Hakuna uume mdogo kwenye maumbile ya mwanamke aliejitunza lakini kwa mabinti wa sasa huo msemo umepitwa, wenye uume mdogo wanadhihakiwa sana

Hakuna uume mdogo kwenye maumbile ya mwanamke aliejitunza lakini kwa mabinti wa sasa huo msemo umepitwa, wenye uume mdogo wanadhihakiwa sana

Soma hapa kidogo mkuu
Screenshot_20221029-200707.jpg
 
Sasa mkuu msichana bikra utamlinganishaje na mwanamke aliyeisha zaa?Ila ukubwa /udogo wa uke ni maumbile tu ya mtu,kuna wasichana wameshazaa mala nyingi lakini uke wao bado ni mdogo,yaani hata mwenye uume mdogo bado unaingia kwa shida,lakini kuna wasichana wengine hawajawahi hata kupata mimba lakini mashimo yao ni hatari sana!!na huu utafiti nimetumia sample kubwa sana na ya muda mrefu kweli.na hasa nilichokiona wanawake wengi wanene sana wana uke mkubwa(mpana)kulinganisha na wale wembamba.Huo ni utafiti wangu.
Hapana mkuu kuna wanene asee labda upite uzi wa kushona nguo yani balaa...
 
Mwanamke anazaa mtoto kichwa kinapita na anarudi kwenye hali ya kawaida Nini uume
Kumbe mnazipenda hizi mada subirini wadada waje wawapopoe [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziiiii umechachuka vibayaaaa sku hizi, ntakubondaaaaa.
 
Leo nimedandia mtumbwi wa vibwengo 😩😩
 
Sasa mkuu msichana bikra utamlinganishaje na mwanamke aliyeisha zaa?Ila ukubwa /udogo wa uke ni maumbile tu ya mtu,kuna wasichana wameshazaa mala nyingi lakini uke wao bado ni mdogo,yaani hata mwenye uume mdogo bado unaingia kwa shida,lakini kuna wasichana wengine hawajawahi hata kupata mimba lakini mashimo yao ni hatari sana!!na huu utafiti nimetumia sample kubwa sana na ya muda mrefu kweli.na hasa nilichokiona wanawake wengi wanene sana wana uke mkubwa(mpana)kulinganisha na wale wembamba.Huo ni utafiti wangu.
Na kuna wembamba break goti [emoji3091]
 
Kila watu na maumbile Yao wapo wanawake wamezaa sana na wanatembeza k mnoo lakini Bado k zao ziko tyt. Ila pia wako wanaume ambao ni wembamba na Wana vibamia na wapo wanaume ambao ni wanene na Wana mituringa. Kwahyo maumbile tu ya watu sio kwamba kutumika sana au nini.

Ila vibamia vipo sana unakuta mtu dudu ikisimama ndo Iko kama kidole gumba cha mkono khaaa Sasa hata mwanamke bikra ndo ataridhika hapo jamani kweli
 
Hehehe..kujipa moyo siyo jinai.
Naendelea kusoma comments
 
Back
Top Bottom