Hakuna timu makini yenye viongozi makini itamsajili mchezaji kama Faisal Salum

Hakuna timu makini yenye viongozi makini itamsajili mchezaji kama Faisal Salum

Faisal ni wa SIMBA huko yanga alienda kwa bahati mbaya
 
Kwakweli Feisal Toto anajiharibia career yake. Na ajue pia umri unaenda haurudi nyuma.
 
Kwakweli Feisal Toto anajiharibia career yake. Na ajue pia umri unaenda haurudi nyuma.
Ni kama dereva barabarani anaehama upande wa foleni inayoenda kuhamia upande wenye roleni isiyosogea.
Yaani anaiacha Yanga inayoshiriki mashindano ya kimataifa kujitangaza na kupata exposure ili kuhamia timu inayocheza manungu TU.
 
Hujazungumzia Fei kulishwa ugali na maji ya kunawa
Fundi ni Nabi sio Faisal. Hebu muamgalie Mudathir wa Sasa wa Yanga halafu mlinganishe na yule mudathir wa Azam, Sheikh ni mbingu na ardhi. Angekuwa hivi Azam wasingemtupia vilago,
 
Fei Toto anataka kuwaaminisha wachezaji WENZAKE wa ndani kuwa kama ukifunga magoli muhimu yanayoamua mechi baasi unastahili kuongezwa mshahara hapohapo ufanane na wachezaji wa nje ambao kwenye mechi hiyo hawakufunga bado.
 
Hujazungumzia Fei kulishwa ugali na maji ya kunawa
Kama kula ugali na maji ya kunawa ndio siri ya ule mpira wa Yanga na kuongoza ligi basi ni bora wachezaji wote wa Yanga wale [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kula ugali na maji ya kunawa ndio siri ya ule mpira wa Yanga na kuongoza ligi basi ni bora wachezaji wote wa Yanga wale [emoji23][emoji23][emoji23]
Na kama kula ugali na sukari ndio kunasababisha Fei apige mishuti yote ile ya mbali na kufunga magoli yale akiwa Yanga basi ugali na sukari ni chakula ambacho kilimpenda sana, asikiache. Kabla ya kuja Yanga Fei toto alikuwa kawaida sana, kama kweli alikuwa anakula ugali na sukari hadi kiwango chake kikapanda kiasi kile basi atakuwa mwehu kama ataacha kula ugali na sukari.
 
Ifikie wakati Fei toto atoke nyumbani kwa mama yake, ili akili ikomae. Huwezi kuwa mtoto wa kiume, halafu unaenda kumsimulia mama yako mpaka vitu vya kipuuzi, na vya uongo!

Eti alikuwa anakula ugali na sukari! ☹️
Yale mambo sidhani kama yule mama amesimuliwa au kuambiwa na Fei. Yale yamemtoka tu yeye mwenyewe na uropokaji wake 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom