Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hili ndilo lililopo. Hata zile magic tricks usipoelewa utasema mwanamazingaraombwe anatumia uchawi.
 
Unaamini nyuki huwa wanatumwa na wachawi wakaume watu?
We Jamaa bange zimekuharibu hakika mtu mwenye akili zilizosimama hawezi akamezeshwa mentality km hizo for the matter of fact you're so useless shame on you, yaan unaanzisha uzi alafu unatoa ushahidi wa kipuuzi, unatuletea story za kusadikika hapa
 
Wewe sema hizo mentality umemezeshwa na watoto wenzio kwenye kijiwe chenu cha bange baaasi ueleweke, haujakua kijana bado una akili ndogo sana bange zinakuharibu
Unaamini kuwa unaweza kupata dhahabu kwa kutumia uchawi? Unaamini unaweza fanywa mgonjwa kichawi? una mawazo ya kitoto kama hayo?
 
Ukiona neno "uchawi" au "mchawi" katika biblia ujue tu haina maana ya huu uchawi na wachawi tunaoufahamu sisi huku sijui wa kuambiwa kuna watu wameruka na ungo, au chuma ulete au wa kugeuzana misukule nk.

Mkuu Fuatilia lugha za asili za biblia na tafsiri zake kuja lugha zetu izi utanielewa.
 
Una vituko wewe nawe, kwa hiyo mjadala hapa wao nini wanaweza na siyo kwamba wachawi wapo na wanafanya uchawi.

Kujibu swali lako wanaweza hata kukugeuza kuwa mwanamke.
Hapana mkuu. Mjadala ni kuamini uchawi unafanya kazi na unaamini mambo yanayodaiwa unafanya. Kama kutuma mamba, kutuma nyuki, kuleta magonjwa ya kuhara, kuingilia watu kimwili nk
 
Basi ndio maana hauamini kuhusu uchawi, siku ukipigwa tukio ndio utaanza kuamini kwa hio subiri kwanza upigwe tukio ingawa wachawi unawajua
Duh basi itakuwa maajabu ya dunia mtu kuibiwa Instagram account kwa uchawi huu wa kiswahili.
Hii nitabisha hadi mwisho..

Nikutajie account yangu ukawaambie wachawi waiibe.
 
Ingekuwa uwezekano huo upo sidhani kama wale wanaozamia Meli kwenda ulaya na nchi nyingine wangepata shida.
Maana lengo Lao ni kufika huko kwa njia yoyote ile.
Hawajataka tu kutumia njia hizo ni ghali sana kuliko njia za kawaida
 
Hebu nipe habari. Uchawi unaoamini wewe kama hautumi nyuki kudhuru watu unafanya kazi namna gani?
Wewe nani aliekuelezea hizo habari, yaan mnakaa huko kwenye vijiwe mnajazana ujinga alafu unaleta hapa ujinga wako alafu unaanza kusema wanaoamini ujinga wako ni wajinga na unatoa ushahidi wa kijinga, dude you're so bogus yaan umekosa ushahidi wa maana unaleta ushahidi wa kijinga km huo huo si utoto huo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…