Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Akili za kuelewa wanazo na wanaelewa vzuri nachokiona wanachezea watu akili
 
Kupata utajiri kichawi hakuhusianishwi na kuiba elf kumi elf 20 kama chumaulete.
 
Tuko pamoja...
Okay Demi

Sasa, kwa kile ulichosema wewe kwamba mtu anaenda kuua mtu ili afanikiwe ni mchawi, hilo sijakubariana na wewe anaeenda kufanya jambo baya kwa minajiri ya kuwadhulu watu wengine basi huyo kwa namna moja au nyingine ni mshirikina hata km wataambatana na mchawi pamoja kwenda kufanya hilo jambo kwa pamoja watakachokifanya hapo sio uchawi bali ni ushirikina,

Emu ngoja nikufafanulie kidogo,

Uchawi mweupe, huu uchawi ufanywa kwa lengo la nia njema au kuombea mazuri au kuhitaji outcomes nzuri/njema zikutokee wewe au zimtokee mtu mwingine kwa kutumia portions na muunganiko wa mimea tiba/mizizi/magome ya miti ukiamini kwamba kuna jambo jema litatokea kwa Imani yako ya kichawi, usisahau kwamba uchawi ni Imani,

Kwa hio mchawi hufanya hivyo kwa kuamini jambo jema litatokea, mfano umempenda mtu fulani (kimapenzi) kwa wachawi hufanya uchawi mweupe wa kumpata mtu kimapenzi kichawi kwa kutumia uchawi mweupe, ingawa pia wapo wanaotumia uchawi mweusi (dark magic) kufanikisha jambo lao,

Sasa uchawi mweusi ni upi?

Niambie kwanza mpaka hapo umenielewa? Nataka twende taratibu sana ili nisije nikakuacha
 
"Kitabu kitakatifu biblia kimeandika usimuache mchawi aishi "
 
Ona hili jinga
 
Unaeleweka.
Kabla hujaenda mbali...tayari nimeelewa tofauti ya mchawi na mshirikina. Kwamba mshirikina anapata uwezo kutoka kwa mchawi. Hii ina maana ya kuwa mchawi anayo nguvu kubwa kuliko mshirikina.
Hii nguvu ya mchawi, je haina uwezo wa kuchukua pesa zote pale BOT?
 
Hiyo bank haijengwi tu kama watu wanavyojenga mabanda ya kuku.
Lazima uchawi na kafara vichukue nafasi.
Kwamba wachawi wanaoshiriki kwenye ujenzi wa Bank hakuna mchawi yoyote anayeweza kuwazidi...

Au hao wenyewe inakuaje wasiweze tena kurudi kuiba hizo pesa kiuchawi?
Kwamba hizo kafara wanazozifanya hakuna mchawi mwingine anayeweza kuzitengua?
 
Na kwa nn ukomae na kuchukua pesa BOT kwa nn usiulize kwa nn wachawi hawawezi kuingia ikulu na kuiba lile faili la njano na kutokomea nalo milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…