Hakuna watu waoga dunia hii kama waarabu na jamii zao

Hakuna watu waoga dunia hii kama waarabu na jamii zao

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.

Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.

Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.

Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.

Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.

Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.

Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,

Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.

Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.

Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
 
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.
Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.
Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.
Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.
Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.
Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.
Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,
Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.
Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.
Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
Kinyesi…
 
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.
Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.
Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.
Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.
Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.
Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.
Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,
Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.
Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.
Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
Washatimba wakikuvaa kwa matusi, kejeli na dhihaka chungunzima kuwa wewe ni Kafiri isipokuwa hao hao ukiwasifia tu basi watakuombea kibali cha kupata bikra 72 na mito ya pombe ya chang'aa huko peponi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwa namna moja au nyingine mitandao ya kijamii imewapa ufahamu na kuwapunguzia Waarabu wengi huu ujuha sababu siku hizi rate ya kujitoa Mhanga imepungua sana tena sana,ingekuwa kipindi kile na hiki kinachoendelea huko ungekuta mpaka muda huu watu wengi washajivisha mabomu kuanzia wanawake watoto mpaka wazee lakini siku hizi ni kama wamewaachia Hamas wapambane na hali yao.
 
Kwahiyo walitakiwa kuvunja matofali kama JWTZ? Maana vita zenyewe za siku hizi tunasifiana aina za silaha tu na sio uwezo wa kupambana katika uwanja wa vita ardhini, wenye kusifika kwa silaha kali unakuta ndio waoga kuingiza majeshi yao katika uwanja wa vita wanahofia wanajeshi wao kufariki.
 
Kwahiyo walitakiwa kuvunja matofali kama JWTZ? Maana vita zenyewe za siku hizi tunasifiana aina za silaha tu na sio uwezo wa kupambana katika uwanja wa vita ardhini, wenye kusifika kwa silaha kali unakuta ndio waoga kuingiza majeshi yao katika uwanja wa vita wanahofia wanajeshi wao kufariki.

Atakayeshinda vita ndiye anayejua kupigana.
 
Waarab ndio jamii ambayo itapgana haijalishi wewe una mabomu na bunduki halafu wao mawe. As long as wanahisi wanaonewa watapogana maisha yao yote huwezi kukaa ukasema nina amani maana muda wowote wanalianzisha. Si waoga hao. Sisi waafrika ndio waoga
 
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.

Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.

Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.

Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.

Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.

Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.

Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,

Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.

Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.

Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
Naona waarabu weusi wa makunduchi, kwa mpalange, mwembe kiuno, dole washaanza kukutukana pole sana mtibeli wavumilie hawa ndivyo walivyo wana mapungufu mengi
 
Waarab ndio jamii ambayo itapgana haijalishi wewe una mabomu na bunduki halafu wao mawe. As long as wanahisi wanaonewa watapogana maisha yao yote huwezi kukaa ukasema nina amani maana muda wowote wanalianzisha. Si waoga hao. Sisi waafrika ndio waoga

Sasa unapigana na ukuta huo kama sio uchizi ni nini?
 
Ila waarabu Kwa mikwala wanaongoza duniani.
Wanachimba biti kama mwoga unakimbia vitani
Ni kweli lakini ukweli tuseme hakuna mwafrica yoyote iwe kusini, kaskazini huku kwetu ndio kabisa tunaweza kusalimu amri lile meli la US likija kupack tu hapa baharini kututisha nadhani tutahama sote kwenda Kenya, lakini wale jamaa wanapigana sababu ni vikundi tu kama sisi huku Panya road japo wa kwetu wanaiba simu LOL. Yale mabovu bahati mbaya yaliyolipuka Gongo la mboto watu walitoka uchi wakajikuta wamefika Ilala bila kupanda mwendokasi. Hawa jamaa linapigwa bomu ndio kwanza wanaingia kuwatoa wenzao.
 
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.

Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.

Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.

Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.

Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.

Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.

Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,

Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.

Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.

Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
ila wanajifanya hawaogopi kifo ila ukipiga pakauma wanalia balaa.
 
Kwa hiyo unashauri ukae ufanywe wanavyotaka? Hata Leonidas alipigana na Xerxes akijua kuwa hawezi kumshinda ila atamtikisa na wengine wapate hali ya kuendelea

Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.
Wapalestina tangu wameanza kujikomboa kutoka kwenye dhulma ya Wayahudi wanapata faida au hasara?

Kwa sasa nchi yao imemegwa pakubwa na mwaka huu wakicheza hiyo Gaza nayo inachukuliwa.
 
Back
Top Bottom