Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hatuna ushahidi maana hatujawahi kushihudia uchawi. Ni jukumu lenu nyie mnao amini kutushawishi kuwa uchawi upo na unafanya kaziNinyi mmetoa ushahidi gani? Kunguru wa Zanzibar ninyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna ushahidi maana hatujawahi kushihudia uchawi. Ni jukumu lenu nyie mnao amini kutushawishi kuwa uchawi upo na unafanya kaziNinyi mmetoa ushahidi gani? Kunguru wa Zanzibar ninyi
Eleza hapa matukio hayo, maana kuna matukio mengi tu ya kijanja janja na trick ambayo ni yanayoelezeka na kujibika kisayansi lakini tumeshupaza shingo na kuaminisha watu kuwa ni uchawiMara kibao
Nimeshakwambia Demi wachawi utajiri wao sio haya makaratazi ya BOT, tena kwao wao haya inaweza ikawa wanaona km takataka tu kwao huu sio utajiri kwao, nnapozungumzia imani nazungumzia ulimwengu wa ROHO sio ulimwengu wa MWILI,Unaeleweka.
Kabla hujaenda mbali...tayari nimeelewa tofauti ya mchawi na mshirikina. Kwamba mshirikina anapata uwezo kutoka kwa mchawi. Hii ina maana ya kuwa mchawi anayo nguvu kubwa kuliko mshirikina.
Hii nguvu ya mchawi, je haina uwezo wa kuchukua pesa zote pale BOT?
Sijui kuhusu hilo file la njano ikulu. Unaweza ukawahoji walete majibu.Na kwa nn ukomae na kuchukua pesa BOT kwa nn usiulize kwa nn wachawi hawawezi kuingia ikulu na kuiba lile faili la njano na kutokomea nalo milele
Uwezi ingia bank kuiba pesa kwa sabb imezindikwa kichawi kama unaweza ingia na mitutu kaibeSijui kuhusu hilo file la njano ikulu. Unaweza ukawahoji walete majibu.
Mimi nakomaa na pesa maana nazihitaji...wakinishawishi inawezekana najiunga nao
Ngoja wenyewe wajeKatika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Leta jina lako na la baba na babu halafu useme uko wapi uone kama hakuna uchawiMaarifa yanayofundisha kuwa magonjwa yanatokana na kurogwa ni maarifa ya kijinga. Au uchawi haufundishi kuwa magonjwa yanatokana na kurogwa na kuwa unaweza kuvuta pesa kwa uchawi?
Ina maana hakuna uchawi wa juu zaidi kutengua hayo mazindiko?Uwezi ingia bank kuiba pesa kwa sabb imezindikwa kichawi kama unaweza ingia na mitutu kaibe
Wewe hujakomaa kwenye ujinga na uchawi. Wenzako wanageuka hata panya na kuingia ndani ya nyumbaWanyama haw sio wachaw waliojigeuzaa balii wachawi hupend kuwatumia wanyama hawa kwenye shughuli zao
wengi hawafahamu kuwa nao ni wachawiKwenye hii Mada wachawi watamaindi Sana na wale waganga uchwara Note that wale wote wanaopenda kuamini uchawi na uganga ni wachawi vile vile tu
Kama mchawi kweli tambua hayo majina na nilikoLeta jina lako na la baba na babu halafu useme uko wapi uone kama hakuna uchawi
Kuna watu wanaona vibibi na washika matunguli n wachawi ukiwa unaamin uchawi na kuufata nawew n mchawi tuwengi hawafahamu kuwa nao ni wachawi
Mbona unaogopa SasaKama mchawi kweli tambua hayo majina na niliko
Uchawi una miiko yakeIna maana hakuna uchawi wa juu zaidi kutengua hayo mazindiko?
Kwamba sehemu ikizindikwa hakuna mchawi mwingine mwenye uwezo wa kutengua?
Sawa mkuuUchawi una miiko yake
Lakini pamoja na yote haya uliyoyaandika haimaanishi kwamba uchawi haupo.Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Na wewe unaamini mtu anaweza kukuibia pesa kwa ushirikina?
Kutoamini uchawi haifanyi usiwepo kama upo kweli.Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Wajinga ni wengi sana.Lakini pamoja na yote haya uliyoyaandika haimaanishi kwamba uchawi haupo.
Siku ukiingia kwenye 18 zao ndo utajua hujui.