernard Morrison wote walikiona cha mtema kuni. Faisal anaonekana kuwa ana kipaji kama Morrison lakini hana akili timamu na hatakuwa na akili timamu hata aendako. Timu inayomshawishi Fei Toto afanye hivi anavyofanya isichekelee sana kumchukua Fei Toto, maana atawaudhi hata wao na kujutia muda na fedha zao.

Sio kwamba Fei toto ni mchezaji mzuri sana, ni mchezaji wa kawaida tu bali anachokifanya uwanjani pale Yanga kinachangiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Nabi, wachezaji anaocheza nao na mazingira yaliyoko Yanga.
Hebu mwangalie Fei kabla hajakuja Yanga, kabla hajakuja Prof. Nabi Yanga, anapocheza timu ya taifa na anapochezea timu ya taifa ya Zanzibar ni vitu tofauti kabisa. Hata Saido alikuwa mzuri alipokuwa Yanga chini ya Prof. Nabi.

Ni Nabi tu anaejua namna ya kumtumia Fei hadi Fei akapandisha mabega na kama yuko mtu atabisha hiki ninachokisema ahifadhi huu uzi pahala pema kabisa ili aje aurejelee siku chache zijazo baada ya Fei kufanikiwa kuondoka yanga. Fei ataungana na Saido, Donald Ngoma, Obre Chirwa, Niyonzima, Frank Domayo na Morrison kwenye safari yake ya kuondoka Yanga kwa mbwembwe.
 
Simba na Yanga walimsajili Bernard Morrison wote walikiona cha mtema kuni. Faisal anaonekana kuwa ana kipaji kama Morrison lakini hana akili timamu na hatakuwa na akili timamu hata aendako. Timu inayomshawishi Fei Toto afanye hivi anavyofanya isichekelee sana kumchukua Fei Toto, maana atawaudhi hata wao na kujutia muda na fedha zao.

Sio kwamba Fei toto ni mchezaji mzuri sana, ni mchezaji wa kawaida tu bali anachokifanya uwanjani pale Yanga kinachangiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Nabi, wachezaji anaocheza nao na mazingira yaliyoko Yanga.
Hebu mwangalie Fei kabla hajakuja Yanga, kabla hajakuja Prof. Nabi Yanga, anapocheza timu ya taifa na anapochezea timu ya taifa ya Zanzibar ni vitu tofauti kabisa. Hata Saido alikuwa mzuri alipokuwa Yanga chini ya Prof. Nabi.

Ni Nabi tu anaejua namna ya kumtumia Fei hadi Fei akapandisha mabega na kama yuko mtu atabisha hiki ninachokisema ahifadhi huu uzi pahala pema kabisa ili aje aurejelee siku chache zijazo baada ya Fei kufanikiwa kuondoka yanga. Fei ataungana na Saido, Donald Ngoma, Obre Chirwa, Niyonzima, Frank Domayo na Morrison kwenye safari yake ya kuondoka Yanga kwa mbwembwe.
Na yule beki Muivory cost.
Mwisho aliomba arudi Uto nao wakamdengulia.
 
Simba na Yanga walimsajili Bernard Morrison wote walikiona cha mtema kuni. Faisal anaonekana kuwa ana kipaji kama Morrison lakini hana akili timamu na hatakuwa na akili timamu hata aendako. Timu inayomshawishi Fei Toto afanye hivi anavyofanya isichekelee sana kumchukua Fei Toto, maana atawaudhi hata wao na kujutia muda na fedha zao.

Sio kwamba Fei toto ni mchezaji mzuri sana, ni mchezaji wa kawaida tu bali anachokifanya uwanjani pale Yanga kinachangiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Nabi, wachezaji anaocheza nao na mazingira yaliyoko Yanga.
Hebu mwangalie Fei kabla hajakuja Yanga, kabla hajakuja Prof. Nabi Yanga, anapocheza timu ya taifa na anapochezea timu ya taifa ya Zanzibar ni vitu tofauti kabisa. Hata Saido alikuwa mzuri alipokuwa Yanga chini ya Prof. Nabi.

Ni Nabi tu anaejua namna ya kumtumia Fei hadi Fei akapandisha mabega na kama yuko mtu atabisha hiki ninachokisema ahifadhi huu uzi pahala pema kabisa ili aje aurejelee siku chache zijazo baada ya Fei kufanikiwa kuondoka yanga. Fei ataungana na Saido, Donald Ngoma, Obre Chirwa, Niyonzima, Frank Domayo na Morrison kwenye safari yake ya kuondoka Yanga kwa mbwembwe.
Nabi kaja juzi tu acha upopoma feisal ilikuwa anakiwasha toka enzi za mwinyi zahera yanga mbovu alikuwa yeye na ajibu ndio wanaibeba team mwacheni dogo akatafute riziki sehemu nyingine mbona mnamuwekea kigingi.
 
Simba na Yanga walimsajili Bernard Morrison wote walikiona cha mtema kuni. Faisal anaonekana kuwa ana kipaji kama Morrison lakini hana akili timamu na hatakuwa na akili timamu hata aendako. Timu inayomshawishi Fei Toto afanye hivi anavyofanya isichekelee sana kumchukua Fei Toto, maana atawaudhi hata wao na kujutia muda na fedha zao.

Sio kwamba Fei toto ni mchezaji mzuri sana, ni mchezaji wa kawaida tu bali anachokifanya uwanjani pale Yanga kinachangiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Nabi, wachezaji anaocheza nao na mazingira yaliyoko Yanga.
Hebu mwangalie Fei kabla hajakuja Yanga, kabla hajakuja Prof. Nabi Yanga, anapocheza timu ya taifa na anapochezea timu ya taifa ya Zanzibar ni vitu tofauti kabisa. Hata Saido alikuwa mzuri alipokuwa Yanga chini ya Prof. Nabi.

Ni Nabi tu anaejua namna ya kumtumia Fei hadi Fei akapandisha mabega na kama yuko mtu atabisha hiki ninachokisema ahifadhi huu uzi pahala pema kabisa ili aje aurejelee siku chache zijazo baada ya Fei kufanikiwa kuondoka yanga. Fei ataungana na Saido, Donald Ngoma, Obre Chirwa, Niyonzima, Frank Domayo na Morrison kwenye safari yake ya kuondoka Yanga kwa mbwembwe.
Unaijua yanga iliyokuwa inatembea na mabakuli unajua star wa timu alikua nani ???
 
Simba na Yanga walimsajili Bernard Morrison wote walikiona cha mtema kuni. Faisal anaonekana kuwa ana kipaji kama Morrison lakini hana akili timamu na hatakuwa na akili timamu hata aendako. Timu inayomshawishi Fei Toto afanye hivi anavyofanya isichekelee sana kumchukua Fei Toto, maana atawaudhi hata wao na kujutia muda na fedha zao.

Sio kwamba Fei toto ni mchezaji mzuri sana, ni mchezaji wa kawaida tu bali anachokifanya uwanjani pale Yanga kinachangiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Nabi, wachezaji anaocheza nao na mazingira yaliyoko Yanga.
Hebu mwangalie Fei kabla hajakuja Yanga, kabla hajakuja Prof. Nabi Yanga, anapocheza timu ya taifa na anapochezea timu ya taifa ya Zanzibar ni vitu tofauti kabisa. Hata Saido alikuwa mzuri alipokuwa Yanga chini ya Prof. Nabi.

Ni Nabi tu anaejua namna ya kumtumia Fei hadi Fei akapandisha mabega na kama yuko mtu atabisha hiki ninachokisema ahifadhi huu uzi pahala pema kabisa ili aje aurejelee siku chache zijazo baada ya Fei kufanikiwa kuondoka yanga. Fei ataungana na Saido, Donald Ngoma, Obre Chirwa, Niyonzima, Frank Domayo na Morrison kwenye safari yake ya kuondoka Yanga kwa mbwembwe.
Kwa andiko lako yanga kunawajinga sana kumsajiri benard morrison mara mbili wakijua ni kimeo
 
Kwahiyo saido sahizi sio mzuri
Saido ilicheza mechi zote zidi ya Raja, Horoya, Vipers na Azam. Niambie alifanya nini kuisaidia Simba kupata pts 3, au unasema tu.
 
Nabi kaja juzi tu acha upopoma feisal ilikuwa anakiwasha toka enzi za mwinyi zahera yanga mbovu alikuwa yeye na ajibu ndio wanaibeba team mwacheni dogo akatafute riziki sehemu nyingine mbona mnamuwekea kigingi.
Hakuna mtu anamwekea kigingi, yanga inaendelea na ubeaten zake bila fei, huu ni ushahidi kuwa fei sio muhimu saana. Yanga inamzuia kutoka kiholela kwaajili ya kanuni na heshima.
 
Simba na Yanga walimsajili Bernard Morrison wote walikiona cha mtema kuni. Faisal anaonekana kuwa ana kipaji kama Morrison lakini hana akili timamu na hatakuwa na akili timamu hata aendako. Timu inayomshawishi Fei Toto afanye hivi anavyofanya isichekelee sana kumchukua Fei Toto, maana atawaudhi hata wao na kujutia muda na fedha zao.

Sio kwamba Fei toto ni mchezaji mzuri sana, ni mchezaji wa kawaida tu bali anachokifanya uwanjani pale Yanga kinachangiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Nabi, wachezaji anaocheza nao na mazingira yaliyoko Yanga.
Hebu mwangalie Fei kabla hajakuja Yanga, kabla hajakuja Prof. Nabi Yanga, anapocheza timu ya taifa na anapochezea timu ya taifa ya Zanzibar ni vitu tofauti kabisa. Hata Saido alikuwa mzuri alipokuwa Yanga chini ya Prof. Nabi.

Ni Nabi tu anaejua namna ya kumtumia Fei hadi Fei akapandisha mabega na kama yuko mtu atabisha hiki ninachokisema ahifadhi huu uzi pahala pema kabisa ili aje aurejelee siku chache zijazo baada ya Fei kufanikiwa kuondoka yanga. Fei ataungana na Saido, Donald Ngoma, Obre Chirwa, Niyonzima, Frank Domayo na Morrison kwenye safari yake ya kuondoka Yanga kwa mbwembwe.
Acha kulinganisha Feisal na vitu vya kijinga????
 
Kwa hiyo Yanga inapomuita Feisal mezani kwa lengo la kuboresha mkataba ili aendelee kusalia Yanga ina maana haipo makini?
 
Kwa andiko lako yanga kunawajinga sana kumsajiri benard morrison mara mbili wakijua ni kimeo
kwani unamuona Morrison akiisaidia timu? alisajiliwa kwaajili ya mechi za kimataifa, yuko wapi? kuna mtu pale yanga alishinikiza morrison asajiliwe tena kindezindezi.
 
Ifikie wakati Fei toto atoke nyumbani kwa mama yake, ili akili ikomae. Huwezi kuwa mtoto wa kiume, halafu unaenda kumsimulia mama yako mpaka vitu vya kipuuzi, na vya uongo!

Eti alikuwa anakula ugali na sukari! ☹️
Hata kumtizama usoni utakutana na sura ya chokwa. Ona mara kiremba, mara kanzu, mara tracksuit, mara kapelo. Hayuko kama mchezaji mwenye hadhi kubwa anaekwenda public kwenye ofisi za heshima kama TFF.
 
ZIPO KILA SIKU TUNAZIONA ZIKIBADILISHANA MORRISSON, FEISAL KITU GANI BANAH.
 
Ifikie wakati Fei toto atoke nyumbani kwa mama yake, ili akili ikomae. Huwezi kuwa mtoto wa kiume, halafu unaenda kumsimulia mama yako mpaka vitu vya kipuuzi, na vya uongo!

Eti alikuwa anakula ugali na sukari! ☹️
Ahahahahahahhah
 
Back
Top Bottom