Hasira ya nini badala ya kumfundisha? Hata mimi sijawahi kukutwa na uchawi wowote wala kuuona unadhani nitaamini?Sidhani kama wanamtukana naona watu wana hasira mtoto mdogo anajaribu kuleta ubishi kwenye mambo yaliyowakuta watu.
Mbon nmeshakueleza kila kitu mkuu au nimebakisha nini kingine,uchawi upo na utajiri wa wachawi sio pesa hizo elfu 10 elfu 5 tunazotumia mimi na wewe kwa hio wakiiba bank ni sawa na bure imani yao haiwaambii utajiri ni hayo makaratazi, nimekwambia uchawi ni imaani usikaze ubongoNa hapa tunazungumzia uchawi wetu huu wa kiafrika.
Nilikuelewa tangu mwanzo ndio maana nikakasema labda ni uchawi wa kizungu (technology) ndo unaweza kuiba account.
Turudi kwenye uchawi wetu huu tunaoujua sisi...Acha kuchanganya mambo.
Vizuri kabisa ila swala lililopo hapa ni_kwa lugha nyepesi "huwezi kukataa kitu usicho kijua na huwezi kukubali kitu usicho kijua" ishu ya hawa watu wengine "wanakataa wasivyo vijua na wanakubali wasivyo vijua" mpaka mtu anaenda kuokoka maana yake anakubali alikua dhambini hivyo anajikomboa, means anakataa anavyo vijua na anaenda kukubaliana na anavyo vijua, c dhani kama kuna mtu atakua anaenda kanisani huku ajui anachofuata au anaenda kanisani alafu ukimuuliza dhambi ninini akawa hajui dhambi ninini! Hivyo kwa dunia ya sasa kwa namna moja ama nyingine wengi ni waathirika wa matukio ya ulozi unaweza ukajua kua umedhurika pia unaweza usijue ila kua kuna mtu hajui kabisa kama kuna uchawi swala hilo na kataa! Binafsi sijawahi hudhuria ibada za kishetani yaani kwenda kwa mganga ama matambiko kulingana na mazingira niliyo kulia na malezi na nimesha pitia nyakati ngumu sana mpaka kufikia kutaka kushiriki ila nimeshwindwa, ila mbali na hyo yote naamini uchawi upo na kama usingekuwepo hivyo vilinge, nadharia za kichawi either muvi au story visinge kuwepo, unakutana na mtu anakuambia uchawi haupo alafu ni mlokole wakati humo humo kwenye biblia inamwambia " usimuache mwanamke mchawi akaishi " unaweza kuona huyu hata anacho kifuata huko kanisani hakijui zaidi ya kwenda ku socialize tuUmeeleza vizuri sana, watu wengi wamekua wakiamini hiyo dhana ya uchawi kwa kuihusisha na vitabu vya Mungu.
Tukiangalia kwa upande wa dini kilichoanza kuwepo ni dunia na mazingira yake na viumbe wengine na kisha binadamu. Dhana hii ya uchawi ilikuja kwa mwanadamu wakati alipokosa majibu yanayotokana na mazingira aliyonayo kwahiyo fikra ya uchawi ndio ilianza kabla ya dini.
Dini zilipokuja zilikuta tayari wanadamu wana dhana hii ya kuamini hicho kinachoitwa uchawi ambacho kimsingi ni kukosa majibu ya yale unayoyaona katika mazingira yako, ndipo dini zikazungumzia hilo kwa maana ya kwamba watu wasiamini dhana hizo na badala yake wamuamini Mungu.
Hakuna dini iliyohalalisha uchawi kwamba upo na ufuatwe badala yake dini zinataka watu wasiamini na wasijihusishe na uchawi.
Kama nilivyoeleza hapo mwanzo uchawi ni dhana inayotokana na kukosa majibu ya yale unayopambana nayo katika maisha yako,kwa mfano, hupati ajira, timu yako inafungwa, kifo cha ghafla kwa mtu aliyekua mzima kabisa, umeona paka mweusi, hela zinapotea hovyo, umeona kuna mtu mbele yako ghafla akapotea, umeugua muda mrefu na huponi na hospitali hawaoni tatizo
Katika imani ya dini ukiona tukio lisilo na majibu unatakiwa uamini ni kwa uwezo wa Mungu, na wakati mwingine matukio mengi yana majibu ila huyaoni kwa sababu umeshiba imani ya uchawi.
Ni jambo la kufurahia na kuombea liwe hivyo maisha yote usisahau kinga ni bora kuliko tibaHasira ya nini badala ya kumfundisha? Hata mimi sijawahi kukutwa na uchawi wowote wala kuuona unadhani nitaamini?
Nitabisha tu maana sijawahi kuona kitu chochote cha kichawi kwenye maisha yangu.
Bangi hua hazimfanyi hivyo mtu mhoji vizuri unaweza kuta kesha chawiwa alafu hajuiWewe sema hizo mentality umemezeshwa na watoto wenzio kwenye kijiwe chenu cha bange baaasi ueleweke, haujakua kijana bado una akili ndogo sana bange zinakuharibu
Kumbe unajua kueleza vizuri sasa ukaleta mambo ya technology ukachanganya mambo.Mbon nmeshakueleza kila kitu mkuu au nimebakisha nini kingine,uchawi upo na utajiri wa wachawi sio pesa hizo elfu 10 elfu 5 tunazotumia mimi na wewe kwa hio wakiiba bank ni sawa na bure imani yao haiwaambii utajiri ni hayo makaratazi, nimekwambia uchawi ni imaani usikaze ubongo
Bado haujaelwa au bado ubongo umekakamaa?
Huyu nadhani hajawahi kurogwa mkuu siku akirogwa ndo atajua Nini maana ya uroziUnajua hata kutojua maama ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu
Haiwezi kua bure pia si kila mtu anaweza kumudu hizo gharama hata uwe billionare na ndio maana hua hawaendi kuiba pesa bankGhali kivipi? Tudiscuss gharama zake
Haa MkuuUnajua hata kutojua maama ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu
Kinga ni zipi mkuu?Ni jambo la kufurahia na kuombea liwe hivyo maisha yote usisahau kinga ni bora kuliko tiba
😅😁😃😀😂😄😆Hata mimi nilikuwa kama wewe ila kwa yaliyonikuta na nikisoma hili bandiko lako hapa nakuona kama lizezeta flani hivi.
Subil ukue w bado sanaKatika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Huyo mtamu anajua halafu hasemi!!!?Fafanua hapahapa usijali
We umekuwa ndiyo ukaamini kuna wachawi wanatuma nyuki kuuma watu?Subil ukue w bado sana
Una moyo sana yani teeete! Teeete! Teeete! Uyooo! Mpaka atembee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa saaasa kuhusu swala la insta haiibwi kwa kutumia uchawi wa kiimani ila ni uchawi wa technology,
Kwa hio nilikupa mfano wa kuibiwa a/c ya insta nikijaribu kukuonyesha jinsi inavyokua na matokeo yanavyokua linapokuja suala la uchawi,
Kuhusu kuiba bank haiwezekani kwa sababu, utajiri wa wachawi sio pesa hizi tunazozitumia mimi na wewe,
Ushaelewa au bado umekaza ubongo?
Wamekusikia maana kuna mijitu hata tomaso alikua na nafuuMimi ni MKRISTO, tena ni MKRISTO KWELI KWELI (sijisifu hata kidogo) lakini sio tu kwamba naamini uchawi upo bali nafahamu kwa dhati kabisa kuwa "uchawi" upo na unafanya kazi!
Wewe usiyeamini kuwa uchawi upo basi wewe ndio mjinga wa mwisho hapa duniani.
Hakuna uchawi wa kizungu wala wa kikwetu uchawi ni uchawi tu shida ipo kwenye matumizi wenzetu wana u'transform nakua useful sisi tunaufanya unakua destractive hilo neno tech lisikuzuzueNa hapa tunazungumzia uchawi wetu huu wa kiafrika.
Nilikuelewa tangu mwanzo ndio maana nikakasema labda ni uchawi wa kizungu (technology) ndo unaweza kuiba account.
Turudi kwenye uchawi wetu huu tunaoujua sisi...Acha kuchanganya mambo.
Bado umekaza ubongo DemiKumbe unajua kueleza vizuri sasa ukaleta mambo ya technology ukachanganya mambo.
Unasemaje utajiri wa kichawi ni pesa ndogo elf 10, 20 wakati tunaonyeshwa matajiri ambao mnasema wanatumia uchawi?
Watu wanapata utajiri kichawi. Iweje useme utajiri wa kichawi ni wa pesa ndogo.
Kuwa mkristo hakukufanyi usiwe mjinga wa kuamini habari za wachawi kurushia watu magonjwa au majini kujificha chooni.Mimi ni MKRISTO, tena ni MKRISTO KWELI KWELI (sijisifu hata kidogo) lakini sio tu kwamba naamini uchawi upo bali nafahamu kwa dhati kabisa kuwa "uchawi" upo na unafanya kazi!
Wewe usiyeamini kuwa uchawi upo basi wewe ndio mjinga wa mwisho hapa duniani.