Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ukijifunga unapewa goli la kufunga ?Na ndio hivyo saa 12.41jioni Morocco 3 Canada 0
Bado unasema hakuna timu ya afrika kufikanmtoano
Dan Zwangendaba likes thisMimi huwa naheshimu sana mchezo wa mpira wa miguu....una matokeo ya kushangaza sana.....Sasa hebu ona leo tunavyokuona hauna akili
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe ni miongoni mwa waliouelewa huu uzi. Timu za kiafrika zilianza Kombe hili kama mashindano ya bonanza. Baadaye wakajiongeza. Tunawaombea Morocco washinde hii game na Ghana kesho pia ashinde.Hindsight is 20/20
Lakini hizi timu zilivyoanza zingeendelea hivyo mleta uzi alikuwa na Hoja....
Tunisia ingeanza kwa bidii Mechi ya Kwanza na Cameroon wasingekuwa na mambo ya kipuuzi na Chuki Binafsi huenda tungekuwa na timu 5 kwenye hatua za mitoano
Huu ushuzi uliandikwa lini!!??Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya mtoano kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Ni hatari kwa afyaRamli chonganishi
Anafatilia matokea kupitia live score app, kuna wakati walijichanganya wakakandika Canada 0 - 3 Morocco ila wameshabadilishaKwamba ukijifunga unapewa goli la kufunga ?
Dan Zwangendaba liked thisHuu ushuzi uliandikwa lini!!??
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu ushuzi uliandikwa lini!!??
Moroco na Senegal ni bara gani?Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya mtoano kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Bado Ghana hapo kesho.Ghana
Morocco
*Senegal
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji867][emoji867][emoji867]Huyu MAMLUKII YUKO WAPNi dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya mtoano kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Hivi hukusema umekaa pale ee??Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya mtoano kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.