Hakuna wa kunishawishi: Hayati Magufuli ni Rais bora wa awamu zote

Upo sahihi 6000%
NI KWELI ACHA NA TUFANYE % BILION 1
kwa nini ufanyiwe haya?
 
MPAKA SASA AWAMU YA SITA HAINA HATA MRADI MMOJA WALIO ANZISHA. WANAENDELEZA YA JPM!
 
Kinachosikitisha zaidi katika maelezo yako umemtaja na Yesu
 
Kinachosikitisha zaidi katika maelezo yako umemtaja na Yesu
Kuna watu wanasema Yesu alioa, sasa siwezi shangaa kusikia watu wanasema JPM alihonga, JPM aliiba, huwezi mzuia mtu kusema.
 
Una roho ngumu sana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…