Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Njia nzuri ya kukabiliana na magaidi ni kutumia njia anayotumia magaidi.Vita zilikuwa zamani mapigano uso kwa uso, sio sasa hivi unaagiza tu mabomu kutokea nchini kwako mabomu yanaenda kuuwa watoto na kubomoa mahospitali.
Muoga ni yule anyepaa angani au yupo miles elfu kadhaa akibonyeza kitufe kutupa bomu...Kwema Wakuu.
Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.
Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.
Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.
Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.
Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.
Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.
Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.
Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.
Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.
Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.
Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,
Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.
Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.
Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.
Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.
Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?
Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.
Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.
Nimemaliza. Siku njema
Ni kweli kabisaKwema Wakuu.
Hii ni kwa mtizamo wangu, muono wangu, kila nitakachoeleza kitatokana na uelewa wangu kuhusu vile ninavyowajua Watu na binadamu. Yeyote anaweza kunipinga kwa hoja na kulingana na mtazamo wake.
Nachelea kusema kwenye huu ulimwengu, hakuna Watu waoga kama waarabu.
Ninasema hivyo kwa sababu, Waarabu ndoo Watu pekee kwenye huu ulimwengu wanaotumia mbinu za kioga pale wanapopambana na adui zao.
Watu wengi husema waarabu wanaroho ngumu na ni majasiri kwa sababu ya mbinu ya kujitoa mhanga au kujiua.
Mbinu hiyo hutumiwa na watu walioishiwa Akili, mbinu, ujanja. Yaani pale ambapo umeishiwa akili ndipo unatumia mbinu hiyo.
Yapo mazingira mtu anaweza kujitoa mhanga na kufa pamoja na adui hasa pale unapokuwa umetekwa au upo uwanja wa vita.
Kimedani, Mbinu ya kukimbia na kutoroka ndio mbinu inayoonekana ya kishujaa.
Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.
Waarabu wanaongoza kwa matukio ya Ugaidi. Unakuta Kuna kikundi cha wanamgambo(hawawezi kuitwa wanajeshi kwa sababu mwanajeshi hana sifa ya kuwa muoga) hawana kambi. Sifa ya gaidi hana kambi. Hana kambi kwa sababu ya Uoga.
Waarabu ndio jamii pekee duniani inayotumia mpaka watoto kufanya matendo ya kigaidi, wanawake halikadhalika.
Sijawahi sikia Wajapan, wachina, Waafrika, Wahindi n.k.
Waarabu ndio jamii pekee inayoweza kutumia Raia kama kinga pale wanapopambana na adui zao.
Yaani bora hawa M23 Huko Congo,
Kumtumia wanawake au watoto kujikinga na mashambulizi ya adui zako ni uoga wa kiwango cha juu Kabisa.
Waarabu badala wakimbilie msituni, jangwani au maporini sehemu isiyo na makazi ya Watu ili wakachapane vizuri na adui zao. Wao wanakimbilia mijini huko ili wakajifiche kwa Watu wasiohusika.
Waarabu ndio Watu pekee ambao wakipigana hawapendi kuvaa Sare zinazowatambulisha ili maadui zao wakiwaona iwe rahisi kupambana nao. Isipokuwa wao huvaa nguo za kiraia ili wakizidiwa wanajichanganya na Raia. Mwisho adui akipiga waliovalia kiraia wapige kelele kuwa adui anapiga rais. Uoga wa kiwango cha juu kabisa.
Hata Waasi wa Afrika huvaa Sare zinazowatambulisha. Lakini kwa Waarabu.
Vita vingi vya Waarabu wanavaa kiraia.
unakuta wamepanda magari ya kawaida kama hillux wapambanaji. Wakizidiwa wanatupa silaha alafu wanasema wao ni Raia. Uoga wa kiwango cha juu.
Wachina, Wajapan, Wakorea, Wahindi, Wayahudi, Waafrika, na jamii zingine mbona wao hawatumii mbinu hizo za kioga?
Waarabu wakiacha uoga wanauwezo wa kufika mbali sana. Uoga unaleta Unafiki na utengano.
Yaani jamii ya kiarabu ilivyokubwa inashangaza inakuwaje wanashindwa na Wazungu. Yote ni sababu ya uoga.
Wanakete muhimu ya kuwaunganisha ambayo ni Dini ya uislamu lakini uoga unawachelewesha.
Nimemaliza. Siku njema
Hawa jamaa ni waoga na wavivu mpaka kufikiri kwaoNaona waarabu weusi wa makunduchi, kwa mpalange, mwembe kiuno, dole washaanza kukutukana pole sana mtibeli wavumilie hawa ndivyo walivyo wana mapungufu mengi
Mtu anayejilipua kujitoa muhanga utasema ni muoga wa kifo? Hivi kama unaogopa kufa utaweza kujilipua kweli mkuu?Angalia vikundi vya kigaidi vya waarabu na wanaofuata mwaarabu. Waoga sana
Boko Haramu anavamia wananchi anaua, anabaka na kuteka. Kama hawaogopi kifo kwanini wasiwe wanavamia kambi za jeshi na siyo raia?
Angalia hao Hamas, Israel imetangaza vita, wao wamechangamana na raia na wengine mpk sasa wapo mashimoni hawatoki.
Kama walikuwa hawaogopi kifo, wangevamia kambi za jeshi la Israel na wangebaki mpakani ili kupigana na jeshi la Israel.
Mtu anayejilipua kujitoa muhanga utasema ni muoga wa kifo? Hivi kama unaogopa kufa utaweza kujilipua kweli mkuu?
Kumbe magaidi huwa na miundombinu na wananchi wake?Njia nzuri ya kukabiliana na magaidi ni kutumia njia anayotumia magaidi.
Ukitumia njia ya kumtafuta yeye, ataendelea kuua raia wako na kuteka ila ukirusha makombora na kuharibu miundombinu yake na kuua wananchi wake. Siku nyingine hawezi kufanya ujinga tena.
Njia ya Israel nimeipenda. Magaidi wanatakiwa wapigwe hivyo maana mtaheshimiana. Ukimwaga mboga, unakula ugali, tuone nani atabaki na njaa
Hata ikiwa ni magonjwa ya akili point ni kwamba hao watu hawaogopi kifo na ndio maana wanaweza kujilipua, sasa ukisema mtu huyo ni muoga nitakushangaa.Unayajua magonjwa ya akili
Hata ikiwa ni magonjwa ya akili point ni kwamba hao watu hawaogopi kifo na ndio maana wanaweza kujilipua, sasa ukisema mtu huyo ni muoga nitakushangaa.
Elewa point yangu kwamba hao watu sio waoga aina ya ujasiri wao waarabu sie waafrika hatuna hasa Tz ambao mikwara ya polisi tu tunaiogopa, sasa kama wapo hivyo kwa sababu ya magonjwa ya akili basi wewe ndio unashangaza kuwaita watu wenye magonjwa ya akili kuwa ni waoga.Mgonjwa wa akili huwezi muita ni jasiri labda nawe uwe hamnazo.
Elewa point yangu kwamba hao watu sio waoga aina ya ujasiri wao waarabu sie waafrika hatuna hasa Tz ambao mikwara ya polisi tu tunaiogopa, sasa kama wapo hivyo kwa sababu ya magonjwa ya akili basi wewe ndio unashangaza kuwaita watu wenye magonjwa ya akili kuwa ni waoga.
Kumbuka hivyo ni vikundi tu sasa sijui ulitaka wajikusanye sehemu moja ndio wafanye mashambulizi kisha wabutuliwe na mabomu wafe ndio uone kuwa ni majasiri?Kujificha nyuma ya wanawake na watoto na raià kama ndio ujasiri basi nakuunga mkono
Kwahiyo walitakiwa kuvunja matofali kama JWTZ? Maana vita zenyewe za siku hizi tunasifiana aina za silaha tu na sio uwezo wa kupambana katika uwanja wa vita ardhini, wenye kusifika kwa silaha kali unakuta ndio waoga kuingiza majeshi yao katika uwanja wa vita wanahofia wanajeshi wao kufariki.
Mafundisho potofu ya mudy yamezaa magaidi mengi sana.Lakini ati unaenda kujilipua labda ni sokoni kwa Watu wasio na hili wala lile. Huo ni uoga.
Kaka silaha zao manati,mawe na bunduki za kizamami ila kwa ushujaa hawaigopi wape silaha kali uone kama israel na waarabu wengine watabakiAngalia vikundi vya kigaidi vya waarabu na wanaofuata mwaarabu. Waoga sana
Boko Haramu anavamia wananchi anaua, anabaka na kuteka. Kama hawaogopi kifo kwanini wasiwe wanavamia kambi za jeshi na siyo raia?
Angalia hao Hamas, Israel imetangaza vita, wao wamechangamana na raia na wengine mpk sasa wapo mashimoni hawatoki.
Kama walikuwa hawaogopi kifo, wangevamia kambi za jeshi la Israel na wangebaki mpakani ili kupigana na jeshi la Israel.
Kuna nani anaweza kuwapa magaidi silaha kali?Kaka silaha zao manati,mawe na bunduki za kizamami ila kwa ushujaa hawaigopi wape silaha kali uone kama israel na waarabu wengine watabaki