Hakuna watu waoga dunia hii kama waarabu na jamii zao

Hakuna watu waoga dunia hii kama waarabu na jamii zao

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu
Naamini pia kuwa kuna 'muono' hafifu ambao mara nyingi husababishwa na ujeuri,kiburi, dharau,ujuaji wa kishamba n.k.


uoga


/uwɔga/



hali ya kuwa na hofu ya kufikwa na jambo la kutisha au la taabu; hali ya kutoweza kustahimili vitisho

Maana nyingine: kitete, kicho, hofu, hawafu




Swali: Taja binaadamu anayekosa hiyo sifa?


Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

kamikaze​



: a member of a Japanese air attack corps in World War II assigned to make a suicidal crash on a target (such as a ship)


 
Kwa moto anaomwagiwaa muisraeli hapo mashariki ya kati na teknolojia yake dhidi ya wanamgambo nadiriki kusema waarabu si waoga bali ni majasiri sana.

Ujasiri wa kijinga.
Wenzako wanaangalia mwisho wanapata nini na mwisho nani atakuwa mshindi.
Tangu wameonyesha huo ujasiri wamepata faida gani zaidi ya hasara ya kuzidi kumegewa nchi yao
 
Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.
Wapalestina tangu wameanza kujikomboa kutoka kwenye dhulma ya Wayahudi wanapata faida au hasara?

Kwa sasa nchi yao imemegwa pakubwa na mwaka huu wakicheza hiyo Gaza nayo inachukuliwa.
Ni kupigana mpaka kieleweke. Mmarekani alienda afghanistan akawakuta Taliban na kaondoka kawaacha hao hao Taliban. Hata kama mtu amekuzidi nguvu unampa shida unamtoa ngeu mpaka achoke.
 
Waarabu ndo Jamii isiyo na Uoga Duniani, Hata serikali zao huwa zinakaa na wananchi wake kimachale sana Maan muda wowote kinawez kutokea Chochote,

Sio huku sisi Africa anasimama Mtu mmoja tu mwenye Kitambi tena Age imeenda anawapiga mkwara Raia zaidi ya Million 60 na wote wanachutama Wanamuogopa,

Huko uarabuni kikundi cha watu wasiozidi hata 8000 Wanaweza kutikisa Nchi yenye Raia million Moja.
 
Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.
Wapalestina tangu wameanza kujikomboa kutoka kwenye dhulma ya Wayahudi wanapata faida au hasara?

Kwa sasa nchi yao imemegwa pakubwa na mwaka huu wakicheza hiyo Gaza nayo inachukuliwa.
Israel aliingia Plestine kichwa tu waarabu wakasema allah akbar, kabla hawajakaa sawa, Israel akaingiza tena kuchomoa na imekuwa haiwezekani na kila wakiingiziwa wao husema all akbar sasa hivi ndo mazima israel ishazama wao wamebakia tu allah akbar
 
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.

Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.

Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.

Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.

Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.

Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.

Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,

Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.

Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.

Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
Afu wakipasuliwa wanakuja kutulilia ba kusingizia kuwa wanaua watoto wao. Kumbe wao ndoo wanafanya upuuzi katika kujipambania. Hii jamii ni janja janja saana na nijamii ya kuiepuka kwa gharama kubwa maana imejaa uongo uongo na kulialia afu ugaidi pamoja na ushenz mwingine. Ila tu acha wapelekewe moto kwanza. Mtu anayehifadhi magaidi chini ya makazi yake nayeye ni gaidi hivyo wote magaidi washughulikiwe. Mkuu uzi umeutendea haki na umeandika vzr kabsa bila kuficha uhalisia na ushauri umetoa na maonyo pia.
 
Kinyesi…
Hivi sare za kijeshi mnapiga nayo picha tu na kutupa, mbele ya IDF hakuna mwanamke anaweza kuvaa sare za jeshi na kusimama mbele yao kupambana nao

Hamas kelele tu hamna lolote, ila ukisikia sasa redio za akina Ritz duh utasikia Gaza ni makaburi ya kuzika IDF yaan blablah nyingi tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ushindi wa vita siku hizi unategemea sana aina ya silaha tulizo nazo na si ujasiri na ubora wa kupigana katika uwanja wa vita.
Israel ametangaza vita, nilitegema hao Hamas watakaa mpakani kukabiliana na jeshi la Israel ila wamekimbilia uraiani wakidai wanaonewa
 
Inawezekana na argue na mjinga ambaye hajui anaongea nini.samahani naomba nikuache uendelee na wengine
Angalia pale Sudan. Waarabu wanaua raia ovyo, wanauliza wewe ni mwarabu? Wakiona hufanani wanakupiga risasi.
Waende wapambane na jeshi na siyo kuonewa raia ovyo.
Mtu anavaa mabomu anaenda kujilipua sehemu yenye raia. Huu ni uoga wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom