Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

Kwahiyo nyie watalamu wa sheria mnajuana kwa ubora wa kushindwa kesi kibwena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Porojo za kwenye vyombo vya habari na vitendo mahakamani ni vitu tofauti. Hofu yawezekana hujawahi msikiliza Alex akiloloma redioni, tena awe anahojiwa na mwenziwe kitenge.

Achunge mdomo wake, ili kujiepusha na hizi aibu ndogo ndogoo.wakili mzima anajazwa upepo na utopolo nae anajaa mzima mzimaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi Alex nimekutana na ninakutana naye sana kwenye korido za Mahakama. Ni Sr kwangu na kuna kesi kibao tu alizo wakilisha wateja wake zimetengeneza precedent kwa sheria zetu.

Wewe unaye msikiliza redioni na kusikia kwa watu juu ya kesi alizoshinda na kushindwa sina neno nawe; mimi binafsi nimenufaika 'Kisheria' na uwepo wa Wakili Alex kwenye chombo cha utoaji HAKI kama Afisa wa Mahakama.

Wewe unayetafuta ushindi utadhani Mahakamani kuna Ligi endelee kukashifu taaluma za watu. Nimekutajia Prof GMF humjui halafu unataka niendelee jadili nawe ishu za Sheria? [emoji1787]
 
Mimi Alex nimekutana na ninakutana naye sana kwenye korido za Mahakama. Ni Sr kwangu na kuna kesi kibao tu alizo wakilisha wateja wake zimetengeneza precedent kwa sheria zetu.

Wewe unaye msikiliza redioni na kusikia kwa watu juu ya kesi alizoshinda na kushindwa sina neno nawe; mimi binafsi nimenufaika 'Kisheria' na uwepo wa Wakili Alex kwenye chombo cha utoaji HAKI kama Afisa wa Mahakama.

Wewe unayetafuta ushindi utadhani Mahakamani kuna Ligi endelee kukashifu taaluma za watu. Nimekutajia Prof GMF humjui halafu unataka niendelee jadili nawe ishu za Sheria? [emoji1787]
Kama mahakamani hakuna ushindani mnashinda huko kuatafuta mademu [emoji1787]?,au ndio mambo yale yale ilimradi mkono uende kinywani.utapeli
 
Mimi Alex nimekutana na ninakutana naye sana kwenye korido za Mahakama. Ni Sr kwangu na kuna kesi kibao tu alizo wakilisha wateja wake zimetengeneza precedent kwa sheria zetu.

Wewe unaye msikiliza redioni na kusikia kwa watu juu ya kesi alizoshinda na kushindwa sina neno nawe; mimi binafsi nimenufaika 'Kisheria' na uwepo wa Wakili Alex kwenye chombo cha utoaji HAKI kama Afisa wa Mahakama.

Wewe unayetafuta ushindi utadhani Mahakamani kuna Ligi endelee kukashifu taaluma za watu. Nimekutajia Prof GMF humjui halafu unataka niendelee jadili nawe ishu za Sheria? [emoji1787]
Hongera wewe anae kutana na Sr anae ropokaroka hovyo kwa kufuata mkumbo wa wasakatonge wa habari za michezo.
 
Kama mahakamani hakuna ushindani mnashinda huko kuatafuta mademu [emoji1787]?,au ndio mambo yale yale ilimradi mkono uende kinywani.utapeli
Mwaka 2011 wakati najiunga JF tulikuwa tuna jadili hoja, siyo viroja. Naomba radhi kwa kusumbuka nawe.
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Umehemkwa.....
 
Mwaka 2011 wakati najiunga JF tulikuwa tuna jadili hoja, siyo viroja. Naomba radhi kwa kusumbuka nawe.
Wakili msomi, polee sanaaa kwa kujichosha kuangalia profile yangu. Inaonekana umeumia sanaaaaa kuguswa Sr wako.

Maisha lazima yaendelee ndugu Wakili msomi sanaa,unaeshinda kwenye korido za mahakama.
 
Bongo kulikuwa na mawakili wazuri criminal lawyers wawili tu......
John Mwale na Loumu Ojare
 
Wakili msomi, polee sanaaa kwa kujichosha kuangalia profile yangu. Inaonekana umeumia sanaaaaa kuguswa Sr wako.

Maisha lazima yaendelee ndugu Wakili msomi sanaa,unaeshinda kwenye korido za mahakama.
Sijaguswa na Profile yako, nimeguswa na uwezo wa ujenzi wako wa HOJA.

Na nimepitia threads ulizoshiriki hapa JAMVINI na kusoma maandishi yako nimeishia JIPA POLE PIA [emoji120]
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Hawa cha mtoto wewe,
Wako wakina Murtaza Lakha, Shyam Jadeja.
Wengine watakaa.
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Acha uongo, Mzee Mkono amesimamia kesi gani hapa Tanzania na kushinda?
 
Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.

Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.

Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.

KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....

1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison

Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Umetoroka mirembe unatafutwa
 
Huyo ni Prof wa Sheria UDSM/Law school .
Shukrani, kuna porofesa mwenzake humu nimeuliza hivyo tuu,akajaa jazbaaa hatarii [emoji1787][emoji1787][emoji1787].kisa tuu kakake Alex kaguswa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwa kukuthibitishia tu ni kwamba, Mgongolwa ni wakili mzuri kuliko hao vijana kina kibatala. na kati ya wooote uliowataja hapo, marando tu ndio namkubali, wengine wote haman kitu.

kwa criminal hapa dsm, mgongolwa na Magafu ndio mawakili thabiti ambao hata kesi ya kina mbowe wangepewa wangeshinda. sema labda kwasababu huwa hawapendi mambo ya kisiasa, but kwa criminal wana uwezo na uzoefu mkubwa sana.

Mgongolwa pia amejiimarisha tangu zamani sana na kapiga sana hela za barrick, pesa anayo.
Watu mnakosea kufananisha fedha na taaluma wakili mzuri anapimwa Kwa kushinda case sio Kwa Fedha zake!!!...
 
Ubora wa Wakili una pimwa kwa kushinda kesi? [emoji2][emoji2][emoji2] aisee
Mkuu vingine ni vichekesho, mtu akijilia kande akashiba anaweza kuja hapa na kuzungumzia ubora wa mawakili, tena kutokana na vikesi vya kwenye media.
 
Back
Top Bottom