Unamjua lamwai? Kesi ya mbowe angeshinda asubuhi tukwa kukuthibitishia tu ni kwamba, Mgongolwa ni wakili mzuri kuliko hao vijana kina kibatala. na kati ya wooote uliowataja hapo, marando tu ndio namkubali, wengine wote haman kitu.
kwa criminal hapa dsm, mgongolwa na Magafu ndio mawakili thabiti ambao hata kesi ya kina mbowe wangepewa wangeshinda. sema labda kwasababu huwa hawapendi mambo ya kisiasa, but kwa criminal wana uwezo na uzoefu mkubwa sana.
Mgongolwa pia amejiimarisha tangu zamani sana na kapiga sana hela za barrick, pesa anayo.
Graduate wa SAUT, I tend to believe that whoever paid for your fee, he/she wasted her/his money.Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.
Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.
Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.
KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....
1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison
Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Sindo masumbuko lamwai mkuu? Ndo huyohuyo. Its sad. Nachofirahi tu alizilwa kijijini ijapokua alikataaga siku mingi coz alikua na ugomvi wa kidamilia.Dr. Lamwai naye ni marehemu Mkuu. R. I. P
Acha urofa gentaWanaokukaza pia huwa unawatambua?
Bernad morrison mtoe hapo kwani kwa TZ, hatambuliki kama ni wakili msomi!!kwani kuwa wakili msomi kwenye nchi yoyote ile kuna utaratibu wake!!atakuwaje wakili msomi wakati hata hatambuliki TLS?!!Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.
Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.
Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.
KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....
1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison
Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Kulikuwa na haja ya kunitolea lugha ya kuudhi katika kujenga hoja yako?Kuna Mijitu ni Mipumbavu ( Mizuzu ) na sijui kwanini Covid-19 haikuondoka nanyi ili mtupunguzie Mzigo wa kuwepo na Watu kama Wewe ( nyie ) katika Jamii yetu.
Hivi kwa mfano hawa Mawakili Mahiri kwa sasa Tanzania akina Peter Kibatala na Jebra Kamboole isingekuwa ni Rekodi yao nzuri ya Kushinda idadi ya Kesi si tu Kubwa bali pia ni Ngumu Leo hii wangekuwa wanakimbiliwa na Wateja mpaka wengine wanalazimika kuwapa Mawakili wengine nao wapate Ulaji?
Yanga SC ina Mashabiki Mazuzu mno tu.
kwahiyo wakili akishindwa kesi basi anakuwa wakili sio mzuri? unajua kama wakili hata akijua kuwa kesi anaenda kushindwa huwa anaendelea kuwakilisha?Foolish Alex Mgongolwa angekuwa ni Wakili bora na mahiri angeangushwa Kisheria na Kiutetezi na Wakili Msomi wa Kweli na Mchezaji wa Simba SC Raia wa Ghana Bernard Morrison? Hebu nitokee hapa nenda Kalale tupishe Great Thinkers tunoe IQ's zetu hapa sawa?
Hata iefemeeee ya mzeee wa kibuyuu kitenge.Alipewa Promo sana na KLAUZI EFEME.
Kumbe nini kigezo?.au kuropoka ropoka redioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ubora wa Wakili una pimwa kwa kushinda kesi? [emoji2][emoji2][emoji2] aisee
Uto ni mbumbuu mzungu wa reliii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Mijitu ni Mipumbavu ( Mizuzu ) na sijui kwanini Covid-19 haikuondoka nanyi ili mtupunguzie Mzigo wa kuwepo na Watu kama Wewe ( nyie ) katika Jamii yetu.
Hivi kwa mfano hawa Mawakili Mahiri kwa sasa Tanzania akina Peter Kibatala na Jebra Kamboole isingekuwa ni Rekodi yao nzuri ya Kushinda idadi ya Kesi si tu Kubwa bali pia ni Ngumu Leo hii wangekuwa wanakimbiliwa na Wateja mpaka wengine wanalazimika kuwapa Mawakili wengine nao wapate Ulaji?
Yanga SC ina Mashabiki Mazuzu mno tu.
Haitakuja kutokea duniani loya kama huyuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].na uto walishawishiwa na yale makelele yake ya redioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alex Mgongolwa ni Lawyer wa hovyo.
Huyo No 5 mbona kila pingamizi anagalagazwa? Huyo hakuna kituHakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua.
Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi alizoshinda Wakili wa hovyo hovyo Alex Mgongolwa ambapo alisema ameshinda Kesi 1 tu kati ya Kesi 133 alizowahi Kukabiliana nazo.
Nilijiuliza Maswali mengi sana pale niliposikia Yanga SC wakimtumia huyu katika Rufaa yao dhidi ya Kesi yao kwa Wakili Msomi wa Ghana Bernard Morrison na huku wakimpamba kila Kona na Yeye pia 'akijimwambafai' katika Vyombo vya Habari mbalimbali nchini Tanzania kuwa Yanga SC watashinda.
KEROZENE najua Tanzania Mawakili Wasomi na Werevu (Intelligent) hasa wapo Wengi (lakini siyo Alex Mgongolwa) ila Kwangu Mimi hawa Wafuatao ndiyo nawaheshimu na nawakubali japo kuna wengine wameshatangulia tayari mbele za Haki....
1. Mzee Nimrod Mkono
2. Masumbuko Lamwai
3. Marehemu Mzee Kapinga
4. Mabere Marando
5. Peter Kibatala
6. Jebra Kamboole
7. Bernard Morrison
Leo mtanikoma hakyanani mvumilie tu!!
Wakili Prof Gamalieli Mgongo Fimbo ameshinda kesi ngapi?Kumbe nini kigezo?.au kuropoka ropoka redioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio nani huyo?Wakili Prof Gamalieli Mgongo Fimbo ameshinda kesi ngapi?
[emoji2][emoji2][emoji2] Naomba niishie hapa, nilijua nawasiliana na mtu wa Tasnia ya Sheria kumbe KACHALA.Ndio nani huyo?
Kwahiyo nyie watalamu wa sheria mnajuana kwa ubora wa kushindwa kesi kibwena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].[emoji2][emoji2][emoji2] Naomba niishie hapa, nilijua nawasiliana na mtu wa Tasnia ya Sheria kumbe KACHALA.
Jioni Njema Ndugu yangu [emoji120]