Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
 
kwa kukuthibitishia tu ni kwamba, Mgongolwa ni wakili mzuri kuliko hao vijana kina kibatala. na kati ya wooote uliowataja hapo, marando tu ndio namkubali, wengine wote haman kitu.

kwa criminal hapa dsm, mgongolwa na Magafu ndio mawakili thabiti ambao hata kesi ya kina mbowe wangepewa wangeshinda. sema labda kwasababu huwa hawapendi mambo ya kisiasa, but kwa criminal wana uwezo na uzoefu mkubwa sana.

Mgongolwa pia amejiimarisha tangu zamani sana na kapiga sana hela za barrick, pesa anayo.
 
Foolish Alex Mgongolwa angekuwa ni Wakili bora na mahiri angeangushwa Kisheria na Kiutetezi na Wakili Msomi wa Kweli na Mchezaji wa Simba SC Raia wa Ghana Bernard Morrison? Hebu nitokee hapa nenda Kalale tupishe Great Thinkers tunoe IQ's zetu hapa sawa?
popoma unatisha watu ushubwada kachunge mbuzi kwenu
 
Wenye Akili Kubwa ( akina KEROZENE ) tulipoona tu haya Matukio makubwa Matatu 'automatically' tulijua Yanga SC pamoja na Jopo lao la Mawakili wa 'hovyo hovyo' walikuwa wanaenda Kufeli na hata Kuumbuka juu ya Rufaa yao dhidi ya Mchezaji Wakili Msomi kutoka Ghana Bernard Morrison...
Jiulize kitu hiki kwa makini,kama kesi hii ilikuwa ni straight forward kuwa huyo morrison ana haki,wangejibu mapema,lakini kwanini walikuwa wanaahirisha?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
kwa kukuthibitishia tu ni kwamba, Mgongolwa ni wakili mzuri kuliko hao vijana kina kibatala. na kati ya wooote uliowataja hapo, marando tu ndio namkubali, wengine wote haman kitu. kwa criminal hapa dsm, mgongolwa na Magafu ndio mawakili thabiti ambao hata kesi ya kina mbowe wangepewa wangeshinda. sema labda kwasababu huwa hawapendi mambo ya kisiasa, but kwa criminal wana uwezo na uzoefu mkubwa sana. mgongolwa pia amejiimarisha tangu zamani sana na kapiga sana hela za barrick, pesa anayo.
Ongea kwa takwimu tafadhali. Ameshinda kesi ngapi?
 
Kwaiyo kila wakili anaesimamia kesi imeandikwa ni lazima ashinde iyo kesi?

Ata uliowataja awajawai kushindwa kesi? Kesi ni sawa na matokeo ya mpira uwanjani kuna kushinda na kushindwa ivyo akuna anaekwenda mahakamani ili akashindwe kilichotokea akiwezi kumuondolea usmart mgongolwa wala akiwezi kumshushia heshima yake aliyoijenga miaka mingi kwa sisi tunaomuelewa, mambo ya kisheria yana njia zake sio siasa ile ya ushabiki maandazi uliyonayo wewe, endelea kupayuka humu jf ukichoka utakaa kimya
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa ( Mkuu wa Jopo la Mawakili ) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja ( tena Mwandamizi tu ) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu ( Intelligent ) hasa wapo Wengi ( lakini siyo Alex Mgongolwa ) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
ID nyingine ya GENTAMYCINE
 
kwa kukuthibitishia tu ni kwamba, Mgongolwa ni wakili mzuri kuliko hao vijana kina kibatala. na kati ya wooote uliowataja hapo, marando tu ndio namkubali, wengine wote haman kitu. kwa criminal hapa dsm, mgongolwa na Magafu ndio mawakili thabiti ambao hata kesi ya kina mbowe wangepewa wangeshinda. sema labda kwasababu huwa hawapendi mambo ya kisiasa, but kwa criminal wana uwezo na uzoefu mkubwa sana. mgongolwa pia amejiimarisha tangu zamani sana na kapiga sana hela za barrick, pesa anayo.
Nashangaa anamtaja kibatala Kama wakili mzuri wakati kibatala ni Media Lawyer,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Foolish Alex Mgongolwa angekuwa ni Wakili bora na mahiri angeangushwa Kisheria na Kiutetezi na Wakili Msomi wa Kweli na Mchezaji wa Simba SC Raia wa Ghana Bernard Morrison? Hebu nitokee hapa nenda Kalale tupishe Great Thinkers tunoe IQ's zetu hapa sawa?
Kila wakili ni mzuri kulingana na Angle yake, hakuna wakili ambae anashinda Kila kesi. Elewa TU kwamba mawakili hawalinganishwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye Akili Kubwa ( akina KEROZENE ) tulipoona tu haya Matukio makubwa Matatu 'automatically' tulijua Yanga SC pamoja na Jopo lao la Mawakili wa 'hovyo hovyo' walikuwa wanaenda Kufeli na hata Kuumbuka juu ya Rufaa yao dhidi ya Mchezaji Wakili Msomi kutoka Ghana Bernard Morrison.

Tukio #1.

Kitendo tu cha CAS kuomba review na ruling ya Kamati ya TFF iliyomhalalisha Mchezaji Bernard Morrison tayari ilishaonyesha kuwa bado walikuwa na Imani juu ya Kilichoamuliwa ila Mazuzu wa Jangwani wakajifanya Kukomaa ili Kuwafurahisha Mashabiki wao ambao bahati mbaya pia wengi wao ni Watupu Vichwani.

Tukio #2.

Kitendo tu cha CAF ambayo moja kwa moja inawajibika Kiujumla kwa FIFA ambayo nayo inashirikiana vyema Kisheria na CAS kuamua kutoa Kibali cha Mchezaji Bernard Morrison kuichezea Simba SC katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika lilikuwa ni Ishara tosha kuwa Mazuzu Yanga SC wamekula za Uso na hawana chao tena CAS.

Tukio #3.

Kitendo tu cha CAS Kuahirisha kutoa Hukumu ya Mchezaji Bernard Morrison zaidi ya mara Nne ( tofauti na ilivyozoeleka na ambavyo Mazuzu wengi wa Yanga SC walikuwa wakiamini ) ilikuwa ni Jibu 'mujarab' kuwa hiyo Rufaa imewakalia vibaya na uwezekano wa Kushindwa ( Kuanguka ) ni mkubwa kama ilivyojidhihirisha leo.

Mkiambiwa hamnazo msilibishie sawa?

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Unaendelea kuwapiga za uso Utopolo/Vyura FC. Na kweli watakukoma leo.😅
 
Back
Top Bottom