Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Subiri yakukute ndo utajua
 
Sasa yeye na wewe unayeamini kuwa radi huwa inataga mayai nani kichwa maji?
Acha upimbi nani amesema kuhusu hayo masuala ya radi onyesha nilisema kuhusu habari za radi, kumbe hapa najadiliana na bogus bila kujua, sawa endelea na ujinga wako stupid one,
 

Yani wewe ni mpuuzi kweli, hasa ulipoanza kutoa mifano yako ndo umeharibu kabisa
 
Acha upimbi nani amesema kuhusu hayo masuala ya radi onyesha nilisema kuhusu habari za radi, kumbe hapa najadiliana na bogus bila kujua, sawa endelea na ujinga wako stupid one,
Kama huamini kuwa radi ikipiga huwa inaacha yai halafu wachawi huja kulichukua na kuliangua kwaajili ya kudhuru watu, basi huamini uchawi.
 
Fuatili story za akina nimrodi wa babeli , akina farao wa misri, mwambie mchungaji wako akusimulie sisi wengine hatutoweza
Umeeleza vizuri sana, watu wengi wamekua wakiamini hiyo dhana ya uchawi kwa kuihusisha na vitabu vya Mungu.

Tukiangalia kwa upande wa dini kilichoanza kuwepo ni dunia na mazingira yake na viumbe wengine na kisha binadamu. Dhana hii ya uchawi ilikuja kwa mwanadamu wakati alipokosa majibu yanayotokana na mazingira aliyonayo kwahiyo fikra ya uchawi ndio ilianza kabla ya dini.

Dini zilipokuja zilikuta tayari wanadamu wana dhana hii ya kuamini hicho kinachoitwa uchawi ambacho kimsingi ni kukosa majibu ya yale unayoyaona katika mazingira yako, ndipo dini zikazungumzia hilo kwa maana ya kwamba watu wasiamini dhana hizo na badala yake wamuamini Mungu.

Hakuna dini iliyohalalisha uchawi kwamba upo na ufuatwe badala yake dini zinataka watu wasiamini na wasijihusishe na uchawi.

Kama nilivyoeleza hapo mwanzo uchawi ni dhana inayotokana na kukosa majibu ya yale unayopambana nayo katika maisha yako,kwa mfano, hupati ajira, timu yako inafungwa, kifo cha ghafla kwa mtu aliyekua mzima kabisa, umeona paka mweusi, hela zinapotea hovyo, umeona kuna mtu mbele yako ghafla akapotea, umeugua muda mrefu na huponi na hospitali hawaoni tatizo

Katika imani ya dini ukiona tukio lisilo na majibu unatakiwa uamini ni kwa uwezo wa Mungu, na wakati mwingine matukio mengi yana majibu ila huyaoni kwa sababu umeshiba imani ya uchawi.
 
Una orodha yao wote? Maana mchawi hajitangazi wala hajitambulishi.. By the way ni sawa na kusema wote wanaoenda hospital lazima wapone
Sina orodha lakini tungeshasikia hata hizo stories kuwa inawezekana lakini hazipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…