Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Hii World Cup team zote za Africa zinascore goals tofauti na miaka iliyopita. Senegal ndani tayari. Ghana nae anaweza kupenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanacheza kifaza sana. Ecuador wako moto mno!!
Hii World Cup team zote za Africa zinascore goals tofauti na miala iliyopita. Senegal ndani tayari. Ghana nae anaweza kupenya
Ubarikiwe mkuu. Mungu akuzidishie. Masikini anawaza kushindwa hata kabla ya kuanza.Senegal anapita.
Unawafahamu Senegal 🇸🇳?Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Katinga ndani na UholanziSenegal kafika 16 bora?
Nikitaka kuiona Senegal nichukue ramani ya bara gani kati ya Asia, Ulaya, Amerika kaskazini na Amerika ya Kusini.Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
HongeraSenegal anapita.
Alibisha Sana [emoji1787]...Senegal anapita.
Senegal ana nafasi ndogo sana ya kupita ...Johnny fucin sack unasemaje?
ImetikiNina imani atashinda mkuu. Na ndo itakua timu ya kwanza ya Africa kutinga hatua ya mtoano.
Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.
Huu ni mwandiko wa Jemadari Said.Ni dhahiri kwamba hakuna timu ya Afrika itakayoweza kuingia hatua ya makundi kwenye michuano inayoendelea ya Kombe la Dunia. Si kwasababu hawana wachezaji wazuri, hapana. Ni kwasababu ya matatizo yaleyale ya miaka yote ya timu za Afrika.
1. Lack of seriousness (kutotilia maana I)
2. Lack of determination (kutojitambua wakiwa uwanjani)
3. Laziness (uvivu na kutojituma wakiwa uwanjani)
4. Lack of strategies ( kutokuwa na mkakati wa mechi).
5. No clear goals/objectives. Wanacheza haya mashindano kama mashindano ya ridhaa tu.
6. Kuridhika na kupweteka haraka.
Unaweza kuona ni mara chache wakiwa na mpira kuleta madhara lango la adui. Wanacheza back pass au pasi zisizo na mkakati wowote. Wanapoozesha Sana mpira pindipo wanapoupata. Wanashindwa kudeal na technic ikiwa pamoja na kushindwa kuwalazimisha marefa. Wanakosa nafasi nyingi za wazi ukilinganisha na timu kutoka mabara mengine.
Kwa muktadha huo, sioni nafasi ya timu za Afrika kujikwamua na madhaifu hayo kiasi kupata matokeo bora ya kusonga mbele.