Hakuna watu waoga dunia hii kama waarabu na jamii zao

Hakuna watu waoga dunia hii kama waarabu na jamii zao

Vita zilikuwa zamani mapigano uso kwa uso, sio sasa hivi unaagiza tu mabomu kutokea nchini kwako mabomu yanaenda kuuwa watoto na kubomoa mahospitali.
Njia nzuri ya kukabiliana na magaidi ni kutumia njia anayotumia magaidi.
Ukitumia njia ya kumtafuta yeye, ataendelea kuua raia wako na kuteka ila ukirusha makombora na kuharibu miundombinu yake na kuua wananchi wake. Siku nyingine hawezi kufanya ujinga tena.
Njia ya Israel nimeipenda. Magaidi wanatakiwa wapigwe hivyo maana mtaheshimiana. Ukimwaga mboga, unakula ugali, tuone nani atabaki na njaa
 
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.

Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.

Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.

Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.

Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.

Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.

Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,

Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.

Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.

Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
Muoga ni yule anyepaa angani au yupo miles elfu kadhaa akibonyeza kitufe kutupa bomu...
 
Kwema Wakuu.

Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.

Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.

Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.

Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.

Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.

Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.

Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.

Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.

Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.

Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.

Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,

Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.

Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.

Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.

Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.

Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?

Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.

Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.

Nimemaliza. Siku njema
Ni kweli kabisa
Cha kushangaza wanaji9naga mashujaa hatarii
Kumbe akili ndogo iliyotawaliwa na hofu, wasiwasi, mashaka, unaa, ushirikina na uoga.
 
Naona waarabu weusi wa makunduchi, kwa mpalange, mwembe kiuno, dole washaanza kukutukana pole sana mtibeli wavumilie hawa ndivyo walivyo wana mapungufu mengi
Hawa jamaa ni waoga na wavivu mpaka kufikiri kwao
 
Angalia vikundi vya kigaidi vya waarabu na wanaofuata mwaarabu. Waoga sana
Boko Haramu anavamia wananchi anaua, anabaka na kuteka. Kama hawaogopi kifo kwanini wasiwe wanavamia kambi za jeshi na siyo raia?
Angalia hao Hamas, Israel imetangaza vita, wao wamechangamana na raia na wengine mpk sasa wapo mashimoni hawatoki.
Kama walikuwa hawaogopi kifo, wangevamia kambi za jeshi la Israel na wangebaki mpakani ili kupigana na jeshi la Israel.
Mtu anayejilipua kujitoa muhanga utasema ni muoga wa kifo? Hivi kama unaogopa kufa utaweza kujilipua kweli mkuu?
 
Njia nzuri ya kukabiliana na magaidi ni kutumia njia anayotumia magaidi.
Ukitumia njia ya kumtafuta yeye, ataendelea kuua raia wako na kuteka ila ukirusha makombora na kuharibu miundombinu yake na kuua wananchi wake. Siku nyingine hawezi kufanya ujinga tena.
Njia ya Israel nimeipenda. Magaidi wanatakiwa wapigwe hivyo maana mtaheshimiana. Ukimwaga mboga, unakula ugali, tuone nani atabaki na njaa
Kumbe magaidi huwa na miundombinu na wananchi wake?
 
Hata ikiwa ni magonjwa ya akili point ni kwamba hao watu hawaogopi kifo na ndio maana wanaweza kujilipua, sasa ukisema mtu huyo ni muoga nitakushangaa.

Mgonjwa wa akili huwezi muita ni jasiri labda nawe uwe hamnazo.
 
Mgonjwa wa akili huwezi muita ni jasiri labda nawe uwe hamnazo.
Elewa point yangu kwamba hao watu sio waoga aina ya ujasiri wao waarabu sie waafrika hatuna hasa Tz ambao mikwara ya polisi tu tunaiogopa, sasa kama wapo hivyo kwa sababu ya magonjwa ya akili basi wewe ndio unashangaza kuwaita watu wenye magonjwa ya akili kuwa ni waoga.
 
Elewa point yangu kwamba hao watu sio waoga aina ya ujasiri wao waarabu sie waafrika hatuna hasa Tz ambao mikwara ya polisi tu tunaiogopa, sasa kama wapo hivyo kwa sababu ya magonjwa ya akili basi wewe ndio unashangaza kuwaita watu wenye magonjwa ya akili kuwa ni waoga.

Kujificha nyuma ya wanawake na watoto na raià kama ndio ujasiri basi nakuunga mkono
 
Kujificha nyuma ya wanawake na watoto na raià kama ndio ujasiri basi nakuunga mkono
Kumbuka hivyo ni vikundi tu sasa sijui ulitaka wajikusanye sehemu moja ndio wafanye mashambulizi kisha wabutuliwe na mabomu wafe ndio uone kuwa ni majasiri?
 
Kwahiyo walitakiwa kuvunja matofali kama JWTZ? Maana vita zenyewe za siku hizi tunasifiana aina za silaha tu na sio uwezo wa kupambana katika uwanja wa vita ardhini, wenye kusifika kwa silaha kali unakuta ndio waoga kuingiza majeshi yao katika uwanja wa vita wanahofia wanajeshi wao kufariki.

Suala la luvunja matofali kwa kichwa ile ni show tu. Kuna majeshi makubwa na ya kisasa lakini bado yanafanya hizo mambo.
Lakin wakiwa kwenye uwanja wa vita si kwamba ndio wanaenda kutumia vile no
Kule wana skills zingine ambazo hawazionyeshi public
 
Angalia vikundi vya kigaidi vya waarabu na wanaofuata mwaarabu. Waoga sana
Boko Haramu anavamia wananchi anaua, anabaka na kuteka. Kama hawaogopi kifo kwanini wasiwe wanavamia kambi za jeshi na siyo raia?
Angalia hao Hamas, Israel imetangaza vita, wao wamechangamana na raia na wengine mpk sasa wapo mashimoni hawatoki.
Kama walikuwa hawaogopi kifo, wangevamia kambi za jeshi la Israel na wangebaki mpakani ili kupigana na jeshi la Israel.
Kaka silaha zao manati,mawe na bunduki za kizamami ila kwa ushujaa hawaigopi wape silaha kali uone kama israel na waarabu wengine watabaki
 
Mimi naona hoja yako ingekuwa hawana umoja. Sio uoga. Kiukweli siku waarabu watapokuwa na umoja wazungu wa Israel, ulaya na Marekani watapata tabu sanaaaa.
 
Kaka silaha zao manati,mawe na bunduki za kizamami ila kwa ushujaa hawaigopi wape silaha kali uone kama israel na waarabu wengine watabaki
Kuna nani anaweza kuwapa magaidi silaha kali?
Uwape silaha ili waanzishe vikundi vya kigaidi vya kuua raia?
Kama Hamas wangekuwa mashujaa kweli watangaza vita na Israel. Kutangaza vita ndiyo mbinu bora za mashujaa wanazotumia hata adui yako anajipanga.
Sasa wewe unaenda kuvamia raia na kuua raia halafu unajiita shujaa. Kweli?
Vita huwa mnachukulia rahisi tu kumbuka Hamas wamejificha kwenye mahandaki yaliyopo chini ya msikiti, shule, hospital na nyumba zingine zinazotoa huduma za kijamii.
Wakianza kuwatafuta mnasema ohh Israel ameshindwa mbona amechukua muda mrefu ila akianza kulipua shule, hospital, misikiti n.k mnaanza kufanya maandamo analipua sijui kanisani.
Kwani Israel anashindwa kutuma ndege zikalipue Gaza yote kwa mabomu?
 
Back
Top Bottom