Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Bado umekaq hapo au umeshasepaKqma kuna Yoyote atakayeingia 16 bora niko pale nimekaa kwa luweka nne... mtanikuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado umekaq hapo au umeshasepaKqma kuna Yoyote atakayeingia 16 bora niko pale nimekaa kwa luweka nne... mtanikuta
Yupo mzungu wa Simba na wengine kibao pale singida big starsTatizo waafrika wenzetu WENYE VIPAJI wametusaliti na kuchezea ulaya na marekani... imagine Africa haina hata diaspora Mmoja mzungu anayekipiga Africa
Vipi bro, tuje?Kqma kuna Yoyote atakayeingia 16 bora niko pale nimekaa kwa luweka nne... mtanikuta
Hukuwa na fact ila wivu, choyo na roho mbaya. Aya, tumekuja hapo ulipokaa, rudia maneno yako tena.Kqma kuna Yoyote atakayeingia 16 bora niko pale nimekaa kwa luweka nne... mtanikuta
Sawa mchambuzi.Sidhani. Wana timu nzuri ya kuifunga timu yoyote lakini hawana uchezaji mzuri wa kimashindano ya Kombe la Dunia.
Safi sana, hatimaye imekuwa kama ulivyotabiri.Nina imani atashinda mkuu. Na ndo itakua timu ya kwanza ya Africa kutinga hatua ya mtoano.
Pia yupo Never Tigere wa IhefuYupo mzungu wa Simba na wengine kibao pale singida big stars
Hawajuu hao kina papa diop, henry camara, fadiga wakivokiwasha world cup 2002Alibisha Sana [emoji1787]...
Unajua Hawa watoto wa 2000's hawalijui vizuri historia ya Senegal kombe la dunia laiti wangejua enzi za kina Tony silver diofu waulize France watakuambia
Mchambuz uchwara[emoji38]
Dan Zwangendaba liked thisNimeshangaa sana! Vijana wengi hovyo kabisa. Siku hizi wanashangilia kutokana na walivyo bet! Stupid kabisa. Usidhani ushabiki wao unatumia vigezo vya mpira wa miguu.
Yaah mkuu limetiki, tiki kubwaKeka limetiki huko au vipi?
Usifananishe Ngamia na vitu vya kipumbavu.Oneni hii ngamia
Saudia je?Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya mtoano kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
AMINAAAANina imani atashinda mkuu. Na ndo itakua timu ya kwanza ya Africa kutinga hatua ya mtoano.