Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Kabisa,japo upo
 
Weka majina yako watu wakuoneshe demo ,Kama hujawahi kukutwa na Jambo Kaa kmya,sisi wengine yametukuta ,Ni watu wapuuzi tuu ndio wanajaribu kupuuza juu ya uwepo wa Mungu na ulimwengu wa rohoni
Kama kweli we mchawi basi utatambua majina yangu na nilipo, siyo mpaka nikutajie.
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.

2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.

3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.

4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.

5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.

6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.

7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.

8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.

9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.

10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.

11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Hakuna watu wajinga kama wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya. Hao wanaoamini uchawi hawawakuti hawa wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.

2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.

3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.

4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.

5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.

6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.

7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.

8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.

9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.

10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.

11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Hili ni tukio lililotokea jana tu, tarehe 06 Nov 2022 huko Kenya





ambiele kiviele Mshana Jr, ukikaidi utapigwa2,
 
Halafu Mimi kubishana na mpuuzi anayejifanya anajua sana, kumbe hana alijualo na bado anakuwa mbishi, huwa sipendi na Mara nyingi naishia kumpuuza.

Labda nijaribu kumfanya mleta mada ajitafakari upya yeye na uzi wake kwa kumuuliza maswali machache:

1.Iliripotiwa kule Rukwa mwanzoni mwa mwaka huu,mgonjwa mmoja aliyepelekwa hospitali ya mkoa akisumbuliwa na tumbo.Alipofanyiwa upasuaji alikutwa na bisibisi,wembe,nywele na vifaa kadhaa vya kielekroniki (kumbuka:Mganga Mkuu alithibitisha jambo hilo,kama huamini ingia mtandaoni).We msomi mzamifu unaweza kutuambia vile vitu viliingiaje tumboni mwa mgonjwa yule na kumfanya Mganga Mkuu akose majibu?

2.Kuna akina mama wajawazito wamekuwa wanajifungua kuku au kuishia kutoa moshi tu during delivery, ilhali walihudhuria clinic miezi yote na waliambiwa watoto walikuwa wanaendelea vizuri tumboni. Tuseme ni matokeo ya mutation? Labda matako ya mutation.

3.Pale Iringa kuna kaburi (jina la aliyezikwa mle nimelisahau,ila alikuwa mganga maarufu Iringa)limegoma kupisha ujenzi wa barabara.Greda zilizojaribu kulifukua/kulihamisha ziliishia kuharibika zote na madereva wake kufa ghafla au kujeruhiwa na kundi la nyuki.Ikabidi Tanroads wasalimu amri kwa kuipindisha barabara kando ya kaburi. Tanroads walishindwa wewe mleta mada na sayansi/teknolojia yako uchwara ungeweza?

Kisa kama hicho kilitokea Mwanza miaka ya nyuma.Bibi Nyau aligoma kuhamishwa ili kupisha ujenzi wa barabara iliyokuwa inaelekea Bugando Refferal Hospital.Utaalamu wote wa kuibomoa ulifeli vibaya,Mwl.Nyerere alijulishwa na katika moja ya ziara zake mkoani Mwanza alimtembelea 'Bibi Nyau' kumbembeleza akubali kupisha ujenzi,bado bibi akatia ngumu. Nyerere akawa mpole akaagiza barabàra impishe (ipindishwe kumkwepa) bibi. Tunajua Nyerere alikuwa anakuzidi vitu vingi: maarifa,exposure na mamlaka.Unasemaje kuhusu jambo hilo kwa mujibu wa usomi wako?
 
Halafu Mimi kubishana na mpuuzi anayejifanya anajua sana, kumbe hana alijualo na bado anakuwa mbishi, huwa sipendi na Mara nyingi naishia kumpuuza.

Labda nijaribu kumfanya mleta mada ajitafakari upya yeye na uzi wake kwa kumuuliza maswali machache:

1.Iliripotiwa kule Rukwa mwanzoni mwa mwaka huu,mgonjwa mmoja aliyepelekwa hospitali ya mkoa akisumbuliwa na tumbo.Alipofanyiwa upasuaji alikutwa na bisibisi,wembe,nywele na vifaa kadhaa vya kielekroniki (kumbuka:Mganga Mkuu alithibitisha jambo hilo,kama huamini ingia mtandaoni).We msomi mzamifu unaweza kutuambia vile vitu viliingiaje tumboni mwa mgonjwa yule na kumfanya Mganga Mkuu akose majibu?

2.Kuna akina mama wajawazito wamekuwa wanajifungua kuku au kuishia kutoa moshi tu during delivery, ilhali walihudhuria clinic miezi yote na waliambiwa watoto walikuwa wanaendelea vizuri tumboni. Tuseme ni matokeo ya mutation? Labda matako ya mutation.

3.Pale Iringa kuna kaburi (jina la aliyezikwa mle nimelisahau,ila alikuwa mganga maarufu Iringa)limegoma kupisha ujenzi wa barabara.Greda zilizojaribu kulifukua/kulihamisha ziliishia kuharibika zote na madereva wake kufa ghafla au kujeruhiwa na kundi la nyuki.Ikabidi Tanroads wasalimu amri kwa kuipindisha barabara kando ya kaburi. Tanroads walishindwa wewe mleta mada na sayansi/teknolojia yako uchwara ungeweza?

Kisa kama hicho kilitokea Mwanza miaka ya nyuma.Bibi Nyau aligoma kuhamishwa ili kupisha ujenzi wa barabara iliyokuwa inaelekea Bugando Refferal Hospital.Utaalamu wote wa kuibomoa ulifeli vibaya,Mwl.Nyerere alijulishwa na katika moja ya ziara zake mkoani Mwanza alimtembelea 'Bibi Nyau' kumbembeleza akubali kupisha ujenzi,bado bibi akatia ngumu. Nyerere akawa mpole akaagiza barabàra impishe (ipindishwe kumkwepa) bibi. Tunajua Nyerere alikuwa anakuzidi vitu vingi: maarifa,exposure na mamlaka.Unasemaje kuhusu jambo hilo kwa mujibu wa usomi wako?
Unaamini hizo habari zilitokea kweli? Unatia huruma sana. Kwa hiyo na habari ya Rukwa mwewe kubeba ng'ombe hewani na kumtafuna uliamini? Acha ujinga.
 
U
Unaamini hizo habari zilitokea kweli? Unatia huruma sana. Kwa hiyo na habari ya Rukwa mwewe kubeba ng'ombe hewani na kumtafuna uliamini? Acha ujinga.
Ujinga hata mama yako na baba yako wanao, sasa mimi nauachaje?

By the way,Mhe.Mizengo Pinda mwenyewe alishakiri kule kwao radi (kwa ajili ya kumtumia mbaya wako) inauzwa openly kwa bei chee, Mimi ni nani nipinge?

Wenzako UDSM wameamua kuyafanyia utafiti mambo hayo, ila wewe unakuja kuharisha hapa bila utafiti wowote.
 
U

Ujinga hata mama yako na baba yako wanao, sasa mimi nauachaje?

By the way,Mhe.Mizengo Pinda mwenyewe alishakiri kule kwao radi (kwa ajili ya kumtumia mbaya wako) inauzwa openly kwa bei chee, Mimi ni nani nipinge?

Wenzako UDSM wameamua kuyafanyia utafiti mambo hayo, ila wewe unakuja kuharisha hapa bila utafiti wowote.
Yaani sababu kasema Pinda?!!!
 
Back
Top Bottom