Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Nasema tena mwanangu. Niheshimu. Ungejua kwangu mtu mwenye miaka 40 au 50 ni kichanga kama wewe. Laiti ungekutana nami, ungesema babu badala ya kujihadaa eti mie mjukuu wako kumbaff kabisa. Umeniudhi hadi nikatukani. Nyambaff kabisa chika adabu na adabu ikuchike.
🤣🤣🤣
Dah kweli haya Baba yangu na Babu yangu..Hongera sana babu Yangu..
Ingawa babu yangu alifariki mwaka 1975
 
Hujajibu swali langu Vipi Kwahyo roho mtakatifu Ni mbakaji?
Who knows? Kwani bila kufanya hiyo kitu huyo bi mkubwa angewezaje kujaa? Circumstantially, inawezekana hiyo ndivo ilivokuwa mwanangu. Huoni hata mapadri wanavyosifika kwa kubakabaka na kuzinizini. hadi wanakumbwa na kashfa dunia nzima. Hao ndiyo walioshiriki kuandika bibilia na kutulea neno lao. Je wanaaminika? Mbona wakati tunakolonishwa ndio waliotengeza njia kwa kutupeleleza na kuripoti kwa wakoloni?
 
Upumbavu?Hapa huyo Mwamposa & co wanaingiaje?
Upo serious kweli Mwamba
Haya Naomba niletee Rank za Divine Katika Spiritual Realm/God Kingdom
Kama unajua mkuu,
Mimi nitakuletea
Hapa hapa namna ya kufika higher consciousness na kua attach spiritual Enlightenment!

Nipo tayari kwa kujifunza kwako!
Sijui....hata yesu na mitume wote awajui kwa sababu huo ni upumbavu wa makanisani...kama yalivyo tabiriwa kuwa ni chukizo la uhalifu lililo simama patakatifu...hayo unayo yauliza ni upumbavu wa madhehebu ya dini ...neno madhehebu maana yake ni (MAHEKALU YA SHETANI IBILISI)..mfano yesu siyo msabato wala mkatoliki wala mlokole wala awezi kuwa kwenye madhehebu yoyote ...ni upumbavu upumbavu upumbavu upumbavu mtupu.
 
Torati na Ukristo wapi na wapi ndugu?

Wakati wa Musa Ukristo ulikuwepo? Ndiyo ulivyofundishwa Sunday School?
torati ni Sheria broo, Sheria walizopewa Wana wa Israel waishi nazo sasa nikuulizile labda wewe waisraeli walikuwa waislamu?
 
Who knows? Kwani bila kufanya hiyo kitu huyo bi mkubwa angewezaje kujaa? Circumstantially, inawezekana hiyo ndivo ilivokuwa mwanangu. Huoni hata mapadri wanavyosifika kwa kubakabaka na kuzinizini. hadi wanakumbwa na kashfa dunia nzima. Hao ndiyo walioshiriki kuandika bibilia na kutulea neno lao. Je wanaaminika? Mbona wakati tunakolonishwa ndio waliotengeza njia kwa kutupeleleza na kuripoti kwa wakoloni?
Sijui mjadala wenu umeanzia vipi ila nimeona kosa la kilogic kuhusu ubakaji ...mariamu anasema ...bwana nitendewe kama ulivyo sema...sasa ubakaji unatokeaje ikiwa mwanamke kalidhia ....wewe ukimfuata mwanamke ukamwambia unataka kumtomb^ kisha yeye akakujibu kuwa haya nitendee kama ulivyo sema hapo umembaka namna gani? ...au unaleta siasa za ccm za umri chini ya miaka 18 ?
 
Uislam unasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail kwaajili ya sadaka
Ukristo unasema Ibrahim alitaka kumchinja Isaka kwaajili ya sadaka
Nani yupo sahihi? Kwa rejea ipi?
Quran imekopi from bible
 
Uislam unasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail kwaajili ya sadaka
Ukristo unasema Ibrahim alitaka kumchinja Isaka kwaajili ya sadaka
Nani yupo sahihi? Kwa rejea ipi?
na cha ajabu sasa hakuna aliyechinjwa kati ya hao ila kondoo
 
Kuna nadharia nyinhi kuhusu uislam. Pia waumini wamedangantwa sana kwenye uislam, mpaka kuambiwa kuwa quran ilishushwa toka kwa Mungu, wakati ndani ya quran, imasema eti Mohmd alikutana na malaika Gibril, akamwambia aandike atakayomwambia, lakini Mohmd akamwambia kuwa hana kalamu. Halafu kumbukumbu nyingine ndani ya qurani Mohm anaeleza kuwa yeye hakuwahi kujua kuandika wala kusoma, ila alimwomba mtu mwingine aandike aliyokuwa ameambiwa!
Duniani kuna dini zaidi ya 10,000, japo watu wengi wanafuata ukristu, uislamu, ubudha na uyahudi. Dini karibu zote zina chimbuko katika tamaduni za jamii zinazoshikilia dini husika. Mfano ni ushinto, utao na uconfici zenye mizizi katika tamaduni za nchi za mashariki ya mbali. Waafrika kwa asili si wakristu wala waislamu bali kuwa kwetu ktk dini hizi kunatokana kutawaliwa na jamii zenye kufuata dini hizi (wazungu na waarabu). Yumkini tungelikuwa tumetawaliwa na wachina au wajapani, leo tungefuata dini ya kishinto au kitao. Moja ya adhari hasi zaidi za kutawaliwa kwa waafrika ni kutwezwa kwa utu na utamaduni wetu huku tukiona fahari kukumbatia tamahuni za waliotutawala. Na tunagombana juu ya imani za mabwana zetu!
 
Nimegundua Jf wengi hawana elimu kuhusu dini zao, sio wakristo wala waislamu, wengi wanakurupuka kwa mihemko na chuki dhidi ya waumini wa dini tofauti na zao.
 
Uislam ulianzishwa na dola ya Rumi ili kuupa Ukristo changamoto au upinzani. Uislam hautoki kwa Mungu, maandalizi ya dini ya shetani yalianzia huko na sasa shetani ka advance sana.

Iko hivi; baada ya wanafunzi wa Yesu kuuawa sana na dola ya Rumi, hasa mfalme wa wakati huo (cheo cha mfalme those days wao walikua wanaita Kaisari ) bwana Nero, aliona ni kama kadiri anavyo watisha kwa kuwaua ndio wanaongezeka zaidi, wahubiri wao wanaongezeka na kupata ujasiri zaidi, think tank ya dola la Rumi likaja na option ya kutengeneza dini nyingine ambayo itakua against na Ukristo. Muulize muislam yeyote hata anae anza kujifunza Uislam leo, atakwambia hivi, "miongoni mwa watu wa kwanza ku justify utume wa Mohammed ni padre wa Roman Catholic aliyekua anahudumu pale Makkah na Madina. Now why padre? It is because waasisi wa Uislam ni Vatcan
 
Sijui mjadala wenu umeanzia vipi ila nimeona kosa la kilogic kuhusu ubakaji ...mariamu anasema ...bwana nitendewe kama ulivyo sema...sasa ubakaji unatokeaje ikiwa mwanamke kalidhia ....wewe ukimfuata mwanamke ukamwambia unataka kumtomb^ kisha yeye akakujibu kuwa haya nitendee kama ulivyo sema hapo umembaka namna gani? ...au unaleta siasa za ccm za umri chini ya miaka 18 ?
🤣🤣🤣🤣
Dah vijana Mmeshindikana 🤣🤣🙌🙌🙌🙌
min -me njoo angalia Vijana wanavyo mpiga spana Mariam 🙌🙌
 
Nasema tena mwanangu. Niheshimu. Ungejua kwangu mtu mwenye miaka 40 au 50 ni kichanga kama wewe. Laiti ungekutana nami, ungesema babu badala ya kujihadaa eti mie mjukuu wako kumbaff kabisa. Umeniudhi hadi nikatukani. Nyambaff kabisa chika adabu na adabu ikuchike.

Duh sio kwa mikwara hii umechimba biti kali 🤣🤣 JF never boring
 
Back
Top Bottom