Hakuna timu makini yenye viongozi makini itamsajili mchezaji kama Faisal Salum

Hakuna timu makini yenye viongozi makini itamsajili mchezaji kama Faisal Salum

Sasa timu makini,,yenye uongozi makini kwa hii nchi yetu,,, utaitoa wapi??
 
Hakuna mtu anamwekea kigingi, yanga inaendelea na ubeaten zake bila fei, huu ni ushahidi kuwa fei sio muhimu saana. Yanga inamzuia kutoka kiholela kwaajili ya kanuni na heshima.
Ndio maana ikaitwa team ina maana sio kwamba mchezaji mmoja akiumia au kuuzwa team itashuka daraja tumia akili japo kidogo kwenye hilo.
 
Ndio maana ikaitwa team ina maana sio kwamba mchezaji mmoja akiumia au kuuzwa team itashuka daraja tumia akili japo kidogo kwenye hilo.
Kaka acha hizo, zipo timu kama akiondoka mchezaji wao mmoja TU basi timu yote inadorora haipati matokeo.
 
Hivi PCCB na kitengo chao cha utakatishaji pesa hawana haja ya kufuatilia Feisal alipata wapi ile milion 100 kwa ghafla vile? Mtu anaelipwa milion 4 kwa mwezi anapata wapi milion 100 haraka namna ile ya kutaka kuvunja mkataba? Hii taasisi haina kitengo cha detectives? Kazi yao ni nini?
 
Hivi PCCB na kitengo chao cha utakatishaji pesa hawana haja ya kufuatilia Feisal alipata wapi ile milion 100 kwa ghafla vile? Mtu anaelipwa milion 4 kwa mwezi anapata wapi milion 100 haraka namna ile ya kutaka kuvunja mkataba? Hii taasisi haina kitengo cha detectives? Kazi yao ni nini?
Still anakula ugali sukari.
 
Ifikie wakati Fei toto atoke nyumbani kwa mama yake, ili akili ikomae. Huwezi kuwa mtoto wa kiume, halafu unaenda kumsimulia mama yako mpaka vitu vya kipuuzi, na vya uongo!

Eti alikuwa anakula ugali na sukari! ☹️
Teh teh teh teh.....na kusafiri na boda2.
 
Hivi PCCB na kitengo chao cha utakatishaji pesa hawana haja ya kufuatilia Feisal alipata wapi ile milion 100 kwa ghafla vile? Mtu anaelipwa milion 4 kwa mwezi anapata wapi milion 100 haraka namna ile ya kutaka kuvunja mkataba? Hii taasisi haina kitengo cha detectives? Kazi yao ni nini?
Haya ndiyo maswali TFF inatakiwa kumuuliza Faisal kabla ya kusikiliza kesi yake. Kwakuwa Faisal inaisumbua TFF bila sababu ya msingi kwa swala la uhamisho wa mchezaji kwa njia haramu. TFF wanafahamu kila kitu lakini wanajifanya hawajui. kwanini TFF isihangaike na chanzo cha tatizo badala yake wanahangaishwa na matokeo ya chanzo cha tatizo. Tutaona kama kweli TFF ina uwezo wa kuvunja mikataba ya wachezaji wanaopitia mlango huu haramu. Siku Kanoute nae akienda TFF kuomba kuvunja mkataba wake unilaterally TFF watapepesa macho? au watasema tulimruhusu Fei kwa majaribio tu lakini sasa basi haturuhusu kwa njia hii.
 
Unayoyasema ni sahihi kabisa,Fei ni mchezaj wa kawaida sana
Wakati akina Miquiso, Chama, Kisinda wananunuliwa na timu za Afrika kaskazini Feitoto alikuwepo pia. Kwanini hawakumtaka Feitoto kama ni mchezaji mzuri sana. Fei amejiharibia sana, alipaswa kuongeza juhudi zaidi chini ya Nabi ili ang'are zaidi kwenye mashinde haya ya caf ili apandishe kiwango na dau lake ndani na nje ya nchi.

Wazungu wana msemo unaosema "come easy go easy" wakimaanisha kuwa namna utakavyompata mfanyakazi wako ndio aina hiyohiyo atakayo ondoka kutoka kwako na kukuacha pia. Yaani kama mfanyakazi wako ulimpata kwa kumtoroka kwa mwajili wake wa zamani atakutoroka pia kwenda kwa mwajili mwingine. Kama mwanamke wako ulikutana nae bar ataondokea bar vilevile, na kama ulimpatia facebook ataondokea facebook pia. Kwa maana nyingine, ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, na muosha huoshwa.!!!!! Fei ameyumba dish, kwa tamaa kama hii anaweza hata kuuza mechi.
 
Tutamchukua Simba
Atakuja kuuza mechi apate pesa, haaminiki sasa hivi, mchukueni tu. Saido alikuwa anajizunguusha tu kwelie Geita ili kuficha ushahidi, lakini mimi nilijuwa kuwa alikuwa ametekenywa na Simba. Sasa yuko simba, mnamuonaje huko kwenye mechi za kimataifa? anakukurika tu uwanjani harmlessly.
 
Wakati akina Miquiso, Chama, Kisinda wananunuliwa na timu za Afrika kaskazini Feitoto alikuwepo pia. Kwanini hawakumtaka Feitoto kama ni mchezaji mzuri sana. Fei amejiharibia sana, alipaswa kuongeza juhudi zaidi chini ya Nabi ili ang'are zaidi kwenye mashinde haya ya caf ili apandishe kiwango na dau lake ndani na nje ya nchi.

Wazungu wana msemo unaosema "come easy go easy" wakimaanisha kuwa namna utakavyompata mfanyakazi wako ndio aina hiyohiyo atakayo ondoka kutoka kwako na kukuacha pia. Yaani kama mfanyakazi wako ulimpata kwa kumtoroka kwa mwajili wake wa zamani atakutoroka pia kwenda kwa mwajili mwingine. Kama mwanamke wako ulikutana nae bar ataondokea bar vilevile, na kama ulimpatia facebook ataondokea facebook pia. Kwa maana nyingine, ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, na muosha huoshwa.!!!!! Fei ameyumba dish, kwa tamaa kama hii anaweza hata kuuza mechi.
Kwanza kilichompaisha fei ni vile vigoli vyake vya kubahatisha na wala sio mchango wake katika timu

Basi kutokana na vile vigoli akajiona mkubwa mno,mpaka sasa pengo lake halijaonekana
 
Nabi kaja juzi tu acha upopoma feisal ilikuwa anakiwasha toka enzi za mwinyi zahera yanga mbovu alikuwa yeye na ajibu ndio wanaibeba team mwacheni dogo akatafute riziki sehemu nyingine mbona mnamuwekea kigingi.
Umbumbumbu unakusumbua si bure, inakuwa vipi hiyo YANGA FC mbovu ilikuwa inashika nafasi ya pili kimsimamo na Makolokolo wakiwa Mabingwa?

Au VPL ilikuwa ni overated quality in football leagues?
 
Umbumbumbu unakusumbua si bure, inakuwa vipi hiyo YANGA FC mbovu ilikuwa inashika nafasi ya pili kimsimamo na Makolokolo wakiwa Mabingwa?

Au VPL ilikuwa ni overated quality in football leagues?
Elewa mada kwanza askari wa zanzibar
 
Back
Top Bottom