Morocco anatoboaKqma kuna Yoyote atakayeingia 16 bora niko pale nimekaa kwa luweka nne... mtanikuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morocco anatoboaKqma kuna Yoyote atakayeingia 16 bora niko pale nimekaa kwa luweka nne... mtanikuta
Morocco anakuja kukuaibisha mkuuNi dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Muache kukurupukaNi dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Ghana na Morocco wanatafuta namna ya kuweza kukuumbua mleta uzi.Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Ghana na Morocco wanatafuta namna ya kuweza kukuumbua mleta uzi.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Mbona hujaitaja Ghana?Lipo wazi Hilo Senegal kashinda Jana lakini itahitaji zaidi ya muujiza kumfunga Equador..muujiza
Tunisia baada ya kufungwa na timu dhaifu zaidi kwenye kundi lao, mwendo pia ameumaliza
Morocco hatobo, yupo kundi gumu Sana japo Ana point moja tayari
Ghana anahitaji draw na Uruguay ambayo ni 50/50Mbona hujaitaja Ghana?
Senegal ana nafasi ndogo sana ya kupita sababu anatakiwa kumfunga ecuadorMleta uzi alikurupuka, ona sasa anaumbuka. Aliandika uzi kwa hisia.
Ghana kamlamba mtu huko, yuko nafasi ya 2 na pont zake 3. Wanaomfata wana mojamoja.
Ana nafasi kubwa ya kupita.
Moroco, Ghana na Senegal wote wana 60℅ za kupita.. Tunisia byebye cameroon akaze makalio kupita sio rahisi kwake.
Nina imani atashinda mkuu. Na ndo itakua timu ya kwanza ya Africa kutinga hatua ya mtoano.Senegal ana nafasi ndogo sana ya kupita sababu anatakiwa kumfunga ecuador
Cameroon jana walikuwa wanapoteza mpira hadi wanakera. Hata ile draw walipata washukuru sana muumba wao.Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
shida ni moja tu kila mtu anataka kufungaTatizo kubwa sana linalolisumbua Africa ni kukosa wafungaji, Afrika haina kabisa strikers.
Unakuta wanatengeneza nafasi 6 na kwa nafasi zote hizo hamna goli hata moja wanafunga kwa hali hiyo ndio maana wataaga mashindano kwenye ngazi ya makundi.
Pia timu za Afrika hazina kitu kinachoitwa "concentration" jinsi muda unavyozidi kwenda ndio wanapoteza umakini. Afrika bado sana labda baada ya karne hii.
Kabisa yaani. Kama wanavyopoteza magoli leo SenegalCameroon jana walikuwa wanapoteza mpira hadi wanakera. Hata ile draw walipata washukuru sana muumba wao.
Shikamoo mkuuSenegal anapita.