Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Mjinga mueleweshe kumtoa ujinga. Ukimtukana na wewe unaonekana mjinga.Tatizo mnaandika ujinga mnakera
Mtu kama haamini uchawi maana yake hajawahi kuushuhudia...kosa lake liko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga mueleweshe kumtoa ujinga. Ukimtukana na wewe unaonekana mjinga.Tatizo mnaandika ujinga mnakera
Akili za kuelewa wanazo na wanaelewa vzuri nachokiona wanachezea watu akiliSawa saaasa kuhusu swala la insta haiibwi kwa kutumia uchawi wa kiimani ila ni uchawi wa technology,
Kwa hio nilikupa mfano wa kuibiwa a/c ya insta nikijaribu kukuonyesha jinsi inavyokua na matokeo yanavyokua linapokuja suala la uchawi,
Kuhusu kuiba bank haiwezekani kwa sababu, utajiri wa wachawi sio pesa hizi tunazozitumia mimi na wewe,
Ushaelewa au bado umekaza ubongo?
Kupata utajiri kichawi hakuhusianishwi na kuiba elf kumi elf 20 kama chumaulete.Kumbe unajua kueleza vizuri sasa ukaleta mambo ya technology ukachanganya mambo.
Unasemaje utajiri wa kichawi ni pesa ndogo elf 10, 20 wakati tunaonyeshwa matajiri ambao mnasema wanatumia uchawi?
Watu wanapata utajiri kichawi. Iweje useme utajiri wa kichawi ni wa pesa ndogo.
Sasa kama hajawahi kuushuhudia asiwaite wajinga wale waliiowahi ushuhudia na kuwa victims wa huo uchawiMjinga mueleweshe kumtoa ujinga. Ukimtukana na wewe unaonekana mjinga.
Mtu kama haamini uchawi maana yake hajawahi kuushuhudia...kosa lake liko wapi?
Ndo hao wachawi wenye uwezo mkubwa waende Bank wakaibe pesa kichawi. Kwanini wanashindwa.?Kupata utajiri kichawi hakuhusianishwi na kuiba elf kumi elf 20 kama chumaulete.
Okay DemiTuko pamoja...
Toeni hoja za kuthibitisha kuwa nyie mnaoamini sio wajinga.Sasa kama hajawahi kuushuhudia asiwaite wajinga wale waliiowahi ushuhudia na kuwa victims wa huo uchawi
Hiyo bank haijengwi tu kama watu wanavyojenga mabanda ya kuku.Ndo hao wachawi wenye uwezo mkubwa waende Bank wakaibe pesa kichawi. Kwanini wanashindwa.?
"Kitabu kitakatifu biblia kimeandika usimuache mchawi aishi "Kwa wale wanaoamini uchawi upo wajibu maswali haya
1: uchawi ni nini
2: Nani anaemiliki huo uchawi na anaumiliki kwa namna gani
3: anauhamisha vipi kutoka kwenye umiliki wake na kuutuma kwenda kumdhuru kiumbe mwingine na unaingia kwa huyu kiumbe mwingine kupitia njia zipi.
Wewe uishawahi kuhushuhudia au kuwa victim ?Sasa kama hajawahi kuushuhudia asiwaite wajinga wale waliiowahi ushuhudia na kuwa victims wa huo uchawi
Ona hili jingaKatika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Mkuu na wewe una amini kuna uhalisia wa mambo yanayoitwa uchawi ?Taja umri wako mkuu kabla hatujachangia
Unaeleweka.Okay Demi
Sasa, kwa kile ulichosema wewe kwamba mtu anaenda kuua mtu ili afanikiwe ni mchawi, hilo sijakubariana na wewe anaeenda kufanya jambo baya kwa minajiri ya kuwadhulu watu wengine basi huyo kwa namna moja au nyingine ni mshirikina hata km wataambatana na mchawi pamoja kwenda kufanya hilo jambo kwa pamoja watakachokifanya hapo sio uchawi bali ni ushirikina,
Emu ngoja nikufafanulie kidogo,
Uchawi mweupe, huu uchawi ufanywa kwa lengo la nia njema au kuombea mazuri au kuhitaji outcomes nzuri/njema zikutokee wewe au zimtokee mtu mwingine kwa kutumia portions na muunganiko wa mimea tiba/mizizi/magome ya miti ukiamini kwamba kuna jambo jema litatokea kwa Imani yako ya kichawi, usisahau kwamba uchawi ni Imani,
Kwa hio mchawi hufanya hivyo kwa kuamini jambo jema litatokea, mfano umempenda mtu fulani (kimapenzi) kwa wachawi hufanya uchawi mweupe wa kumpata mtu kimapenzi kichawi kwa kutumia uchawi mweupe, ingawa pia wapo wanaotumia uchawi mweusi (dark magic) kufanikisha jambo lao,
Sasa uchawi mweusi ni upi?
Niambie kwanza mpaka hapo umenielewa? Nataka twende taratibu sana ili nisije nikakuacha
Ninyi mmetoa ushahidi gani? Kunguru wa Zanzibar ninyiToeni hoja za kuthibitisha kuwa nyie mnaoamini sio wajinga.
Kwamba wachawi wanaoshiriki kwenye ujenzi wa Bank hakuna mchawi yoyote anayeweza kuwazidi...Hiyo bank haijengwi tu kama watu wanavyojenga mabanda ya kuku.
Lazima uchawi na kafara vichukue nafasi.
Mara kibaoWewe uishawahi kuhushuhudia au kuwa victim ?
Sasa kama bank wanajenga kwa uchawi na kafara kwanini wanaweka ulinzi na ma camera? Kwanini wasitumie uchawi kulinda mali zao?Hiyo bank haijengwi tu kama watu wanavyojenga mabanda ya kuku.
Lazima uchawi na kafara vichukue nafasi.
Na kwa nn ukomae na kuchukua pesa BOT kwa nn usiulize kwa nn wachawi hawawezi kuingia ikulu na kuiba lile faili la njano na kutokomea nalo mileleUnaeleweka.
Kabla hujaenda mbali...tayari nimeelewa tofauti ya mchawi na mshirikina. Kwamba mshirikina anapata uwezo kutoka kwa mchawi. Hii ina maana ya kuwa mchawi anayo nguvu kubwa kuliko mshirikina.
Hii nguvu ya mchawi, je haina uwezo wa kuchukua pesa zote pale BOT?