Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke

Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke

Sio sifa njema.
Ni kweli lakini mwanaume anataka kuona anapendwa sawa na anavyopenda
Mwitikio wa mwenzie. Response to the his woman will determine whether to take it to the further steps or to handle it accordingly
 
Kuna wadada ni washikaji sana na wako njema kiuchumi and everything, they just like company wa wana kuliko wadada wenzio, sababu kuu ikiwa ni drama za mabinti wenzao.

Nadhani nsikulaumu mtoa mada hapa bali nilaumu malezi yako, ila nachojua mimi urafiki wa mwanamke na mwanaume upo na hauna shida tena unakuaga so real kuliko udananda na drama za jinsia moja.
 
Kuna wadada ni washikaji sana na wako njema kiuchumi and everything, they just like company wa wana kuliko wadada wenzio, sababu kuu ikiwa ni drama za mabinti wenzao.

Nadhani nsikulaumu mtoa mada hapa bali nilaumu malezi yako, ila nachojua mimi urafiki wa mwanamke na mwanaume upo na hauna shida tena unakuaga so real kuliko udananda na drama za jinsia moja.

Umri wako tafadhali!
 
Hii dhana ya kwamba hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume sijui imetoka wapi

Mimi kama mwanaume anaona hawezi kuwa na urafiki wa kawaida na mimi apite kushoto

And this is why naonaga wanaume hawana umuhimu wowote kwenye maisha yangu

Kwa sababu sitegemei pesa ya mwanaume yeyote hivyo nami sina chochote cha kumpa
You have a serious psychological problem, you need serious treatment.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yangu mmoja ofisini alikuaga ana rafiki yake wa kike kila mahali wanajitanabaisha kwamba urafiki wao ni wa kawaida kabisa. Mi nikaona isiwe tabu nikatia timu kwa yule mamsi akanielewa, nikaanza kumega! Jamaa kuja kujua nashangaa kaninunia mazima hataki hata kuongea na mimi na urafiki wao ukaishia hapo.
Hao ndio 'machawa' wenyewe, na ulimkomesha ipasavyo. Kila demu mzuri wanataka kuwa karibu naye, 'f*ck them', ndiyo dawa yao hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliweke sawa hili.

Mimi nasema HAKUNA urafiki wa namna hiyo.

Ukisikia mwanamke anasema ana marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike, ujue kuna namna anawatumia hao wanaume. Ananufaika big time.

Na wanaume sio wajinga, katika huo urafiki hata ikiwa mwanamke ameolewa au ana bwan’ake ujue wapo pale kwa lengo maalumu.

Wako 'standby' wakisubiri fursa siku yoyote, ukitaka kuthibitisha hilo jifanye tu unatengeneza mazingira. Utajua upo mezani tayari!

Kwa upande mwingine, huyo huyo mwanamke anayejivunia marafiki wa kiume, kama ni 'my wako' jaribu kumwambia una marafiki wengi wa kike. Hawezi kukuamini, yaani utajua hujui.

My take:
Mwanamke anajipatia wanaume wengi wanaodhani ni marafiki, kwa ajili ya security na mizinga ya hapa na pale. Vitu ambavyo hawezi kupata kwa mwanamke mwenzake.

Mwanamme anakuwa na urafiki na mwanamke kama namna tu ya kujiweka karibu, deep down moyoni anameza mate na ku-hope ONE DAY YES!

Hebu sema na moyo wako, tupeane uzoefu hapa... kwa dhati kabisa una dhamira gani kwa hao unaowaita marafiki?
Kama hawa wameweza kuwa marafiki sembuse ME na KE [emoji3]
20210630_195126.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeniwahi,siku za karibuni nilitaka kuweka bandiko la namna hii hapa!

Ila nyie watu acheni tuu utamuona bidada ana heshima zake + marafiki wengi wa kiume kumbe anafahamu yupi wa kumgegeda,atakayemuoa,wa kupiga hela,wa kuuzia sura + kupiga nae story...sasa unajiuliza mbona huyu dada ana msururu mwingi wa wanaume???alafu ni mlokole mlokole.

Kumbe analiwa mdogo mdogo(Haswa vyuoni) hizi tabia ni Ngaa!

Unashangaa majitu yanasema huyu dada ana roho nzuri,huwa anazungumza na kila mtu kumbe hamna kitu.

Asikwambie mtu watu wenye focus wanapitia wakati mgumu sana!
Sijakuelewa, naomba iweke 'clear' statement yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi ataendelea kusubiri hiyo meli airport! Kwa sababu kitu kama hicho kwangu hakiwezi kutokea!

Mimi mwanaume kama alinianza kwa gia ya urafiki siku akinitongoza tu na urafiki unakufa hapo hapo! Na hii ndiyo sababu sina marafiki wa kiume!
Sorry, unataka mwanaume aanze kwa gear gani ili umkubali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatafuna yeye kwanza, akileta rafiki yake mzuri zaidi- nayeye unatafuna.

Ila hii story ya dem kuwa na marafiki wa kiume kwa dem wangu nitakaa kimya wakati namfukuzia,,, nikimpata nampiga marufuku. Story za alikuwa rafiki yangu tukajikuta tumefanya zimekuwa nyingi sana.

Ukizubaa tu umeisha, utakuta stori kwenye uzi pendwa wa kimasikhara.
 
Honestly I have one superlady friend of mine!
Tukikutana bar tunakula tunalewa then anaset connection za madem mm kazi yangu kupoint tu anaenda kumaliza mchongo kazi yangu inabakia kugegeda namkubali sana nikijichanganya kumgonga ataanza kuniletea mawivu halaf kaz itakua ngumu upande wangu
Unatumia muwa kama fimbo ya kupandia mlima, utaula tu brother.
 
Honestly I have one superlady friend of mine!
Tukikutana bar tunakula tunalewa then anaset connection za madem mm kazi yangu kupoint tu anaenda kumaliza mchongo kazi yangu inabakia kugegeda namkubali sana nikijichanganya kumgonga ataanza kuniletea mawivu halaf kaz itakua ngumu upande wangu
Mwanamme unashindwa kutongoza mwenyewe, wewe ni kijana ama mwanamme wa Dar? Unatia kichefu chefu mno.
 
Back
Top Bottom