Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

kwa kukuthibitishia tu ni kwamba, Mgongolwa ni wakili mzuri kuliko hao vijana kina kibatala. na kati ya wooote uliowataja hapo, marando tu ndio namkubali, wengine wote haman kitu.

kwa criminal hapa dsm, mgongolwa na Magafu ndio mawakili thabiti ambao hata kesi ya kina mbowe wangepewa wangeshinda. sema labda kwasababu huwa hawapendi mambo ya kisiasa, but kwa criminal wana uwezo na uzoefu mkubwa sana.

Mgongolwa pia amejiimarisha tangu zamani sana na kapiga sana hela za barrick, pesa anayo.
Unamjua lamwai? Kesi ya mbowe angeshinda asubuhi tu
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Graduate wa SAUT, I tend to believe that whoever paid for your fee, he/she wasted her/his money.
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Bernad morrison mtoe hapo kwani kwa TZ, hatambuliki kama ni wakili msomi!!kwani kuwa wakili msomi kwenye nchi yoyote ile kuna utaratibu wake!!atakuwaje wakili msomi wakati hata hatambuliki TLS?!!
Kuna kesi nyingine hata uweke mawakili wakubwa duniani huwezi kushinda kamwe kutokana na ushahidi uliopo!!kwani kuna kesi ngapi mkulima tu anajisimamia, anapambana na jamaa mwenye wakili msomi lakini ana shinda kesi??hili sakata viongozi wa yanga walikuwa wanaufahamu ukweli, lakini walifanya vile ili kuwafurahisha mashabiki wao!!!kwani ni uhuni uliokuwa unafanywa na virabu hivi vikubwa kwa miaka mingi, sasa wamekutana na mtu anayejitambua, amewanyoosha!!
 
Kuna Mijitu ni Mipumbavu ( Mizuzu ) na sijui kwanini Covid-19 haikuondoka nanyi ili mtupunguzie Mzigo wa kuwepo na Watu kama Wewe ( nyie ) katika Jamii yetu.

Hivi kwa mfano hawa Mawakili Mahiri kwa sasa Tanzania akina Peter Kibatala na Jebra Kamboole isingekuwa ni Rekodi yao nzuri ya Kushinda idadi ya Kesi si tu Kubwa bali pia ni Ngumu Leo hii wangekuwa wanakimbiliwa na Wateja mpaka wengine wanalazimika kuwapa Mawakili wengine nao wapate Ulaji?

Yanga SC ina Mashabiki Mazuzu mno tu.
Kulikuwa na haja ya kunitolea lugha ya kuudhi katika kujenga hoja yako?
 
Foolish Alex Mgongolwa angekuwa ni Wakili bora na mahiri angeangushwa Kisheria na Kiutetezi na Wakili Msomi wa Kweli na Mchezaji wa Simba SC Raia wa Ghana Bernard Morrison? Hebu nitokee hapa nenda Kalale tupishe Great Thinkers tunoe IQ's zetu hapa sawa?
kwahiyo wakili akishindwa kesi basi anakuwa wakili sio mzuri? unajua kama wakili hata akijua kuwa kesi anaenda kushindwa huwa anaendelea kuwakilisha?
 
Ukite kitenge (mzee wa kibuyu)ana msifu Alex unaweza sema duniani hakuna wakili tena zaidi ya Alex [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Cc ,kitenge mzee wa kibuyuuu
 
Kuna Mijitu ni Mipumbavu ( Mizuzu ) na sijui kwanini Covid-19 haikuondoka nanyi ili mtupunguzie Mzigo wa kuwepo na Watu kama Wewe ( nyie ) katika Jamii yetu.

Hivi kwa mfano hawa Mawakili Mahiri kwa sasa Tanzania akina Peter Kibatala na Jebra Kamboole isingekuwa ni Rekodi yao nzuri ya Kushinda idadi ya Kesi si tu Kubwa bali pia ni Ngumu Leo hii wangekuwa wanakimbiliwa na Wateja mpaka wengine wanalazimika kuwapa Mawakili wengine nao wapate Ulaji?

Yanga SC ina Mashabiki Mazuzu mno tu.
Uto ni mbumbuu mzungu wa reliii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alex Mgongolwa ni Lawyer wa hovyo.
Haitakuja kutokea duniani loya kama huyuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].na uto walishawishiwa na yale makelele yake ya redioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Huyo No 5 mbona kila pingamizi anagalagazwa? Huyo hakuna kitu
 
[emoji2][emoji2][emoji2] Naomba niishie hapa, nilijua nawasiliana na mtu wa Tasnia ya Sheria kumbe KACHALA.

Jioni Njema Ndugu yangu [emoji120]
Kwahiyo nyie watalamu wa sheria mnajuana kwa ubora wa kushindwa kesi kibwena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Porojo za kwenye vyombo vya habari na vitendo mahakamani ni vitu tofauti. Hofu yawezekana hujawahi msikiliza Alex akiloloma redioni, tena awe anahojiwa na mwenziwe kitenge.

Achunge mdomo wake, ili kujiepusha na hizi aibu ndogo ndogoo.wakili mzima anajazwa upepo na utopolo nae anajaa mzima mzimaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom